Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwa mtizamo wangu,usajili wa beki Yeri Mina toka barca kuja manchester united ni dalili kwamba tunapanga kupata magoli kwa mtindo wa mipira iliyokufa kwenye mechi zitakazotukutanisha na timu za top 6. Kwa maana hiy, tutegemee defensive games zaidi tunapocheza na timu za top 6 kasoro arsenal tu.
Huu msimu napanga niutumie vizuri kusoma vitabu tu.
Hahhhahah mkuu umeenda mbali sana, team itafanya vizuri sana tu japo uvumilivu unahitajika.
 
alderweireld to man united is a done deal. [gregory Ioannidis and diego martinez]
 
Screenshot_2018-08-04-01-22-45.png
 
Aliomba ruhusa wakamnyima,alichofanyiwa sio fair kabisa wangemruhusu tu. Familia ina umuhimu mkubwa,kuna mchezaji wa England aliruhusiwa kwa emergency kama ya martial kipindi cha kombe la dunia.
Mkuu alipewa ruhusa baada ya mechi ya club america sema alichelewa kurudi aliomba wachezaj wake wawahi kurudi
 
Kuna mashabiki wanachosha mkuu
Sidhani hata Pre Season wkama wanaangaliaga mechi

Umemwambia ukweli katika hao 12 ni De Gea pekee ndiye aliyekuwepo dhidi ya Real Madrid na kucheza
Waangalie wapi kila siku makelele tu mfano hata mm ningekuwa kocha perreira siwez kumfanyia mzunguko sehem aliyocheza kocha lazima amwache na kumwona kama anapanda na kushuka kwa kiwango lakin mech zote tatu hilo eneo tunashida sana kacheza vizur sana alimchezesha na scott dogo kawika kampanga na herrera dogo kawika kampanga na fred dogo yupo safi ila ukiangalia shaw bado hayuko poa alihitaj kufanyiwa mabadiliko na madogo kitu ambacho kocha alifanya lakin bado namba tatu tuna shida madogo hawakuwa safi kidogo tuanzebe alijitahid japo sio upande wake

Sasa kwa uwezo wa perreira hakika tayar tun mtu namba 6 ukiangalia pess na uchezaj kama carick kidogo anaibia huko sasa kocha alikuwa anatafuta balansi ya timu sio muda wote wa kufanya sub tu

Wao madrid ilikuwa mech yao ya kwanza rotation muhimu jambo ambalo sisi tulifanya kwa liverpool na club america
 
Kwa mtizamo wangu,usajili wa beki Yeri Mina toka barca kuja manchester united ni dalili kwamba tunapanga kupata magoli kwa mtindo wa mipira iliyokufa kwenye mechi zitakazotukutanisha na timu za top 6. Kwa maana hiy, tutegemee defensive games zaidi tunapocheza na timu za top 6 kasoro arsenal tu.
Huu msimu napanga niutumie vizuri kusoma vitabu tu.
dah mkuu usiichoke timu kiasi hiki.
 
Hakika una hoja mujarabu kabisa. Hongera sana ndugu yangu.



Nimekuwa nikipiga kelele humu miaka sasa kuhusu mourinho na uwezo wake kimbinu ambavyo hauendani na soka la kisasa. Mpira wa kisasa kujilinda ni wewe kumiliki mpira. Huwezi kujilinda "Defend" kwa kuwa na "Poor Possession".


Bahati mbaya au nzuri Ni mashabiki wachache tulifanikiwa kuona gap la Mourinho kuwa haendani na soka tulilolizoea la manchester united; na ndio sababu hata Sir Alex Furguson hakumuweka Mourinho kwenye hata top 3 ya makocha wa kumrithi. Ukisoma kitabu cha furguson Cha "MY AUTOBIOGRAPHY" utaona haya niliyosema. Mzee Boby Charlton yeye ndio aliongoza jopo la wanamanchester united kumkataa Mourinho asitue Klabuni. Hapo sijawazungumzia wachezaji manguli wa Manchester united waliopinga ujio wa Mourinho. Gigs mpaka leo hapatani na mbinu za kocha wetu.


