Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu katimiziwa mahitaji yake ya uwanjani? Kaomba wachezani wa 5 toka mwezi wa 4 wamefika?
Kwani wachezaji ni hao watano tu? au wangeweza kuwa 10?

Excuses zimeanza mapema kabla msimu haujaanza, ili akiboronga aje aseme "nilitaka wachezaji watano Man utd wamenipa wawili"

Kama kocha lazima atambue kuwa kuna mchezaji kukubali na kukataa, sasa kama amekataa manake ndo Mou kwisha hana la kufanya?

How much did we spend on players during his time? are we spending the money wisely?
 
Yaani hata sentensi yangu inaonekana hujaisoma yote. Na usitake kuniambia amemaanisha poor ya masikini (fukara) maana utakuwa unachekesha. Au kwa kuondoa mzozo toa tafsiri yako kwa sentensi hiyo.
Hasira zisikutie upofu.
wewe ndio hujaelewa, nenda youtube kasikilize alichosema na wala sio kama unavyotuaminisha. hapa ndio najua aina mashabiki wa man u ni watu wa kusikia sikia tu hakuna facts mnachojua ni kulalama poor guys!
 
Naona Media War bado inaendelea Between Fans Wa Mou vs Haters Wa Mou

Yani nacheka Manake Kuna Jamaa huko Akiibuka Kwenye Uzi wetu Lazima Akinukishe.. Manake atakulazimisha Ukubali Kuwa Lovren ni Bora Kuliko Umtiti.... Henderson ni bora Kuliko Kante... Lallana ni bora Kuliko Messi 😀😀😀😀😀
 
wewe ndio hujaelewa, nenda youtube kasikilize alichosema na wala sio kama unavyotuaminisha. hapa ndio najua aina mashabiki wa man u ni watu wa kusikia sikia tu hakuna facts mnachojua ni kulalama poor guys!
Hiyo interview nilisha isikiliza. Maneno aliyo yasema ni hayo kwenye picha. Kama kuna mengine aliyo ongea kuhusiana na hili yalete. Ila kwa kuwa wewe ni mtu wa facts naamini utaleta facts kwa either kutafsiri ilivyo sahihi au kuleta mengine kwa kuwa Mimi nimetoa yasiyo sahihi.
IMG_20180731_150138_823.JPG
 
Naona Media War bado inaendelea Between Fans Wa Mou vs Haters Wa Mou

Yani nacheka Manake Kuna Jamaa huko Akiibuka Kwenye Uzi wetu Lazima Akinukishe.. Manake atakulazimisha Ukubali Kuwa Lovren ni Bora Kuliko Umtiti.... Henderson ni bora Kuliko Kante... Lallana ni bora Kuliko Messi 😀😀😀😀😀
Hahahaahaa. Ila ni jambo la kawaida kwenye mpira. Tunatofautiana mitazamo Japo hakuondoi uhalisia.
Hata humu kuna MTU analinganisha amesema kuwa top players waliopo Man utd hawana tofauti na wachezaji wa Madrid. Ila kwa ujumla ndio uzuri wenyewe wa mpira huu.
 
Hiyo interview nilisha isikiliza. Maneno aliyo yasema ni hayo kwenye picha. Kama kuna mengine aliyo ongea kuhusiana na hili yalete. Ila kwa kuwa wewe ni mtu wa facts naamini utaleta facts kwa either kutafsiri ilivyo sahihi au kuleta mengine kwa kuwa Mimi nimetoa yasiyo sahihi. View attachment 823554

ID yako inatoa tafsiri sahihi ya akili yako. sioni kosa la Mou kwenye hiyo statement labda uwe hujui kiingereza. Tuache maneno ya kuokoteza okoteza
 
So far humu ndio kuna fans pekee wanaoamini kuwa watakuwa title contenders
Msimu huu 😀😀😀😀em jiandaeni kisaikolojia kwanza warm up tu shakir anawafanya vile sasa i can't imagine kwenye ligi anawafanya nini
 
ID yako inatoa tafsiri sahihi ya akili yako. sioni kosa la Mou kwenye hiyo statement labda uwe hujui kiingereza. Tuache maneno ya kuokoteza okoteza
Na ndio hiki nilicho kuwa namwambia Daud1990. Kuwa Mou hajaongea kauli ya kumkandia Sanchez pale kama yeye alivyo ileta hapa. Ila nikaona umeni quote kusema kuwa nacho kisema sio kilicho maanishwa kwenye hiyo interview. Ila kumbe tulikuwa tuna sema kauli moja
 
