Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ajabu ni kwamba anayeongoza anafanya sub,aliyefungwa katulia. Hii inaashiria nini?kufilisika?kufika mwisho?

Sub huwa ziko kimkakati, either iwe kuna mchezaji kachoka au kuna mchezaji anakatika au game plan inabadilishwa
 
Lukaku anazibia riziki wenzie, Forward wangewekwa watu watatu tu. 9 acheze Rashford, 11 acheze Martial na 7 acheze Sanchez. Jamaa ukiacha Aerial duels hamna kitu kwa sasa hivi
 
Duh game kubwa kama hii kocha anashindwa kufanya ata sub wapenzi wa bwana huyu niambieni sababu
Ukiacha sub tu amekalisha kiuno chini tangu game limeanza mpaka linaisha hawezi hata kusimama na kuwaelekeza wachezaji au hata kuwatia moyo wachezaji
 
Ajabu ni kwamba anayeongoza anafanya sub,aliyefungwa katulia. Hii inaashiria nini?kufilisika?kufika mwisho?
Pale haiwezi kufanywa sub kwasababu team iko chini kwa kufungwa na yey anatafta equaliser,asingeweza kupangua midfield jpokua mata mwshoni hakua akionekna ila alimuamini zaidi kuendelea nae na istoshe speed ya team ndo ilomfanya asibdilishe nje hakuna mchezaji wa kubdili matokeo.
 
Nilikua naona tu jins juve wanavyopiga pasi tu toka kwa mtu had kwa mtu nikilinganisha na timu yetu naona bado tuna safari kdg
 
lukaku mnamlaumu tu ila timu haitengezi nafasi za goli ! shots on target nnazokumbuka ni 2 tu martial kapiga nje ya box na ya pogba ! labda kama kuna nafasi za goli kapoteza
 
Eti oohhh.. Timu imerudisha fighting spirit. Hehee.. Yan mlikua mnataka mponee darajani. Sasa kwa hali hii kwa nini nisiifurahie ile draw. Ningeulizwa huyu kipofu alikupigaje.?

Tukubaliane mchezo wenu wa kawaida na ushindi ni wa bila mipango mnavizia vizia tu, sema tatizo lenu mna midomo sana.

Anyway tukutane the so called FUTUHI league the next day. Poleni sana
 
ndio nimepata nafuu saizi baada ya BP kupanda tangu game iishe, ManU msimu wa huu itaniua kwa kweli
 
Back
Top Bottom