Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mourinho akiondoka unafikir ndo kufanikiwa kwa manchester?

Kabla ya mourinho wamepita wakina nani?

Timu ina jina kubwa lakin tunawachezaj wa kawaida
Ukisema wachezaji wa kawaida unakuwa umemaanisha nini?

Pogba,matic,fred,herrera pereira
Lukaku,martial,sanchez,degea,bailly,shaw,young..wote hawa ni wachezaji wa kawaida??...wachezaji wasio wa kawaida ni akina nani??
 
Ukisema wachezaji wa kawaida unakuwa umemaanisha nini?

Pogba,matic,fred,herrera pereira
Lukaku,martial,sanchez,degea,bailly,shaw,young..wote hawa ni wachezaji wa kawaida??...wachezaji wasio wa kawaida ni akina nani??
Akiumia Matic backup yake ni nani? Lukaku akiumia/akiwa na game mbaya nani anakuja kama mbadala? , Akiumia Baily basi unaingia uwanjani na Jones na Smalling. Ukitaka kujua kama timu yako ni ya kawaida au la jilinganinshe na mpinzani wako, ambaye kwa sasa ni Manchester City.
Kipa tumewazidi. Ila anzia namba mbili hadi 11 uone mwenzio alivyo na options za kutosha.

Mwenzako ana Stones,Laportte,Otamendi,kompany,Walker,Mendy,Delph na wengine kwenye ukuta. Viungo ana Kdb,D.Silva,Fernandinho,Gundogan,Yaya toure hao wote ni matured players.
Hapo hujazungumzia washambuliaji wake. Aguero ana pigwa rotation na ana pata Matokeo. Wakati wewe winga yako ya kulia ni Lingard/Mata mwenzio anamchukua Mahrez kama mchezaji wa kuongeza depth.

Kwanini asikushinde??
 
Akiumia Matic backup yake ni nani? Lukaku akiumia/akiwa na game mbaya nani anakuja kama mbadala? , Akiumia Baily basi unaingia uwanjani na Jones na Smalling. Ukitaka kujua kama timu yako ni ya kawaida au la jilinganinshe na mpinzani wako, ambaye kwa sasa ni Manchester City.
Kipa tumewazidi. Ila anzia namba mbili hadi 11 uone mwenzio alivyo na options za kutosha.

Mwenzako ana Stones,Laportte,Otamendi,kompany,Walker,Mendy,Delph na wengine kwenye ukuta. Viungo ana Kdb,D.Silva,Fernandinho,Gundogan,Yaya toure hao wote ni matured players.
Hapo hujazungumzia washambuliaji wake. Aguero ana pigwa rotation na ana pata Matokeo. Wakati wewe winga yako ya kulia ni Lingard/Mata mwenzio anamchukua Mahrez kama mchezaji wa kuongeza depth.

Kwanini asikushinde??
Heshima kwako mkuu, walio wengi wanashindwa kuona hiki kitu na wanabaki wanamulaumu kocha.Hata hoa kina pogba lingard lukaku hawa consistency Leo wanaperform vizur kesho na kesho kutwa ni majanga

NB; Tusipofungua pochi kwa siku hz chache msimu ujao naona tukipata tabu saana
 
Akiumia Matic backup yake ni nani? Lukaku akiumia/akiwa na game mbaya nani anakuja kama mbadala? , Akiumia Baily basi unaingia uwanjani na Jones na Smalling. Ukitaka kujua kama timu yako ni ya kawaida au la jilinganinshe na mpinzani wako, ambaye kwa sasa ni Manchester City.
Kipa tumewazidi. Ila anzia namba mbili hadi 11 uone mwenzio alivyo na options za kutosha.

Mwenzako ana Stones,Laportte,Otamendi,kompany,Walker,Mendy,Delph na wengine kwenye ukuta. Viungo ana Kdb,D.Silva,Fernandinho,Gundogan,Yaya toure hao wote ni matured players.
Hapo hujazungumzia washambuliaji wake. Aguero ana pigwa rotation na ana pata Matokeo. Wakati wewe winga yako ya kulia ni Lingard/Mata mwenzio anamchukua Mahrez kama mchezaji wa kuongeza depth.

