Nemesis
JF-Expert Member
- Feb 13, 2008
- 5,536
- 4,532
Hapo ni ujanja tu wa kupunguza bei ya Rooney.Haya everton wanataka £90 mil source sky sports
Hapo ni ujanja tu wa kupunguza bei ya Rooney.Haya everton wanataka £90 mil source sky sports
Haya everton wanataka £90 mil source sky sports
Issue imeisha. ...Everton wanalamba £75M +Rooney (value yake ni 10M)+add-ons ya 15M.....jumla itakuwa 100MHaya everton wanataka £90 mil source sky sports
Kwa viungo wap tuliokuwa nao mkuu,msimu uliopita tulimtegemea sana herera kwenye nafas ya kiungo mkabaj na mpk sasa hamna aliyeletwa mbadala au Wa kumsaidia on a Herrera akiwa majeruhi tulikuwa tunapotea, no 10 pogba ukimrudisha 8 hamna kitu kabisa mpaka sasa hamna alosajiliwa zaid ya beck ni bora angemchukua morata ni mfungaji mzuri pia ni fundi mzur Wa kutafuta mpira kumiliki pia kufunguYeah Lukaku anafit katika Mifumo ya Mou yote na ondoa Wasiwasi kuhusu kuperform akiwa na United,tegemea magoli mengi sana kutoka kwake,anakuja kuwa goal Socre machine,atatengenezwa na kupewa majukumu ya kufunga tu kazi kubwa itafanywa na Viungo Zaidi ya 4 katika kumlisha.
Nasubiri kuona kiungo tutakayemsajili mana lazima tusajili kiungo mwingine.
Mou anajuwa upungufu wa magoli hivyo hili atalifanyia kazi mapema katika hii pre season Zaidi hasa katika kutafuta Mifumo ambayo anadhani itaifanya timu kushinda magoli mengi Zaidi.
Pogba,Lukaku,Rashford,Martial,Martial na Felain hapa tunatakiwa kupata washambuliaji watatu katika mfumo wa 4-3-3 mana ndio mfumo ambao Lukaku unaweza msaidia sana kuweza kuperform or 4- 3- 2-1.
Ila naiona Man U ikitumia Zaidi 4 - 3 kama basic formation Yetu.
Kuhakikisha kuwa hatufungwi magoli mengi Zaidi.
So our formation will be,4-3- 3,4-3-2-1,4-4-2,( 4-5-1 ).
Tutakuwa na kachumbari sana ya Viungo pale mbele.
Thaman ya lukaku haistahili kuzidi £50mMzigo,kwangu binafsi Lukaku hana thamani hiyo lakini ndio hivyo soko limebadilika sana na tunahitaji kuwa na Mshambuliaji wa uhakika zaidi hatuna jinsi Morata ndio kama hivyo,na tukiendelea kuchelewa tunaweza mnunua kwa Zaidi ya hiyo bora hivyo na huku tukienda pre season tukiwa na uhakika na mshambuliaji.
Lukaku kwangu tungemchukua kati ya 60 na 50 or 45.
Kwa viungo wap tuliokuwa nao mkuu,msimu uliopita tulimtegemea sana herera kwenye nafas ya kiungo mkabaj na mpk sasa hamna aliyeletwa mbadala au Wa kumsaidia on a Herrera akiwa majeruhi tulikuwa tunapotea, no 10 pogba ukimrudisha 8 hamna kitu kabisa mpaka sasa hamna alosajiliwa zaid ya beck ni bora angemchukua morata ni mfungaji mzuri pia ni fundi mzur Wa kutafuta mpira kumiliki pia kufungu
Ni bora kumnunua morata kwa £90m kuliko kumnunua lukaku kwa £75m unamchukua mtu mmoja mwenye uwezo Wa kukufanyia mambo ma tatu
Kuliko kuchukua mtu mmoja mwenye uwezo Wa kufanya jambo moja tuu namaanishs [lukaku] tena tm inapozidiwa kwakweli lukaku hana msaada
Kwa viungo wap tuliokuwa nao mkuu,msimu uliopita tulimtegemea sana herera kwenye nafas ya kiungo mkabaj na mpk sasa hamna aliyeletwa mbadala au Wa kumsaidia on a Herrera akiwa majeruhi tulikuwa tunapotea, no 10 pogba ukimrudisha 8 hamna kitu kabisa mpaka sasa hamna alosajiliwa zaid ya beck ni bora angemchukua morata ni mfungaji mzuri pia ni fundi mzur Wa kutafuta mpira kumiliki pia kufungu
Ni bora kumnunua morata kwa £90m kuliko kumnunua lukaku kwa £75m unamchukua mtu mmoja mwenye uwezo Wa kukufanyia mambo ma tatu
Kuliko kuchukua mtu mmoja mwenye uwezo Wa kufanya jambo moja tuu namaanishs [lukaku] tena tm inapozidiwa kwakweli lukaku hana msaada
Anatakiwa sasa kiungo mkabajiKama ni kweli bado tunahitaji striker mwingine ila nijuavyo vyanzo ni vyanzo
Tofauti ya offer ya Manutd na Real Madrid ni £5mill nitashangaa sana kama wiki hii ipite na Alvaro Morata hajasajiliwa na Manutd
Ubingwa wa EPL itabidi tusahau musimu huu ujao
We need real fire power na Lukaku pekee hatoshi!