Hawa wote ni watu waandamizi kwenye club. Ni watu wazito.


Hoja kubwa ya wanaomtetea mourinho wanajiegemeza kwenye mafanikio ya kutwaa kombe la Europa na kikombe cha FA. This doesn't justify his collapse. Huwa nawashangaa sana sijui ni ukichaaa!!!!!


Wanasahau ni mourinho huyu huyu alitolewa Chelsea akiwa katoka kuwapa Kombe la ligi. Wamesahau. Kama ni suala la uvumilivu wangeanza kuwa nao chelsea.



Mbaya zaidi hata ukiangalia mpango kazi wa mourinho huoni future ya team. Kwa ligi yenye kocha kama Guardiola, na Klop inabidi uwe na kocha mwenye mbinu bobezi na za kisasa kupambana nao.


Niliwahi kuandika hapa na ninarudia tena ili upime uwezo wa Mourinho angalia opponents wake wakubwa katika ligi ambao kwa sasa ni Guardiola na Klop. Tangu klop katua Liverpool unaona kabisa ni suala la muda tu team ianze kula matunda. Tayari ameshaifikisha team fainal mbili za Europa na Uefa.


Guardiola nae kila mtu anajua alichofanya last season. Kapoteza game moja ya Ligi. Timu yake imefunga zaidi ya magoli 100. Huitaji elimu ya kiwango cha masters kuona utofauti.


Mbaya zaidi mourinho hajawahi kufurukuta mbele ya Guardiola. Huu ndio wasiwasi wangu mkubwa. Wote tunajua alichokuwa akifanywa alivyokuwa Madrid. Na record ziko wazi.



Mbinu za kizamani za mourinho za kumfunga Arse wenger nje ya uwanja kwa maneno ya shombo hawezi kufanya kwa Guardiola au Klop kwasababu hawa ni Disminders. Ndio maana hata kijembe alichomtupia Guardiola kuwa anamwaga pesa kununua kikombe Guardiola aliishia kucheka tu.



Wengine wanasema mourinho apewe muda. Timu inayoandaa zaidi ya poundi milion 300+ kwa usajili sio ya kupeana muda. Ni taeam inayohitaji instant Results.



Kwa aina ya usajili wanayofanya Klop na Guardiola sioni mourinho akitusua mbele ya hawa watu. Kwasababu yote kwa yote na vyovyote iwavyo destination ya mafanikio ya team ni lazima tutakuwa kwenye chungu kimoja na Mancity,Liver,Chelsea au Arsenal. Chelsea na Arsenal sizipi uhakika sana ya kuwa wapinzani wakubwa msimu huu kwa sababu ya mabadiriko ya makocha. Liver na Mancity ndio team inabidi tujipime nazo na kwa kumlinganisha mwalimu wetu kwa kupima uwezo wake dhidi ya makocha wa hizi team.


Siioni Mancheater. Tunasubiri Ngekewa. Itakuwa team yenye inconsistency.
kuna ka timu kanabezwa sana nako kanaitwa Tottenham
 
Mimi nilisikia rumors za Joachim low kwamba siku Mou akiachia timu man u wanamzingatia. Zizou huwa naamini pale Real Madrid alibebwa na uwezo Mkubwa Wa wachezaji wote walomzunguka. Ila hata ikitokea siku tukawa nae nitafurahi pia manake ni Mwalimu anayejali sana vipaji vya watu na anapenda kuwaacha wachezaji waonyeshe vipaji vyao hata kama ni wadogo,so kwa academy graduates tulionao bado anaweza kuifikisha timu pazuri
 