Kwanini asikushinde??
Hahaaha nyie jamaa mnachekesha. Si huyu huyu mou Anampanga Smalling na Benchi anakuwepo Rojo au huwa hamna macho.


Nakujibu tu, Namba ya matic , herera anacheza vyema kabisa. Na mmesahau herera alivyokuwa anapigwa benchi.


Katika Kipindi Cha mourinho amesajili wachezaji tisa. Kwa kocha mwenye uwezo tungekuwa tunaona soka la maana hata kama team inakuwa inafungwa. Timu kila siku back pass. Hivi mfumo wa back pass ni mpaka uwe na wakina Ronaldo na Messi ndio usicheze hivyo.


Mou ni mweupe kimbinu. Anatuharibia team tu hana lolote. Ni bora asipewe hela afukuzwe aje kocha mwenye mbinu za mpira wa kisasa. Sio kumwaga hela kwa kocha wa hovyo. Team inapack basi muda wote mpaka pre-season.


Nasikia Anataka amuuze Rojo huu si ujinga kabisa ,halafu anataka hela asajili beki. This is totally wrong disbursement of Funds. Kutwa kuongea shits kwa wachezaji.



Wachezaji wote ambao walikuwa na promising performance kipindi cha Van Gal chini yake wote wamekuwa butu kutokana na mambinu yake ya kujihami kuliko kusakata soka. Rashford na Martial ni mfano tu.


Kipindi cha kati hapa alianza kumchezesha Pogba kama Holding Midfielder mpaka Giggs na Paul scholes siku hiyo walikuwa BT sports walilalamika sana kuwa mourinho anataka kuua kipaji cha Pogba.



Chini ya Mou team haiwez fika kokote.
 
Mourinho akiondoka unafikir ndo kufanikiwa kwa manchester?

Kabla ya mourinho wamepita wakina nani?

Timu ina jina kubwa lakin tunawachezaj wa kawaida

Ndio aondoke sasa aje mwingine uwezo wake ndio umeishia hapo
 
Kocha Jose Mourinho amewaomba mastaa wake wa Manchester United kusitisha mapumziko yao ili warudi haraka kuisaidia timu, hali ni mbaya.

Man United haijapata ushindi wowote kwenye mechi zake za kujiandaa msimu mpya na hivi karibuni walichapwa 4-1 na Liverpool kwenye michuano ya International Champions Cup, jambo lililomfanya Mourinho kupeleka lawama kwa uongozi kuwa hawafanyi usajili anaotaka.

Wachezaji nyota wa Man United kwa sasa wapo likizo wakijipumzisha baada ya kutoka kwenye fainali za Kombe la Dunia 2018 huko Russia na miongoni mwao ni Paul Pogba, Jesse Lingard, Romelu Lukaku na Marouane Fellaini, ambao wote timu zao zilifika hatua ya nusu fainali.

Lakini jambo zuri ni kwamba Pogba, Lukaku na Fellaini wote wapo Beverly Hills na Lingard yupo Miami, huko huko Marekani wakijipumzisha.

Wachezaji wengine ni Marcus Rashford, Phil Jones, Ashley Young na wengineo wakiwa kwenye mapumziko, lakini sasa Mourinho amewaomba warudi kikosini kuokoa jahazi.

Rashford na Jones wanaripotiwa kukatisha likizo zao na kurudi Carrington kufanya mazoezi ili kujiweka fiti na Mourinho anawataka wachezaji wake wengine kuiga walichokifanya wachezaji hao.

Man United itakamilisha ziara yake ya huko Marekani kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Real Madrid mjini Miami kesho Jumatano kabla ya kupanda ndege kwenda Ujerumani kumenyana na Bayern Munich katika mechi ya mwisho ya kirafiki Jumapili hii.
 
