Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Inategemea umemuuliza nani... Sasa kama unamuuliza mtu anakwambia Man u ni timu kubwa England wakat mwaka wa tano haijuchukua kikombe, alaf inajiita ni timu kubwa.. Sasa mtu akikwambia Man u ni timu kubwa na kuziona timh kama Chelsea ni ndogo lazima atakua ana matatizo somewhere
Mwenye matatizo somewhere ni yule anayesema United hawajachukua kombe miaka 5, wakati anajua mwaka 2016 alichukua kombe la Europa na Carling

Kuwakumbusha tu wadau, ni kwamba hilo kombe la Europa ndio kuna timu flani siku hizi inalipambania kulipata siku za Alhamisi usiku
 
Sasa timu ina jinasibu vipi ni kubwa wakat imefungwa goli 16 imefunga 15 GD -1 ipo nafasi ya 10... Bado mnasema ni timu kubwa mmerogwa nyie
Aliyelogwa ni yule asiyejua tofauti ya kulogwa na kurogwa

Aliyelogwa ni yule asiyejua kwamba mpira ni zaidi ya goal difference.....mpora ni jambo kubwa zaidi
 
Mwenye matatizo somewhere ni yule anayesema United hawajachukua kombe miaka 5, wakati anajua mwaka 2016 alichukua kombe la Europa na Carling

Kuwakumbusha tu wadau, ni kwamba hilo kombe la Europa ndio kuna timu flani siku hizi inalipambania kulipata siku za Alhamisi usiku
na cha ajabu hyo timu unahisi inalipambambania wao ni rahisi kulipata kuliko nyie kupata uefa
 
001
 
Man Utd XI: De Gea, Young (C), Lindelof, Smalling, Shaw, Mata, Matic, Pogba, Rashford, Lukaku, Martial.

Subs: Romero, Bailly, Darmian, Fred, Pereira, Herrera, Chong.

Juventus XI: Szczęsny, Chiellini (C), Pjanić, Ronaldo, Dybala, Sandro, Matuidi, Cuadrado, Bonucci, Cancelo, Bentancur.
 
Mwenye matatizo somewhere ni yule anayesema United hawajachukua kombe miaka 5, wakati anajua mwaka 2016 alichukua kombe la Europa na Carling

Kuwakumbusha tu wadau, ni kwamba hilo kombe la Europa ndio kuna timu flani siku hizi inalipambania kulipata siku za Alhamisi usiku
Chelsea ndiyo Timu ndogo
 
Manchester United arrived late for a second Champions League game in a row despite staying at a hotel just 250 yards away from Old Trafford on Monday night.


The club were fined £13,202 just last week for turning up late for the clash with Valencia earlier this month.

They had scrapped their usual routine of staying at the city centre Lowry Hotel, moving to the Hilton hotel.
 
Manchester United arrived late for a second Champions League game in a row despite staying at a hotel just 250 yards away from Old Trafford on Monday night.


The club were fined £13,202 just last week for turning up late for the clash with Valencia earlier this month.

They had scrapped their usual routine of staying at the city centre Lowry Hotel, moving to the Hilton hotel.


Hiyo fine inaweza kuwa adhabu labda kwa mchezaji wa Academy ila sio Club ya EPL
 
Jose Mourinho to the chelsea fans abusing him: "I have won more than your club. I made you and I'm bigger than your Club. Take away my 3 titles and you're nothing" Danny Welbeck on Twitter
Huyu nae kigurunyembe kweli. Sasa hayo makombe anayoyaita "my" aliyachukua mwenyewe.? Hakua na wachezaji wa Chelsea. Hata sina hakika kama hayo maneno kayatamka Mou mwenyewe.

Heshima yake ndani ya Chelsea itabaki palepale no matter what.
 
Back
Top Bottom