Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hakika una hoja mujarabu kabisa. Hongera sana ndugu yangu.



Nimekuwa nikipiga kelele humu miaka sasa kuhusu mourinho na uwezo wake kimbinu ambavyo hauendani na soka la kisasa. Mpira wa kisasa kujilinda ni wewe kumiliki mpira. Huwezi kujilinda "Defend" kwa kuwa na "Poor Possession".


Bahati mbaya au nzuri Ni mashabiki wachache tulifanikiwa kuona gap la Mourinho kuwa haendani na soka tulilolizoea la manchester united; na ndio sababu hata Sir Alex Furguson hakumuweka Mourinho kwenye hata top 3 ya makocha wa kumrithi. Ukisoma kitabu cha furguson Cha "MY AUTOBIOGRAPHY" utaona haya niliyosema. Mzee Boby Charlton yeye ndio aliongoza jopo la wanamanchester united kumkataa Mourinho asitue Klabuni. Hapo sijawazungumzia wachezaji manguli wa Manchester united waliopinga ujio wa Mourinho. Gigs mpaka leo hapatani na mbinu za kocha wetu.


Hawa wote ni watu waandamizi kwenye club. Ni watu wazito.


Hoja kubwa ya wanaomtetea mourinho wanajiegemeza kwenye mafanikio ya kutwaa kombe la Europa na kikombe cha FA. This doesn't justify his collapse. Huwa nawashangaa sana sijui ni ukichaaa!!!!!


Wanasahau ni mourinho huyu huyu alitolewa Chelsea akiwa katoka kuwapa Kombe la ligi. Wamesahau. Kama ni suala la uvumilivu wangeanza kuwa nao chelsea.



Mbaya zaidi hata ukiangalia mpango kazi wa mourinho huoni future ya team. Kwa ligi yenye kocha kama Guardiola, na Klop inabidi uwe na kocha mwenye mbinu bobezi na za kisasa kupambana nao.


Niliwahi kuandika hapa na ninarudia tena ili upime uwezo wa Mourinho angalia opponents wake wakubwa katika ligi ambao kwa sasa ni Guardiola na Klop. Tangu klop katua Liverpool unaona kabisa ni suala la muda tu team ianze kula matunda. Tayari ameshaifikisha team fainal mbili za Europa na Uefa.


Guardiola nae kila mtu anajua alichofanya last season. Kapoteza game moja ya Ligi. Timu yake imefunga zaidi ya magoli 100. Huitaji elimu ya kiwango cha masters kuona utofauti.


Mbaya zaidi mourinho hajawahi kufurukuta mbele ya Guardiola. Huu ndio wasiwasi wangu mkubwa. Wote tunajua alichokuwa akifanywa alivyokuwa Madrid. Na record ziko wazi.



Mbinu za kizamani za mourinho za kumfunga Arse wenger nje ya uwanja kwa maneno ya shombo hawezi kufanya kwa Guardiola au Klop kwasababu hawa ni Disminders. Ndio maana hata kijembe alichomtupia Guardiola kuwa anamwaga pesa kununua kikombe Guardiola aliishia kucheka tu.



Wengine wanasema mourinho apewe muda. Timu inayoandaa zaidi ya poundi milion 300+ kwa usajili sio ya kupeana muda. Ni taeam inayohitaji instant Results.



Kwa aina ya usajili wanayofanya Klop na Guardiola sioni mourinho akitusua mbele ya hawa watu. Kwasababu yote kwa yote na vyovyote iwavyo destination ya mafanikio ya team ni lazima tutakuwa kwenye chungu kimoja na Mancity,Liver,Chelsea au Arsenal. Chelsea na Arsenal sizipi uhakika sana ya kuwa wapinzani wakubwa msimu huu kwa sababu ya mabadiriko ya makocha. Liver na Mancity ndio team inabidi tujipime nazo na kwa kumlinganisha mwalimu wetu kwa kupima uwezo wake dhidi ya makocha wa hizi team.


Siioni Mancheater. Tunasubiri Ngekewa. Itakuwa team yenye inconsistency.
Again Jose hawezi kuwa Klopp/Pep
Klopp/Pep hawezi kuwa Mourinho

Hata waliompa hiyo kazi wanafahamu hilo

Mpira wa kisasa ni kufunga magoli zaidi ya mpinzani wako I think umeangalia WC why Brazil,Spain mabingwa wa possesion wameshindwa na na timu kama France,Croatia
 
Last edited:
Hakika una hoja mujarabu kabisa. Hongera sana ndugu yangu.