Acheni ubishi uliowazi wakuu kwa zama za soka la sasa morinho na mfumo wake ushapitwa na wakati huo ndio ukweli ambao mashabiki wa morinho hawataki kuusikia
 
Ukisema wachezaji wa kawaida unakuwa umemaanisha nini?

Pogba,matic,fred,herrera pereira
Lukaku,martial,sanchez,degea,bailly,shaw,young..wote hawa ni wachezaji wa kawaida??...wachezaji wasio wa kawaida ni akina nani??
Mkuu humu kuna watu huwa nawaza napata jibu moja tu "Tunatofautiana"


Ni Manchester united hii hii mwaka jana huyu jamaa alikuwa anapiga chapuo itabeba makombe kwa kikosi hiki hiki, Na mimi hapa nikawa natoa sababu zangu za kiufundi kuwa team haiwezi beba hata ndondo cup. Sikugusia kabisa kuhusu wachezaji kwani naamini team yetu ina wachezaji wazuri ila tatizo ni kocha.


Mkuu wewe ni shahidi Game ya kwenda Robo fainal ya UEFA mourinho alimuanzisha fellain aliekuwa ametoka kwenye injury kama miezi miwili huku akimuweka benchi Tom Mctomminay ambae alikuwa amecheza vizuri katika game zote vs Big four Teams. Matokeo yake tukafungwa kwa aibu Old traford. Eti mata anakaa benchi dhidi ya felaini. Halafu mtu anakuja anasema Manchester haina wachezaji.



Msimamo wangu ni ule ule Mou hana La ziada.





Halafu huwa nawauliza hao wanaosema timu inashindwa kusajili , Hivi Manchester united inakosa pesa za kusajili mchezaji yoyote????? Timu yenye ukwasi wa pesa kama united ni ya kukosa hela ya kisajili????



Jiongezeni mtu anatafutwa hapo ni suala la muda tu, barua ipo tayari bado sahihi tu.
 
Mkuu humu kuna watu huwa nawaza napata jibu moja tu "Tunatofautiana"


Ni Manchester united hii hii mwaka jana huyu jamaa alikuwa anapiga chapuo itabeba makombe kwa kikosi hiki hiki, Na mimi hapa nikawa natoa sababu zangu za kiufundi kuwa team haiwezi beba hata ndondo cup. Sikugusia kabisa kuhusu wachezaji kwani naamini team yetu ina wachezaji wazuri ila tatizo ni kocha.


Mkuu wewe ni shahidi Game ya kwenda Robo fainal ya UEFA mourinho alimuanzisha fellain aliekuwa ametoka kwenye injury kama miezi miwili huku akimuweka benchi Tom Mctomminay ambae alikuwa amecheza vizuri katika game zote vs Big four Teams. Matokeo yake tukafungwa kwa aibu Old traford. Eti mata anakaa benchi dhidi ya felaini. Halafu mtu anakuja anasema Manchester haina wachezaji.



Msimamo wangu ni ule ule Mou hana La ziada.





Halafu huwa nawauliza hao wanaosema timu inashindwa kusajili , Hivi Manchester united inakosa pesa za kusajili mchezaji yoyote????? Timu yenye ukwasi wa pesa kama united ni ya kukosa hela ya kisajili????



Jiongezeni mtu anatafutwa hapo ni suala la muda tu, barua ipo tayari bado sahihi tu.
Duuu mzee baba umetisha
 
'Mourinho’s attack on Man Utd youngsters is unacceptable'

Naona Tokea Juzi Sakata la Murinho Kuwakataa Young Players wake Limekuwa Viral Kwenye Media! Kila Mtu anamlaumu yeye....
Hapo ndiyo Pressure inapoanzia...

Sijui Scholes bado yeye kusema kama Kawaida Yake?
 
