Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mnapoteza nguvu nyingi kutoa sare na chelsea
Mnarudi Old Trafford mnaishiwa nguvu na kufa kabisa
Poleni wakuu cute b, radika, everlenk na wengine wengi humu jukwaani
 
Juve ni timu iliyojengwa zaidi zaidi ya miaka mitano kufikia pale tena walishuka daraja hawa walivyorudi ligi kuu waliamua kukomaa kutengeneza timu yao mpaka kufikia pale
Ipo siku na sisi tutakaa sawa tu
 
Yani Tayari umeshkuwa Katika Kundi moja na Malafyale na Ollachuga Oc.

Mdogo wamejipiga Ban wengi hapa kama wewe! Endelea hivyohivyo Kuzunguka Kila uzi uone January ili tuone ujasiri wako.
Mbona tunatishana, tena

Yaani unanizuia kuchati? Hiv hapo nimekosea nini? Mimi arsenal ifungwe nipo,kwanza lengo letu ni top 4,

Ubingwa utakuja tu, sasa kwa mpira ule wa arsenal kwanini nisione pira la manyua kama ndondo?
 
IMG-20181024-WA0002.jpeg
 
jamani mnaona mpira anaocheza napoli? hii timu ikichukuliwa na kuja kuwa man utd naamini tutaanza kufurahi.
cb wao anaweza kucheza kiungo chetu nafasi ya pogba na akatupa matokeo mazuri zaidi.
ina maana sisi tumeshindwa kusuka timu kama hii kwa pesa tuliyonayo?
MOUT!
 
jamani mnaona mpira anaocheza napoli? hii timu ikichukuliwa na kuja kuwa man utd naamini tutaanza kufurahi.
cb wao anaweza kucheza kiungo chetu nafasi ya pogba na akatupa matokeo mazuri zaidi.
ina maana sisi tumeshindwa kusuka timu kama hii kwa pesa tuliyonayo?
MOUT!
Mwaka wa ngap huu mnautafuta mpira mzuri? Tatizo ni mbinu za mwalimu ,
 
kocha ni ancelot anajua nini anataka haswa champions league
jamani mnaona mpira anaocheza napoli? hii timu ikichukuliwa na kuja kuwa man utd naamini tutaanza kufurahi.
cb wao anaweza kucheza kiungo chetu nafasi ya pogba na akatupa matokeo mazuri zaidi.
ina maana sisi tumeshindwa kusuka timu kama hii kwa pesa tuliyonayo?
MOUT!
 
Maana kama mourinho analaumu wachezaji je mbona Alex Ferguson ndiyo kocha alikua mkali kuliko nani anakumbuka kisanga cha Alex na david Beckham mpaka kumtumpia kiatu Beckham usoni kipindi kile mpaka Beckham akahamia R.Madrid, Je huyu mheshimiwa wa sasa nini kinachomshinda hasa anashinda kwa kusuasua hivi mashabiki hatuna raha
 
Back
Top Bottom