Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

WANASEMA hivi, dawa ya jeuri kiburi. Winga Anthony Martial anawafanyia jeuri Manchester United, basi nao wameamua kumjibu baada ya kuelezwa watafyeka mshahara wiki mbili kutokana na kitendo chake cha kutoweka mazoezini kwa siku nane.
Imeelezwa hivi, kutokana na hilo, Martial ambaye aliondoka kambini kwenda kwa mpenzi wake, Melanie Da Cruz, aliyejifungua mtoto hivi karibuni, ameshindwa kufanya mazoezi na wenzake kwa siku nane na hivyo, panga kali litapita kwenye mshahara wake, baada ya kumpiga faini ya Pauni 180,000 ambayo ni sawa na mshahara wake wa wiki mbili
 
Three man midfield rotation:

1️⃣ Pogba - Matic - Fred
2️⃣ Pogba - Fred - Pereira
3️⃣ Matic - Fred - Pereira
Fred hawezi kumuweka bench Pogba. Nafikiri Pereira na Fred ndiyo watakuwa wanabadilishana nafasi. I wish Pogba aongeze umakini kulenga goli.

Halafu nafikiri tofauti na wengine, MUFC itakuwa moto sana msimu huu. Ubingwa upo hakuna sababu ya kuwa wanyonge.
 
Fred hawezi kumuweka bench Pogba. Nafikiri Pereira na Fred ndiyo watakuwa wanabadilishana nafasi. I wish Pogba aongeze umakini kulenga goli.

Halafu nafikiri tofauti na wengine, MUFC itakuwa moto sana msimu huu. Ubingwa upo hakuna sababu ya kuwa wanyonge.
Nakuunga mkono mkuu
 
Fred hawezi kumuweka bench Pogba. Nafikiri Pereira na Fred ndiyo watakuwa wanabadilishana nafasi. I wish Pogba aongeze umakini kulenga goli.

Halafu nafikiri tofauti na wengine, MUFC itakuwa moto sana msimu huu. Ubingwa upo hakuna sababu ya kuwa wanyonge.

1️⃣ Pogba - Matic - Fred
2️⃣ Pogba - Fred - Pereira
3️⃣ Matic - Fred - Pereira[/QUOTE]

Ina maana Herrera atakuwa mchezaji wa qarabao na FA tu,au sababu ya upya wa hao wachezaji?
 
1️⃣ Pogba - Matic - Fred
2️⃣ Pogba - Fred - Pereira
3️⃣ Matic - Fred - Pereira

Ina maana Herrera atakuwa mchezaji wa qarabao na FA tu,au sababu ya upya wa hao wachezaji?[/QUOTE]Hapana mkuu hiyo sio official kila mchezaji ana nafasi tunajaribu kuchek dimba la kat litakuwaje hapo bado kuna mata,fellain,scott wengi tu
 
Inaweza kuwa kweli anapoteza watu
Screenshot_20180802-004808.jpg
 
Manchester United defender Chris Smalling has agreed a deal with Wolves, according to reports in the Daily Express.
The England international is contracted to Old Trafford until the summer of 2019.
 
WANASEMA hivi, dawa ya jeuri kiburi. Winga Anthony Martial anawafanyia jeuri Manchester United, basi nao wameamua kumjibu baada ya kuelezwa watafyeka mshahara wiki mbili kutokana na kitendo chake cha kutoweka mazoezini kwa siku nane.
Imeelezwa hivi, kutokana na hilo, Martial ambaye aliondoka kambini kwenda kwa mpenzi wake, Melanie Da Cruz, aliyejifungua mtoto hivi karibuni, ameshindwa kufanya mazoezi na wenzake kwa siku nane na hivyo, panga kali litapita kwenye mshahara wake, baada ya kumpiga faini ya Pauni 180,000 ambayo ni sawa na mshahara wake wa wiki mbili


 
Unajua contents za mkataba wa adidas na united kuhusu performance ya team na jinsi itakavyoathiri team.


Kumbuka mkataba wa Adidas ba United ndio mkataba mkubwa kuwahi kutokea duniani kati ya team na Kampuni yoyote (Its a mega deal ever).


Ingia google halafu soma hizo contents ndio utajua kwanini nasema united inahitaji instant results.