Kocha kamtaka perisic weee mkurugenzi wa timu kajizungusha hadi dirisha limefungwa kisa jamaa hana jina la kuuza jezi hapo analaumiwa mourinho

Sanchez alipotakiwa fasta katoa pesa kisa auze jezi

Mourinho anatatizo gani muda wote mnamlaumu?

Kachoka na ujinga wa ed kaanza kuongea hovyo kazi inakuwa ngumu

Van gal kalalamika sana usajili

Moyes nae kalalamika sana bodi kuhusu usajili

Mchawi ni ed woordward kajikita kipesa sio uwanjani akisikia wachezaji wa jezi fasta kabeba.
nasikia jamaa ni bingwa wa marketing ila kwenye usajili ni zero ndio maana anafanya vile alichokisomea
 
Mourinho kila anapotoka anatoka na Lawama. Ameshazoeleka.



Kwa mbinu za Mourinho hata aje Messi na Ronaldo ni chenga tupu.


Tatizo ni mourinho Asap. Hakuna ujinga. Kama team walau ingekuwa walau inacheza mpira wa kulidhisha tungekubali lawama zake. Team inacheza hovyooooo. Huoni tactical display za kocha. Huoni ufundi wowote.


Ufundi wa kocha haujidhihirishi kwa kuwa na wachezaji nyota. Team kama tottenham haina nyota ila ufundi wa mwalimu unauona timu inapocheza kwa hiyo kocha kama huyu akiongezewa super nyota players team itatisha.


Na pochetino hakuanzia hapo mbinu zako kuonekana bora ni kuanzia alipokuwa Southampton.


Sasa mourinho ni mwendo wa kupack bus, timu haichezi na mfumo wake hautengenezi nafasi za kufunga. Hapa hatuzungumzii wachezaji, hapa ni mfumo wa kocha. Hata akicha ronaldo timu mfumo wake ni kupack basi ronaldo hawezi funga magoli. Tatizo ni mourinho ni kichaa tu ndio anaweza asilione hili.





Manchester United haiwezi kurudi kwenye zama zake kwa kusajili mastaa chungu nzima wakati kiufundi iko vibaya. Timu itarudi kwenye zama zake kwa kuwa na kocha mwenye mbinu za kutopack bus na kutengeneza nafasi nyingi.




Watu wanasahau ni Mourinho huyu huyu ndio alikuwa madrid ya mastaa chungu nzima kuanzia Modric, Ronaldo,Benzema, Casilas na wengine kibao lakini mwisho wa siku hakufua dafu mbele ya Pep Guardiola. Sana sana aliishia kumuuza Goli kipa Bora miaka hiyo Ikar Casilas.



Huyu huyu mourinho alikuwa chelsea timu ilimshinda akaishia kutupia lawama wachezahi watatu aliowaita "Three Big Rats"



MaKocha wa kuivusha hii team ni either;

1. Mauricio Pochetino
2. Diego Simione
3. Ryan Giggs
4. Sulivan




Mourinho Football Tactics are outdated and can't work onto modern Competitive footbal. Under Mou We've to expect Nothing.
kumbuka simeone nae ni mzee wa kupaki basi....yani unaongea sana halafu mwishowe unajitia kidole mwenyew na kunusa
 
Ukisema wachezaji wa kawaida unakuwa umemaanisha nini?

Pogba,matic,fred,herrera pereira
Lukaku,martial,sanchez,degea,bailly,shaw,young..wote hawa ni wachezaji wa kawaida??...wachezaji wasio wa kawaida ni akina nani??
Japo sio mshabiki wa Man United Ila jamaa amenishtua alivyowataja akina Sanchez,Lukaku,Mata,Matic,Pogba,De Gea ni wachezaji wa kawaida tu ukilinganisha na wa Man City.
Hawa ni wachezaji wa kiwango cha juu kama wa Man City tu na zaidi wanaweza wakawapita pia.

Hivi Ukiunda combined Timu ya Man City/United mbona wachezaji Wengi watatoka United? Kubalini tu Mourinho hana mbinu za kuipa United Makombe.