Nimekuwa nikipiga kelele humu miaka sasa kuhusu mourinho na uwezo wake kimbinu ambavyo hauendani na soka la kisasa. Mpira wa kisasa kujilinda ni wewe kumiliki mpira. Huwezi kujilinda "Defend" kwa kuwa na "Poor Possession".


Bahati mbaya au nzuri Ni mashabiki wachache tulifanikiwa kuona gap la Mourinho kuwa haendani na soka tulilolizoea la manchester united; na ndio sababu hata Sir Alex Furguson hakumuweka Mourinho kwenye hata top 3 ya makocha wa kumrithi. Ukisoma kitabu cha furguson Cha "MY AUTOBIOGRAPHY" utaona haya niliyosema. Mzee Boby Charlton yeye ndio aliongoza jopo la wanamanchester united kumkataa Mourinho asitue Klabuni. Hapo sijawazungumzia wachezaji manguli wa Manchester united waliopinga ujio wa Mourinho. Gigs mpaka leo hapatani na mbinu za kocha wetu.


Hawa wote ni watu waandamizi kwenye club. Ni watu wazito.


Hoja kubwa ya wanaomtetea mourinho wanajiegemeza kwenye mafanikio ya kutwaa kombe la Europa na kikombe cha FA. This doesn't justify his collapse. Huwa nawashangaa sana sijui ni ukichaaa!!!!!


Wanasahau ni mourinho huyu huyu alitolewa Chelsea akiwa katoka kuwapa Kombe la ligi. Wamesahau. Kama ni suala la uvumilivu wangeanza kuwa nao chelsea.



Mbaya zaidi hata ukiangalia mpango kazi wa mourinho huoni future ya team. Kwa ligi yenye kocha kama Guardiola, na Klop inabidi uwe na kocha mwenye mbinu bobezi na za kisasa kupambana nao.


Niliwahi kuandika hapa na ninarudia tena ili upime uwezo wa Mourinho angalia opponents wake wakubwa katika ligi ambao kwa sasa ni Guardiola na Klop. Tangu klop katua Liverpool unaona kabisa ni suala la muda tu team ianze kula matunda. Tayari ameshaifikisha team fainal mbili za Europa na Uefa.


Guardiola nae kila mtu anajua alichofanya last season. Kapoteza game moja ya Ligi. Timu yake imefunga zaidi ya magoli 100. Huitaji elimu ya kiwango cha masters kuona utofauti.


Mbaya zaidi mourinho hajawahi kufurukuta mbele ya Guardiola. Huu ndio wasiwasi wangu mkubwa. Wote tunajua alichokuwa akifanywa alivyokuwa Madrid. Na record ziko wazi.



Mbinu za kizamani za mourinho za kumfunga Arse wenger nje ya uwanja kwa maneno ya shombo hawezi kufanya kwa Guardiola au Klop kwasababu hawa ni Disminders. Ndio maana hata kijembe alichomtupia Guardiola kuwa anamwaga pesa kununua kikombe Guardiola aliishia kucheka tu.



Wengine wanasema mourinho apewe muda. Timu inayoandaa zaidi ya poundi milion 300+ kwa usajili sio ya kupeana muda. Ni taeam inayohitaji instant Results.



Kwa aina ya usajili wanayofanya Klop na Guardiola sioni mourinho akitusua mbele ya hawa watu. Kwasababu yote kwa yote na vyovyote iwavyo destination ya mafanikio ya team ni lazima tutakuwa kwenye chungu kimoja na Mancity,Liver,Chelsea au Arsenal. Chelsea na Arsenal sizipi uhakika sana ya kuwa wapinzani wakubwa msimu huu kwa sababu ya mabadiriko ya makocha. Liver na Mancity ndio team inabidi tujipime nazo na kwa kumlinganisha mwalimu wetu kwa kupima uwezo wake dhidi ya makocha wa hizi team.