Huwezi kuwa unawasajili wakakina Ibrahimovic,Matic , Grants, Miki, n.k ambao age yao ni wastani wa miaka kama 29 useme unategemea mafanikio baada ya miaka mitatu. Kumbuka baada ya miaka mitatu hawa wastani wa umri ni kwenye miaka 30+.... Hahahaha unachekesha.


Morinho hana long term plan. PERIOD. Huo ndio ukweli.


Najua Miki na zlatan hawapo ila ni mfano nimeutoa kupinga hoja yako ya mafanikio ndani ya miaka mitatu kuwa ilikiwa haiendani na usajili aliokuwa anafanya. Ndani ya miaka hiyo mitatu wachezaji wake wengi wangekuwa over 30 kitu ambacho kwa soka la ushindani lazima ustruggle sana kupata mafanikio. Najua utakuja na mifano ya team za vibabu. Hahahaha
Adidas hana ubavu wa kuvunja mkataba kwa situation ya sasa ya Man U na akiondoka unakuja mkataba mkubwa zaidi ya huo.

Unafuatilia mauzo ya jezi? Watu kama Depay, Bastian etc hawawezi popote duniani kuingia top 5 ya wauza jezi bora duniani isipokuwa manchester. Yule neymar mkali pale barcelona alikuwa akisubiria kwa depay mauzo ya jezi.

Demu wa lindelof alikuwa na kablog kake uchwara sasa hivi mamilioni ya watu wanaingia kila siku,

Mambo haya unayapata man utd tu hata madrid na barca hawana nguvu ya kui challenge man u linapokuja suala la biashara, hapa ondoa hofu.
 
Mourinho kila anapotoka anatoka na Lawama. Ameshazoeleka.



Kwa mbinu za Mourinho hata aje Messi na Ronaldo ni chenga tupu.


Tatizo ni mourinho Asap. Hakuna ujinga. Kama team walau ingekuwa walau inacheza mpira wa kulidhisha tungekubali lawama zake. Team inacheza hovyooooo. Huoni tactical display za kocha. Huoni ufundi wowote.


Ufundi wa kocha haujidhihirishi kwa kuwa na wachezaji nyota. Team kama tottenham haina nyota ila ufundi wa mwalimu unauona timu inapocheza kwa hiyo kocha kama huyu akiongezewa super nyota players team itatisha.


Na pochetino hakuanzia hapo mbinu zako kuonekana bora ni kuanzia alipokuwa Southampton.


Sasa mourinho ni mwendo wa kupack bus, timu haichezi na mfumo wake hautengenezi nafasi za kufunga. Hapa hatuzungumzii wachezaji, hapa ni mfumo wa kocha. Hata akicha ronaldo timu mfumo wake ni kupack basi ronaldo hawezi funga magoli. Tatizo ni mourinho ni kichaa tu ndio anaweza asilione hili.





Manchester United haiwezi kurudi kwenye zama zake kwa kusajili mastaa chungu nzima wakati kiufundi iko vibaya. Timu itarudi kwenye zama zake kwa kuwa na kocha mwenye mbinu za kutopack bus na kutengeneza nafasi nyingi.




Watu wanasahau ni Mourinho huyu huyu ndio alikuwa madrid ya mastaa chungu nzima kuanzia Modric, Ronaldo,Benzema, Casilas na wengine kibao lakini mwisho wa siku hakufua dafu mbele ya Pep Guardiola. Sana sana aliishia kumuuza Goli kipa Bora miaka hiyo Ikar Casilas.



Huyu huyu mourinho alikuwa chelsea timu ilimshinda akaishia kutupia lawama wachezahi watatu aliowaita "Three Big Rats"



MaKocha wa kuivusha hii team ni either;

1. Mauricio Pochetino
2. Diego Simione
3. Ryan Giggs
4. Sulivan




Mourinho Football Tactics are outdated and can't work onto modern Competitive footbal. Under Mou We've to expect Nothing.
Wote hao uliowataja nani ana cv kali kuliko Van Gaal?
 
Ukisema wachezaji wa kawaida unakuwa umemaanisha nini?