Hebu angalia Pogba akicheza Ufaransa na alivyokua Juventus..Leo Mourinho anamuona hana kiwango.
 
Ndio aondoke sasa aje mwingine uwezo wake ndio umeishia hapo
Utapata tabu sana kama madrid ya wakina canavaro,ronaldo de lima wakina owen na wengine wengi mtafukuza makocha hadi ipataikane cream ya maana kwa sasa mnapoteza muda vumilieni timu ina matakaataka mengi hadi wakina darmian wamo
 
Akiumia Matic backup yake ni nani? Lukaku akiumia/akiwa na game mbaya nani anakuja kama mbadala? , Akiumia Baily basi unaingia uwanjani na Jones na Smalling. Ukitaka kujua kama timu yako ni ya kawaida au la jilinganinshe na mpinzani wako, ambaye kwa sasa ni Manchester City.
Kipa tumewazidi. Ila anzia namba mbili hadi 11 uone mwenzio alivyo na options za kutosha.

Mwenzako ana Stones,Laportte,Otamendi,kompany,Walker,Mendy,Delph na wengine kwenye ukuta. Viungo ana Kdb,D.Silva,Fernandinho,Gundogan,Yaya toure hao wote ni matured players.
Hapo hujazungumzia washambuliaji wake. Aguero ana pigwa rotation na ana pata Matokeo. Wakati wewe winga yako ya kulia ni Lingard/Mata mwenzio anamchukua Mahrez kama mchezaji wa kuongeza depth.

Kwanini asikushinde??
Kaumia valencia nafasi inachukuliwa na darmian hao wote mourinho kawakuta kaomba pesa za kutaka kikosi chake bodi inakimbia lawama kwa mourinho
 
kumbuka simeone nae ni mzee wa kupaki basi....yani unaongea sana halafu mwishowe unajitia kidole mwenyew na kunusa
Hahahaha hawa watu wa kuwaacha tu mimi mourinho akipewa majembe yake matano akifeli ntamzingua sasa kaumia valencia darmian anabadili bado kocha analaumiwa wakat bodi haitak kutoa pesa za usajili wa mabek kocha afanayaje?
 
Acheni ubishi uliowazi wakuu kwa zama za soka la sasa morinho na mfumo wake ushapitwa na wakati huo ndio ukweli ambao mashabiki wa morinho hawataki kuusikia
Wanashindwa kuona hata zile mechi tulizoshinda msimu uliopita zingeongezwa dakika tano katika hizo mechi tungeweza kutoka sare au kufungwa kabisa.

Timu inacheza hovyo sana.
 
'Mourinho’s attack on Man Utd youngsters is unacceptable'

Naona Tokea Juzi Sakata la Murinho Kuwakataa Young Players wake Limekuwa Viral Kwenye Media! Kila Mtu anamlaumu yeye....
Hapo ndiyo Pressure inapoanzia...

Sijui Scholes bado yeye kusema kama Kawaida Yake?
Kuna muda unaweza kuwa na academy halafu ikatoa wachezaji wachovu mara ya mwisho kutoa academy yenye nguvu ya wakina pogba tu kidogo saiv namuona perreira scott,axel na mensah sasa hao ukiwapanga unapokutana na liverpool, chelsea na city nini unataka bila kuwa na top players?

Madrid kulikuwa na

Ronaldo
Bale
Mondric
Kroos
Ramos
Marcelo
Carvajal
Hapo hata ukiweka vitoto walau vinapumua sasa vipi united?
 
Heshima kwako mkuu, walio wengi wanashindwa kuona hiki kitu na wanabaki wanamulaumu kocha.Hata hoa kina pogba lingard lukaku hawa consistency Leo wanaperform vizur kesho na kesho kutwa ni majanga

NB; Tusipofungua pochi kwa siku hz chache msimu ujao naona tukipata tabu saana
Sasa mkuu asipolaumiwa kocha kwenye kukosa back up alaumiwe nani?
 
Back
Top Bottom