Siioni Mancheater. Tunasubiri Ngekewa. Itakuwa team yenye inconsistency.
Watakuja watakuita plastic fan...hawa jamaa bana,,mafanikio yao ni sisi kufika europa league na kupaki basi kwa ajax

Mbinu za mourinho zimepitwa na wakati,ni muda sasa tupate kocha atakayefundisha soka la kisasa
 
Watakuja watakuita plastic fan...hawa jamaa bana,,mafanikio yao ni sisi kufika europa league na kupaki basi kwa ajax

Mbinu za mourinho zimepitwa na wakati,ni muda sasa tupate kocha atakayefundisha soka la kisasa
Kufundisha United after SAF ni moja ya kazi ngumu sana kuliko tunavyodhani na sioni kocha ambaye anaweza kuifix hii timu within 3 years

Soka la kisasa ndio lipi ?
 
Again Jose hawezi kuwa Klopp/Pep
Klopp/Pep hawezi kuwa Mourinho

Hata waliompa hiyo kazi wanafahamu hilo

Mpira wa kisasa ni kufunga magoli zaidi ya mpinzani wako I think umeangalia WC why Brazil,Spain mabingwa wa possesion wameshindwa na na timu kama France,Croatia
Muda mwingine huwa najiuliza hivi watu tunaelewa tulichosoma.


Mkuu hebu naomba unioneshe Semantically au Morphologicaly ni wapi nimesema mourinho anaweza kuwa Pep/Guardioala. Kama ukiweza kuuthibitishia umma mimi nimetamka hivyo nitamuomba Maxenxe Melo Anitoe uanachama Wa Janii forum.



Unasema mpira wa kisasa ni kufunga magoli. Ni kweli kabisa. Sasa ili ujijue performance yako ya kufunga magoli ikoje jilinganishe na wapinzani wako. Nenda kaangalie magoli aliyofunga mancity au Liver. Najua utakuja kwenye suala la magoli ya kufungwa. Nakuomba ucheki Goal difference ya Mancity na Manchester ili upate wastani wa magoli. Definitely man city yupo juu which means hata kama tungelingana point still city angekuwa bingwa.



Sidhani kama umeelewa nilichoandila. Hakuna sehemu nimesema ukiwa na possesion kubwa hufungwi. Ila nimesema possession ni njia mojawapo ya kujilinda na sio kutokufungwa. Nusu fainali ya Mwaka 2008 Mancheater united alimfunga Barcelona huku kukiwa na HIGHEST ball possession difference.


Katika world cup ya mwaka huu Urusi alimfunga Spain wakati spain akiwa na Ball possession ya zaidi ya 80%.


So unaweza kuona Ball possession si kutokufungwa. Ila ni njia ya kupunguza possibility ya kufungwa kwa sababu mpira mwingi unaucheza wewe.



Punguza mihemko soma uelewe mantiki "Logic" ya maandishi na Sio kushangaa " a,e,I,o,u" zilizopo kwenye maandishi.



GGMu
 
Kufundisha United after SAF ni moja ya kazi ngumu sana kuliko tunavyodhani na sioni kocha ambaye anaweza kuifix hii timu within 3 years

Soka la kisasa ndio lipi ?
Unajua contents za mkataba wa adidas na united kuhusu performance ya team na jinsi itakavyoathiri team.


Kumbuka mkataba wa Adidas ba United ndio mkataba mkubwa kuwahi kutokea duniani kati ya team na Kampuni yoyote (Its a mega deal ever).


Ingia google halafu soma hizo contents ndio utajua kwanini nasema united inahitaji instant results.


Huwezi kuwa unawasajili wakakina Ibrahimovic,Matic , Grants, Miki, n.k ambao age yao ni wastani wa miaka kama 29 useme unategemea mafanikio baada ya miaka mitatu. Kumbuka baada ya miaka mitatu hawa wastani wa umri ni kwenye miaka 30+.... Hahahaha unachekesha.


Morinho hana long term plan. PERIOD. Huo ndio ukweli.


Najua Miki na zlatan hawapo ila ni mfano nimeutoa kupinga hoja yako ya mafanikio ndani ya miaka mitatu kuwa ilikiwa haiendani na usajili aliokuwa anafanya. Ndani ya miaka hiyo mitatu wachezaji wake wengi wangekuwa over 30 kitu ambacho kwa soka la ushindani lazima ustruggle sana kupata mafanikio. Najua utakuja na mifano ya team za vibabu. Hahahaha
 
Unajua contents za mkataba wa adidas na united kuhusu performance ya team na jinsi itakavyoathiri team.