Mkuu Daud1990 nimekutag ili uje uione hii post pengine unafikra kunyume na za hii post.
Kwa nini kuna kama uhasama kati ya martial na Mwalimu kama alikuwa ktk ubora? Ni sawa kwa Herrera kutoka kuwa captain to be hadi kuwa nyuma ya fellain na mctominay baada ya msimu mmoja? Huwa siamini kwamba IBRA alileta Europa league silverware, kwani alifunga goli ngapi na kusaidia ngapi ktk Yale mashindano? Lukaku mchango wake naamini haukuwa Mkubwa kama alivyostahili kuchangia,hapa huwa naamini ni mfumo mbovu Wa Mwalimu umemfanya aishie hapo kwa last season. Rashford hakupewa nafasi ya kutosha na hata southgate wakati anateua kikosi cha england alisema sitajali hali ya rashford kule man u nitamjumuisha ktk kikosi changu. De gea kupata hiyo golden gloves ni kutokana na ubovu Wa defence kwa misimimu karibia minne au mitatu mfulilizo ukiwepo ulopita. Tena ulopita nadhani ndio tulikuwa na defence mbovu zaidi japo tulifungwa goli chache ukilinganisha na timu nyingi. Nasema tulikuwa na defence mbovu sana kwa sababu tulifungwa goli hizo tena nyingi za kizembe wakati timu nzima ilikuwa ina linda kipa wetu asifumgwe,na hata lukaku mwenyewe alitudhuru kwa kutoka na goli za kutoka mwilini mwake kama mbili au tatu hivi. Naamini soka la sasa haliendani na mpira Wa kujilinda zaidi
 
Kwa nini kuna kama uhasama kati ya martial na Mwalimu kama alikuwa ktk ubora? Ni sawa kwa Herrera kutoka kuwa captain to be hadi kuwa nyuma ya fellain na mctominay baada ya msimu mmoja? Huwa siamini kwamba IBRA alileta Europa league silverware, kwani alifunga goli ngapi na kusaidia ngapi ktk Yale mashindano? Lukaku mchango wake naamini haukuwa Mkubwa kama alivyostahili kuchangia,hapa huwa naamini ni mfumo mbovu Wa Mwalimu umemfanya aishie hapo kwa last season. Rashford hakupewa nafasi ya kutosha na hata southgate wakati anateua kikosi cha england alisema sitajali hali ya rashford kule man u nitamjumuisha ktk kikosi changu. De gea kupata hiyo golden gloves ni kutokana na ubovu Wa defence kwa misimimu karibia minne au mitatu mfulilizo ukiwepo ulopita. Tena ulopita nadhani ndio tulikuwa na defence mbovu zaidi japo tulifungwa goli chache ukilinganisha na timu nyingi. Nasema tulikuwa na defence mbovu sana kwa sababu tulifungwa goli hizo tena nyingi za kizembe wakati timu nzima ilikuwa ina linda kipa wetu asifumgwe,na hata lukaku mwenyewe alitudhuru kwa kutoka na goli za kutoka mwilini mwake kama mbili au tatu hivi. Naamini soka la sasa haliendani na mpira Wa kujilinda zaidi
1. Sijasema Ibra ameleta Europa nimesema amelipatia man u soma vizuri. Mkhitariyan ndio ametupa Europa, Ibra alitupa carabao goli 2 za fainali ana mchango wake nae

2. Niliona timu ya taifa Rashford wala hajaanzia benchi mechi zote kaanza yeye na Harry kane na sterling walikuwa wanasubiria, alivyokuwa akimtumia mou rashford ndio hivyo hivyo alivyomtumia southgate kuna jipya gani alilofanya? Waandishi wa habari unaweza waambia chochote ila matendo ni uwanjani.

3. Mchango wa lukaku sio mkubwa? Magoli 31 na pasi 11 za magoli ni mchango mdogo? Hebu nitajie ni mwaka gani lukaku amekuwa na kiwango kikubwa kushinda msimu uliopita? Mtu amecheza mara ya kwanza Uefa na katupia goli 5 unaona ni mchezo?

4. Kwa hio timu ina defense mbovu kushinda zamani halafu inafungwa goli chache hebu nieleweshe hapa sijakuelewa.
 
1. Sijasema Ibra ameleta Europa nimesema amelipatia man u soma vizuri. Mkhitariyan ndio ametupa Europa, Ibra alitupa carabao goli 2 za fainali ana mchango wake nae

2. Niliona timu ya taifa Rashford wala hajaanzia benchi mechi zote kaanza yeye na Harry kane na sterling walikuwa wanasubiria, alivyokuwa akimtumia mou rashford ndio hivyo hivyo alivyomtumia southgate kuna jipya gani alilofanya? Waandishi wa habari unaweza waambia chochote ila matendo ni uwanjani.