Kwa viungo wap tuliokuwa nao mkuu,msimu uliopita tulimtegemea sana herera kwenye nafas ya kiungo mkabaj na mpk sasa hamna aliyeletwa mbadala au Wa kumsaidia on a Herrera akiwa majeruhi tulikuwa tunapotea, no 10 pogba ukimrudisha 8 hamna kitu kabisa mpaka sasa hamna alosajiliwa zaid ya beck ni bora angemchukua morata ni mfungaji mzuri pia ni fundi mzur Wa kutafuta mpira kumiliki pia kufungu
Ni bora kumnunua morata kwa £90m kuliko kumnunua lukaku kwa £75m unamchukua mtu mmoja mwenye uwezo Wa kukufanyia mambo ma tatu
Kuliko kuchukua mtu mmoja mwenye uwezo Wa kufanya jambo moja tuu namaanishs [lukaku] tena tm inapozidiwa kwakweli lukaku hana msaada
Hata wachezaji ambao tunawaona ni bora duniani (Messi na Ronaldo) wakienda kucheza Everton wanaweza kuwa na wakati mgumu kutoa msaada pale timu itakapozidiwa. Why? Kwa sababu kuna tofauti kubwa sana ya strength ya vikosi wanavyochezea wachezaji hawa.Kwa viungo wap tuliokuwa nao mkuu,msimu uliopita tulimtegemea sana herera kwenye nafas ya kiungo mkabaj na mpk sasa hamna aliyeletwa mbadala au Wa kumsaidia on a Herrera akiwa majeruhi tulikuwa tunapotea, no 10 pogba ukimrudisha 8 hamna kitu kabisa mpaka sasa hamna alosajiliwa zaid ya beck ni bora angemchukua morata ni mfungaji mzuri pia ni fundi mzur Wa kutafuta mpira kumiliki pia kufungu
Ni bora kumnunua morata kwa £90m kuliko kumnunua lukaku kwa £75m unamchukua mtu mmoja mwenye uwezo Wa kukufanyia mambo ma tatu
Kuliko kuchukua mtu mmoja mwenye uwezo Wa kufanya jambo moja tuu namaanishs [lukaku] tena tm inapozidiwa kwakweli lukaku hana msaada
YOU NAIL IT! Akirudi nishtue mkuu.Kumbuka lakini sisi ni mabingwa wa Europa Ligue na ni misimu mitatu kabla ndio hatukufanya vizuri na Viashiria Vyote vinaonesha kurudi kwa ufalme wa Man U next season.
Huwezi ifananisha Liverpool na Man United chief katika hiyo Scenario yako.
Sisi kwa miaka miwili mfululizo licha ya kutokuchukua ubingwa bado tuliongoza kwa mauzo ya Jezi na thamani ya brand Yetu,Man United ndio timu yenye thamani Mbele ya Real Madrid iliyochukua UEFA championship mara mbili mfululizo.
Kwa takribani miaka 10 mfululizo man United haijawa kuwa chini ya namba mbili kwa timu zenye uwezo wa kifedha na thamani.
Hivyo ni rahisi kwetu kuingia sokoni na Zaidi ya 200 mio pounds kununua wachezaji na Makocha kitu ambacho Liverpool hawawezi.
Man United pekee ndio yenye uwezo wa kupambana na Real Madrid sokoni na ndio mana tuna rekodi ya Mchezaji ghali Zaidi Duniani na tunakaribia kutoa 75 kwa ajili ya Lukaku na 45 kwa ajili ya Matic na bado tunaweza kutoka 80 kwa ajili ya Morrata,kitu ambacho Liverpool hawakiwezi.
Ukija kwenye Makocha now tuna World Class kocha ambaye sina hakika kama Liverpool inaweza kumchukua na kumlipa.
Nipanic nn sasa, ktk andishi langu umeona kipi cha ajabu hadi nipanic. Nimesema nijuacho.Aaaah aaaah aaaah umepanic bro,tuongee mpira bwana,Mou ametupa Europa Ligue tayari,Pogba amesharudisha pesa yetu Jezi yake na ongezeko la mikataba ya wadhamini vimeifanya man u kuwa ya kwanza kwa pesa Duniani
Yupo sahihi Viungo tunao wengi lakini wengi ni Viungo washambuliaji Viungo wakabaji tunao wawili tu Herera na Carrick kwa kifupi tunaye mmoja tu,mana Carric umri umeshasogea so tunabaki na Herera,ndio mana mara chache humtumia Blind kama kiungo mkabaji.Sidhani kama upo sahihi mkuu. Viungo mbona tunao wengi sana. Au unataka nikutajie? Anyways, ingia manutd.com angalia tuna ma midfielders wangapi.
Kiukweli sijawahi muona lukaku aki perform kiuanaume katika mechi kubwa. Namuona ni mchezaji was mechi ndogo. Hyo inantia wasiwasi kwenye UCLTunawahitaji wote wawili vinginevyo Lukaku atakabwa sana tutarudi kule kule
Kwani hela ya Kean wanalipa Everton?Everton will only receive £52.5 million from Man Utd on the sale of Lukaku
Reason:
1. Wayne Rooney will join Everton on a free transfer. Everton wanted £100 million but with Rooney he is worth £25 million
£100 million - £25 million = £75 million
2. Everton didn't finish paying Man Utd £15 Million for Schneiderlin who they signed in January
£75 million - £15 Million = £60 million
3. Everton have bought Michael Keane from Burnley and Man Utd will get 25% of the sales (£7.5 million)
£60 million - £7.5 million = £52.5 million
----Copy n Paste.---