Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hadi sasa kacheza vizur sana perreira nafikir kishapata nafasi yake.
 
Last edited:
Leo kidogo mourinho alikuwa seaorius sio kama mech la liverpool alikuwa na masihara mengi
 
Msimu uanze tuu sasa

Glory Glory Man United
Kwa ingizo la fred wakirudi na viungo wetu wenye uzoef timu ipo vizur diogo dalot kapona kaanza mazoez walau tuongeze na wachezaj wawili au mmoja hasa 5
 
Last edited:
Kwa ingizo la fred wakirudi na viungo wetu wenye uzoef timu ipo vizir dorot kapona kaanza mazoez walau tuongeze na wachezaj wawili au mmoja hasa 5
Viungo tupo sawa

Suala la kuongeza wachezaji "walau" wawili kumbuka tarehe 9 transfer window inafungwa... tusije tukanunua / tukauziwa mbuzi kwenye gunia
 
JOSE MOURINHO ana matatizo ya kisaikolojia na yamepanda stage, kwa washabiki wanaojua mpira hawatabishana kuwa Mou ni Muoga kupindukia alf uoga wake kwenuye timu kubwa kama United haufai.. Jinsi alivyojitetea baada ya mechi ya Liver na hata kikosi alichopanga asubuh ile na Madrid yote ni uoga. Kwa timu kama Manchester kupanga kikosi full cha wachezaj walioko alf unafanya sub tatu tu kama fainali vile, kina Sanchez anao kila siku kwann wacheze dk 90 wakati kuna madogo wanaoweza wakacheza tu kupima uwezo wao, huo ni uoga wa matokeo kitu ambacho kita mcost kweny kutengeneza timu.
 
Kaumia valencia nafasi inachukuliwa na darmian hao wote mourinho kawakuta kaomba pesa za kutaka kikosi chake bodi inakimbia lawama kwa mourinho
Mbona mnacomplicate mambo sana..no mbili yupo lindelof,timoth fosu mensah,valencia na bado unamwongelea darmian as if ni second choice kwenye timu yetu
 
Mkuu top players wa aina gani Man United inayowakosa?

Wakina Sanchez,Pogba,Matic,Herrera,Lukaku,Bailly,Martial,De Gea sio top players?
Hawa wote wana uwezo wa kuchezea Madrid vizuri tu.
Timu nzima haiwezi Kuwa na top players namba zote.

Je Liverpool ina top players gani? Mbona ilifika fainali UEFA?
Top player wenyewe wanaowazungumzia ni perisic,willian na maguire,bale..hawa jamaa bhana
 
Top player wenyewe wanaowazungumzia ni perisic,willian na maguire,bale..hawa jamaa bhana
Hakuna mahali alipozungumziwa maguire kama ni top player,,, bale na willian wakumfananisha na winga gan pale united? Jones na smalling wamekosa namba timu ya taifa kwa maguire au hukuona?
 
Mbona mnacomplicate mambo sana..no mbili yupo lindelof,timoth fosu mensah,valencia na bado unamwongelea darmian as if ni second choice kwenye timu yetu
Hao uliowataja wamecheza mechi ngapi msimu ulioisha ndani ya united kunbadili valencia?
 
Back
Top Bottom