3. Mchango wa lukaku sio mkubwa? Magoli 31 na pasi 11 za magoli ni mchango mdogo? Hebu nitajie ni mwaka gani lukaku amekuwa na kiwango kikubwa kushinda msimu uliopita? Mtu amecheza mara ya kwanza Uefa na katupia goli 5 unaona ni mchezo?

4. Kwa hio timu ina defense mbovu kushinda zamani halafu inafungwa goli chache hebu nieleweshe hapa sijakuelewa.
una akili sana chief, tatizo unabishana na wale jamaa wa kitaa wao hawanaga statistics wala facts ila manenoooo meeeeengi na kelele tupu! ukiwapiga maswali kama hayo juu wanapotea. ona huyo hata kujieleza hajui, tuna defense mbovu then tumefungwa goli chache? hapo hapo kuna mwingine anasema defense yetu ni bora kuliko ya man city kweli??? kabisa fans wengi wa man u ni fuata upepo wanaongea nonsense!
 
1. Sijasema Ibra ameleta Europa nimesema amelipatia man u soma vizuri. Mkhitariyan ndio ametupa Europa, Ibra alitupa carabao goli 2 za fainali ana mchango wake nae

2. Niliona timu ya taifa Rashford wala hajaanzia benchi mechi zote kaanza yeye na Harry kane na sterling walikuwa wanasubiria, alivyokuwa akimtumia mou rashford ndio hivyo hivyo alivyomtumia southgate kuna jipya gani alilofanya? Waandishi wa habari unaweza waambia chochote ila matendo ni uwanjani.

3. Mchango wa lukaku sio mkubwa? Magoli 31 na pasi 11 za magoli ni mchango mdogo? Hebu nitajie ni mwaka gani lukaku amekuwa na kiwango kikubwa kushinda msimu uliopita? Mtu amecheza mara ya kwanza Uefa na katupia goli 5 unaona ni mchezo?

4. Kwa hio timu ina defense mbovu kushinda zamani halafu inafungwa goli chache hebu nieleweshe hapa sijakuelewa.
Southgate aliposema "sitajali hali ya rashford kule man u atakuwepo Russia" unaweza itafsiri hii kauli kwa namna gani!? Kuhusu lukaku nimesema naamini alikuwa na uwezo Wa kusaidia kuliko hapo ila mfumo mbovu Wa Mwl ndo kikwazo. Kuhusu defence kama sikosei tofauti ya magoli ya kufungwa kati ya mou na van gaal ni kama 7 tu hivi. Nasema ni defence mbovu kwa sababu hii ya mou iliundwa na timu nzima na wachezaji wengine walinyimwa nafasi ya kuonyesha uwezo wao kwa sababu wote wanatakiwa kuwa mabeki na viungo wakati ile ya van gaal watu walifunguka zaidi
 
una akili sana chief, tatizo unabishana na wale jamaa wa kitaa wao hawanaga statistics wala facts ila manenoooo meeeeengi na kelele tupu! ukiwapiga maswali kama hayo juu wanapotea. ona huyo hata kujieleza hajui, tuna defense mbovu then tumefungwa goli chache? hapo hapo kuna mwingine anasema defense yetu ni bora kuliko ya man city kweli??? kabisa fans wengi wa man u ni fuata upepo wanaongea nonsense!
Hebu ifanyie tathmini timu ya man u ktk signings zake, mfumo Wa kiuchezaji na mbinu za kiuchezaji kisha ndo nikuzingatie
 
Southgate aliposema "sitajali hali ya rashford kule man u atakuwepo Russia" unaweza itafsiri hii kauli kwa namna gani!? Kuhusu lukaku nimesema naamini alikuwa na uwezo Wa kusaidia kuliko hapo ila mfumo mbovu Wa Mwl ndo kikwazo. Kuhusu defence kama sikosei tofauti ya magoli ya kufungwa kati ya mou na van gaal ni kama 7 tu hivi. Nasema ni defence mbovu kwa sababu hii ya mou iliundwa na timu nzima na wachezaji wengine walinyimwa nafasi ya kuonyesha uwezo wao kwa sababu wote wanatakiwa kuwa mabeki na viungo wakati ile ya van gaal watu walifunguka zaidi
Hapo kwenye magoli ya kufungwa zaidi nimeangalia msimu Wa mwisho Wa lvg na msimu ulopita Wa mou.
 