Kumbuka mkataba wa Adidas ba United ndio mkataba mkubwa kuwahi kutokea duniani kati ya team na Kampuni yoyote (Its a mega deal ever).


Ingia google halafu soma hizo contents ndio utajua kwanini nasema united inahitaji instant results.


Huwezi kuwa unawasajili wakakina Ibrahimovic,Matic , Grants, Miki, n.k ambao age yao ni wastani wa miaka kama 29 useme unategemea mafanikio baada ya miaka mitatu. Kumbuka baada ya miaka mitatu hawa wastani wa umri ni kwenye miaka 30+.... Hahahaha unachekesha.


Morinho hana long term plan. PERIOD. Huo ndio ukweli.


Najua Miki na zlatan hawapo ila ni mfano nimeutoa kupinga hoja yako ya mafanikio ndani ya miaka mitatu kuwa ilikiwa haiendani na usajili aliokuwa anafanya. Ndani ya miaka hiyo mitatu wachezaji wake wengi wangekuwa over 30 kitu ambacho kwa soka la ushindani lazima ustruggle sana kupata mafanikio. Najua utakuja na mifano ya team za vibabu. Hahahaha
I though siku hizi unaweza kujenga hoja kumbe bado hujaacha kuandika mipasho ?
 
Unajua contents za mkataba wa adidas na united kuhusu performance ya team na jinsi itakavyoathiri team.


Kumbuka mkataba wa Adidas ba United ndio mkataba mkubwa kuwahi kutokea duniani kati ya team na Kampuni yoyote (Its a mega deal ever).


Ingia google halafu soma hizo contents ndio utajua kwanini nasema united inahitaji instant results.


Huwezi kuwa unawasajili wakakina Ibrahimovic,Matic , Grants, Miki, n.k ambao age yao ni wastani wa miaka kama 29 useme unategemea mafanikio baada ya miaka mitatu. Kumbuka baada ya miaka mitatu hawa wastani wa umri ni kwenye miaka 30+.... Hahahaha unachekesha.


Morinho hana long term plan. PERIOD. Huo ndio ukweli.


Najua Miki na zlatan hawapo ila ni mfano nimeutoa kupinga hoja yako ya mafanikio ndani ya miaka mitatu kuwa ilikiwa haiendani na usajili aliokuwa anafanya. Ndani ya miaka hiyo mitatu wachezaji wake wengi wangekuwa over 30 kitu ambacho kwa soka la ushindani lazima ustruggle sana kupata mafanikio. Najua utakuja na mifano ya team za vibabu. Hahahaha
Kuhusu usajili wa wachezaji Mou amesajili wachezaji wengi wenye umri mzuri kuliko wazee. Kwa hiyo kama future ni pamoja na age nzuri ya wachezaji basi hilo amelizingatia.
Msimu wa kwanza alisajili Pogba(23),Baily(23),IBRA(34),Mikh(27)
Msimu wa pili alisajili Lukaku(24),linderlof(23),Matic (29).
Msimu huu amesajili Dalot(19),Fred(25), na Grant(35) ambaye ni kipa.
 
I though siku hizi unaweza kujenga hoja kumbe bado hujaacha kuandika mipasho ?
Desturi yangu ni moja " I'm who you want me to be"


Nakuona sasa umekuja kwenye personal issues. Nakukaribisha kwa mikono miwili. I'm ready fella. Welcome for the Rumble.


I'll holla and give yah the fantasy you won't forget.


Karibu.
 
YANAYOENDELEA YANASIKITISHA KWA KWELI!

PRE-SEASON DETAILS FROM TOP 4 MANAGERS

🇪🇸 Emery Unai
🗣 "Matokeo siyo kitu muhimu kwangu mm kwa sasa. Tunawapa nafasi vijana ili waweze kucheza ktk ubora wa hali ya juu kwa kutumia mbinu na majukumu tunayowapatia."

🇪🇸 Guardiola:

🗣 “Nimefurahi takriban wiki 2 na hawa vijana.Naweza kusema nawashukuru sana.