Pogba,matic,fred,herrera pereira
Lukaku,martial,sanchez,degea,bailly,shaw,young..wote hawa ni wachezaji wa kawaida??...wachezaji wasio wa kawaida ni akina nani??
Ukimtoa sanchez na de gea pengine na matic waliobakia wote ni vijana ambao wanahitaji kushikwa akili watulie.
Hebu tuangalie
MADRID~ experience ya modric na kroos katikati, una ramos nyuma na benzema na ronaldo mbele(kabla hajaenda juve) hapo bado kuna marcelo pia. Wote ni wachezaji ambao ni winners wana makombe kibao wanajua wawin vipi mechi.

MAN CITY~ wana silva na fernandinho kati wana Aguero na nyuma yupo kompany bila kumsahau de bruyne japo si sana, wote hawa ni viongozi wanaotuliza timu

BARCELONA~ kuna Pique, Bosquet, Messi, Jordi Alba na Iniesta kabla hajastaafu wote hawa uelewa wao wa club na uongozi wao kwa wachezaji wengine utamfananisha na nani?

JUVENTUS~ huku ndio usiseme kina Chielini, Buffon kabla hajaondoka, Higuain, marchisio, Matuidi etc wote wanajua nini maana ya kuchezea juve.

Sisi Angalau Pogba baada ya kuwin world cup anaweza kuwa matured msimu huu na kutusaidia ila wachezaji wetu wengi wana potential ila bado kuwa viongozi wa timu na kuwa na experience ya kuua mechi. Mtu kama martial, Rashford, shaw, pogba, Lingard, lukaku, wote wana utoto mwingi sana huwezi fananisha na hizo club hapo juu.

Mourinho amefanya kazi kubwa sana na hio timu na point 81 sio mchezo Leicester amechukua ubingwa na hizo point, its just Man city amefanya vizuri sana, ila sisi pia tumefanya vizuri, na naamini tuna kocha sahihi
 
Mkuu top players wa aina gani Man United inayowakosa?

Wakina Sanchez,Pogba,Matic,Herrera,Lukaku,Bailly,Martial,De Gea sio top players?
Hawa wote wana uwezo wa kuchezea Madrid vizuri tu.
Timu nzima haiwezi Kuwa na top players namba zote.

Je Liverpool ina top players gani? Mbona ilifika fainali UEFA?
Herrera kati ya casemiro, modric na kroos anamueka nani bench?
 
Mimi sikubali kama rashford na martial wameisha kiasi hicho...ndio maana bodi ya timu haiwezi kumuelewa Mou anavyosema anamtaka perisic na willian wakat pale ana vijana wanaoweza kufanya kazi vzr wakitokea pembeni. Kama bodi haitaki kusajili wachezaji anaowataka aondoke. Hata Fergie kuna wachezaji alikuwa anawakosa. Kuanza kuwasema wachezaji wadogo tena kwny pre season si kitu kizuri
Rashford na Martial sio winga wa asili na wote wanacheza upande wa kushoto tunahitaji winger wa kulia, kama unaangalia mpira.

Mchezo wa rashford na martial ni akipata mpira anaingia ndani wachezaji hawa wanaitwa wing forward,

Tunaohitaji sisi ni winger wa kizamani design ya beckham ama giggs ama valencia etc ambao wakipata mpira wanatia majaro, tuna mtu kama Pogba, Lukaku, smalling, Fellaini etc wote ni magiant wanahitaji sana cross ila hatuna mtu wa pembeni wa kuzileta.
 
Rashford na Martial sio winga wa asili na wote wanacheza upande wa kushoto tunahitaji winger wa kulia, kama unaangalia mpira.

Mchezo wa rashford na martial ni akipata mpira anaingia ndani wachezaji hawa wanaitwa wing forward,

Tunaohitaji sisi ni winger wa kizamani design ya beckham ama giggs ama valencia etc ambao wakipata mpira wanatia majaro, tuna mtu kama Pogba, Lukaku, smalling, Fellaini etc wote ni magiant wanahitaji sana cross ila hatuna mtu wa pembeni wa kuzileta.

Mkuu Katika Modern Football kwani Bado Upo Mpira huu Wa Winger Kibendera?
Mbona sasahivi Mawinga wote Ni Mafoward ambao unawakutia Wanafunga Magoli mengi Kuliko Mastriker!!
Winger Wa Kina Beckam umeshapotea Mkuu.
 
Back
Top Bottom