Sijawahi kufurahia ujio wa Jose Man hata siku moja.Tujiandae na majanga msimu huu.
 
Kwa nini kuna kama uhasama kati ya martial na Mwalimu kama alikuwa ktk ubora? Ni sawa kwa Herrera kutoka kuwa captain to be hadi kuwa nyuma ya fellain na mctominay baada ya msimu mmoja? Huwa siamini kwamba IBRA alileta Europa league silverware, kwani alifunga goli ngapi na kusaidia ngapi ktk Yale mashindano? Lukaku mchango wake naamini haukuwa Mkubwa kama alivyostahili kuchangia,hapa huwa naamini ni mfumo mbovu Wa Mwalimu umemfanya aishie hapo kwa last season. Rashford hakupewa nafasi ya kutosha na hata southgate wakati anateua kikosi cha england alisema sitajali hali ya rashford kule man u nitamjumuisha ktk kikosi changu. De gea kupata hiyo golden gloves ni kutokana na ubovu Wa defence kwa misimimu karibia minne au mitatu mfulilizo ukiwepo ulopita. Tena ulopita nadhani ndio tulikuwa na defence mbovu zaidi japo tulifungwa goli chache ukilinganisha na timu nyingi. Nasema tulikuwa na defence mbovu sana kwa sababu tulifungwa goli hizo tena nyingi za kizembe wakati timu nzima ilikuwa ina linda kipa wetu asifumgwe,na hata lukaku mwenyewe alitudhuru kwa kutoka na goli za kutoka mwilini mwake kama mbili au tatu hivi. Naamini soka la sasa haliendani na mpira Wa kujilinda zaidi
Mkuu unatania au umepania kuandika kwamba rashford hakupewa muda na mourinho wa kutosha?

Kocha wa timu ya taifa aluongwa vile kwa kuwa rashford ufungaji magoli ulishuka tumeangalia mech ngap hapa dogo anazingua? Kuna kitu nimekigundua ktk post yako.
 
Kwa nini kuna kama uhasama kati ya martial na Mwalimu kama alikuwa ktk ubora? Ni sawa kwa Herrera kutoka kuwa captain to be hadi kuwa nyuma ya fellain na mctominay baada ya msimu mmoja? Huwa siamini kwamba IBRA alileta Europa league silverware, kwani alifunga goli ngapi na kusaidia ngapi ktk Yale mashindano? Lukaku mchango wake naamini haukuwa Mkubwa kama alivyostahili kuchangia,hapa huwa naamini ni mfumo mbovu Wa Mwalimu umemfanya aishie hapo kwa last season. Rashford hakupewa nafasi ya kutosha na hata southgate wakati anateua kikosi cha england alisema sitajali hali ya rashford kule man u nitamjumuisha ktk kikosi changu. De gea kupata hiyo golden gloves ni kutokana na ubovu Wa defence kwa misimimu karibia minne au mitatu mfulilizo ukiwepo ulopita. Tena ulopita nadhani ndio tulikuwa na defence mbovu zaidi japo tulifungwa goli chache ukilinganisha na timu nyingi. Nasema tulikuwa na defence mbovu sana kwa sababu tulifungwa goli hizo tena nyingi za kizembe wakati timu nzima ilikuwa ina linda kipa wetu asifumgwe,na hata lukaku mwenyewe alitudhuru kwa kutoka na goli za kutoka mwilini mwake kama mbili au tatu hivi. Naamini soka la sasa haliendani na mpira Wa kujilinda zaidi
Hata zidane alikuwa haivi na isco,bale ukienda chelsea conte willian,costa, pep yaya toure,samir nasri joe hart list ni ndefu sana kila kocha na taratibu zake huwez kulazimisha kocha ampende martial



Tafuta sababu za kwa nini beckham aliuzwa na sir alex
 
Back
Top Bottom