Last edited:
Hiyo interview nilisha isikiliza. Maneno aliyo yasema ni hayo kwenye picha. Kama kuna mengine aliyo ongea kuhusiana na hili yalete. Ila kwa kuwa wewe ni mtu wa facts naamini utaleta facts kwa either kutafsiri ilivyo sahihi au kuleta mengine kwa kuwa Mimi nimetoa yasiyo sahihi. View attachment 823554
We jamaa hivi unaelewa KiTrump kweli?????



Hilo jibu la phase ya pili tafuta hiyo clip usikilize swali aliloulizwa na kwanini alijibu hivyo.
 
Yaani hata sentensi yangu inaonekana hujaisoma yote. Na usitake kuniambia amemaanisha poor ya masikini (fukara) maana utakuwa unachekesha. Au kwa kuondoa mzozo toa tafsiri yako kwa sentensi hiyo.
Hasira zisikutie upofu.
Ndio maana nikakwambia na kukuchagulia Cambridge dictionary ili upate Real definition of Poor in Correlation to particular shared context.


Sasa wewe umekuja na maana ya Poor ni Umasikini. Hahahaha


Pathetic.
 
Kwani wachezaji ni hao watano tu? au wangeweza kuwa 10?

Excuses zimeanza mapema kabla msimu haujaanza, ili akiboronga aje aseme "nilitaka wachezaji watano Man utd wamenipa wawili"

Kama kocha lazima atambue kuwa kuna mchezaji kukubali na kukataa, sasa kama amekataa manake ndo Mou kwisha hana la kufanya?

How much did we spend on players during his time? are we spending the money wisely?
You've Nailed everything Boss.
 
Naona Media War bado inaendelea Between Fans Wa Mou vs Haters Wa Mou

Yani nacheka Manake Kuna Jamaa huko Akiibuka Kwenye Uzi wetu Lazima Akinukishe.. Manake atakulazimisha Ukubali Kuwa Lovren ni Bora Kuliko Umtiti.... Henderson ni bora Kuliko Kante... Lallana ni bora Kuliko Messi 😀😀😀😀😀
Looserfool Kaa kimya.
 
We jamaa hivi unaelewa KiTrump kweli?????



Hilo jibu la phase ya pili tafuta hiyo clip usikilize swali aliloulizwa na kwanini alijibu hivyo.
Mdau hebu tufupishe mjadala. Pengine Mimi sielewi KiTrump hebu niambie wewe unaye kielewa vizuri kuwa Mou alikuwa ana maanisha nini hapo tumalize?.
 
Mimi sikubali kama rashford na martial wameisha kiasi hicho...ndio maana bodi ya timu haiwezi kumuelewa Mou anavyosema anamtaka perisic na willian wakat pale ana vijana wanaoweza kufanya kazi vzr wakitokea pembeni. Kama bodi haitaki kusajili wachezaji anaowataka aondoke. Hata Fergie kuna wachezaji alikuwa anawakosa. Kuanza kuwasema wachezaji wadogo tena kwny pre season si kitu kizuri
 
Mimi sikubali kama rashford na martial wameisha kiasi hicho...ndio maana bodi ya timu haiwezi kumuelewa Mou anavyosema anamtaka perisic na willian wakat pale ana vijana wanaoweza kufanya kazi vzr wakitokea pembeni. Kama bodi haitaki kusajili wachezaji anaowataka aondoke. Hata Fergie kuna wachezaji alikuwa anawakosa. Kuanza kuwasema wachezaji wadogo tena kwny pre season si kitu kizuri
Ngoja wafia team waje
 
Mimi sikubali kama rashford na martial wameisha kiasi hicho...ndio maana bodi ya timu haiwezi kumuelewa Mou anavyosema anamtaka perisic na willian wakat pale ana vijana wanaoweza kufanya kazi vzr wakitokea pembeni. Kama bodi haitaki kusajili wachezaji anaowataka aondoke. Hata Fergie kuna wachezaji alikuwa anawakosa. Kuanza kuwasema wachezaji wadogo tena kwny pre season si kitu kizuri
Huyo Perisic pengine anaogopa kwenda kuwa beki.
 
Back
Top Bottom