🇩🇪 Klopp:

🗣 “Wachezaj wote vijana wako vizuri. Wamecheza vizuri sana kwa pre season hii.

🇵🇹 Mourinho:

🗣 “Iki siyo kikosi changu. Unataka Alexis Sanchez awe na furaha kwa wachezaj hawa waliomzunguka?
 
Naona 3rd Year Syndrome ya Mourinho imeshamuanza?


Jose Mourinho's relationship with Manchester United executive vice-chairman Ed Woodward is reportedly at an "all-time low"

• Year 1: I’m here, I’m the best!!

• Year 2: call out players, row with other managers, blame referees.

• Year 3: blame the hierarchy, fall out with everyone

That’s Jose!!
 
Naona 3rd Year Syndrome ya Mourinho imeshamuanza?


Jose Mourinho's relationship with Manchester United executive vice-chairman Ed Woodward is reportedly at an "all-time low"

• Year 1: I’m here, I’m the best!!

• Year 2: call out players, row with other managers, blame referees.

• Year 3: blame the hierarchy, fall out with everyone

That’s Jose!!
Huyu Kocha ni mtihani
 
Sio Mimi ni Edo
IMG_20180730_131944.jpg
 

Kuna siku tutakubaliana wote kwamba tatizo la MUFC ni Mou,sio mbali sana.
Mourinho vs Woodward + The Glazers
:
Zikiwa zimebaki siku 10 kuelekea mwisho wa dirisha la usajili, hali sio nzuri kwenye mipango ya usajili ya klabu ya Manchester United.
:
Mourinho juzi kupitia mkutano wa waandishi wa habari alisisitiza kwamba aliomba usajili wa wachezaji 5 miezi kadhaa iliyopita - mabeki watatu, kiungo, na mshambuliaji. Lakini mpaka sasa amepata wachezaji wawili tu - ukimuondoa Grant aliyesajiliwa kwasababu Sam Johnstone kauzwa na Joel Pereira huenda akatolewa kwa mkopo. Kutokana na ufinyu wa muda uliobaki - Mourinho amesema angependa apate angalau wachezaji wengine wawili lakini haoni hilo likifanikiwa, hivyo huenda akapata mchezaji mmoja.
:
United walishika nafasi ya pili katika ligi dhidi ya wapinzani wao City ambao wameendelea kujiimarisha pamoja na kumaliza ligi wakiwaacha kwa pointi 19.
:
Pamoja na kurithi kikosi imara zaidi ya United, Pep amesaini wachezaji 20 ndani ya miaka 2 iliyopita, Mourinho amesaini wachezaji 9 tu.
:
Pamoja na utajiri mkubwa ilionao kuvizidi vilabu vyote vya soka duniani, United wamekuwa na tatizo kwenye kufanya usajili chini Ed Woodward. David Moyes alisajili mchezaji mmoja wakati alipoachiwa timu - na alilalamika kwamba bodi ya United ilimuangusha kwenye usajili. Van Gaal pia alitoa malalamiko kuhusu bodi na Woodward kwenye usajili na sasa Mourinho.
:
Inaripotiwa Woodward hupenda kusajili wachezaji ambao kibiashara huiletea timu faida nje ya uwanja, wachezaji wenye majina kuvutia biashara ya matangazo, mauzo ya merchandises, nk. Hivyo mara kadhaa amekuwa akipishana na makocha kwenye suala la usajili. Lakini pia wenye timu - The Glazers - wameripotiwa kwamba wao kuwa na mlengo wa kuingiza fedha zaidi kuliko masuala ya mafanikio ya timu uwanjani.
:
Uwepo na Ferguson na David Gill kabla, ulikuwa unaifichia United madhaifu yake. Walikuwa wazuri zaidi kwenye majukumu yao na kuiweza kuiletea mafanikio timu pamoja kuwa na wachezaji kadhaa ambao hawakuwa wa daraja la juu.
Kuondoka kwao kwa pamoja kumeiacha ‘uchi’ United, huu ni mwaka 5 hawajawahi kutwaa EPL, wamecheza Champions mara 3 tu na nafasi juu waliyomaliza ni robo fainali.
:
Nini hatma ya United? Tatizo ni makocha? Au Woodward Glazers? Nini suluhisho?
 
Back
Top Bottom