Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yeah Lukaku anafit katika Mifumo ya Mou yote na ondoa Wasiwasi kuhusu kuperform akiwa na United,tegemea magoli mengi sana kutoka kwake,anakuja kuwa goal Socre machine,atatengenezwa na kupewa majukumu ya kufunga tu kazi kubwa itafanywa na Viungo Zaidi ya 4 katika kumlisha.

Nasubiri kuona kiungo tutakayemsajili mana lazima tusajili kiungo mwingine.

Mou anajuwa upungufu wa magoli hivyo hili atalifanyia kazi mapema katika hii pre season Zaidi hasa katika kutafuta Mifumo ambayo anadhani itaifanya timu kushinda magoli mengi Zaidi.

Pogba,Lukaku,Rashford,Martial,Martial na Felain hapa tunatakiwa kupata washambuliaji watatu katika mfumo wa 4-3-3 mana ndio mfumo ambao Lukaku unaweza msaidia sana kuweza kuperform or 4- 3- 2-1.

Ila naiona Man U ikitumia Zaidi 4 - 3 kama basic formation Yetu.

Kuhakikisha kuwa hatufungwi magoli mengi Zaidi.

So our formation will be,4-3- 3,4-3-2-1,4-4-2,( 4-5-1 ).

Tutakuwa na kachumbari sana ya Viungo pale mbele.
Kwa viungo wap tuliokuwa nao mkuu,msimu uliopita tulimtegemea sana herera kwenye nafas ya kiungo mkabaj na mpk sasa hamna aliyeletwa mbadala au Wa kumsaidia on a Herrera akiwa majeruhi tulikuwa tunapotea, no 10 pogba ukimrudisha 8 hamna kitu kabisa mpaka sasa hamna alosajiliwa zaid ya beck ni bora angemchukua morata ni mfungaji mzuri pia ni fundi mzur Wa kutafuta mpira kumiliki pia kufungu
Ni bora kumnunua morata kwa £90m kuliko kumnunua lukaku kwa £75m unamchukua mtu mmoja mwenye uwezo Wa kukufanyia mambo ma tatu
Kuliko kuchukua mtu mmoja mwenye uwezo Wa kufanya jambo moja tuu namaanishs [lukaku] tena tm inapozidiwa kwakweli lukaku hana msaada
 
Mzigo,kwangu binafsi Lukaku hana thamani hiyo lakini ndio hivyo soko limebadilika sana na tunahitaji kuwa na Mshambuliaji wa uhakika zaidi hatuna jinsi Morata ndio kama hivyo,na tukiendelea kuchelewa tunaweza mnunua kwa Zaidi ya hiyo bora hivyo na huku tukienda pre season tukiwa na uhakika na mshambuliaji.

Lukaku kwangu tungemchukua kati ya 60 na 50 or 45.
Thaman ya lukaku haistahili kuzidi £50m
 
Kwa viungo wap tuliokuwa nao mkuu,msimu uliopita tulimtegemea sana herera kwenye nafas ya kiungo mkabaj na mpk sasa hamna aliyeletwa mbadala au Wa kumsaidia on a Herrera akiwa majeruhi tulikuwa tunapotea, no 10 pogba ukimrudisha 8 hamna kitu kabisa mpaka sasa hamna alosajiliwa zaid ya beck ni bora angemchukua morata ni mfungaji mzuri pia ni fundi mzur Wa kutafuta mpira kumiliki pia kufungu
Ni bora kumnunua morata kwa £90m kuliko kumnunua lukaku kwa £75m unamchukua mtu mmoja mwenye uwezo Wa kukufanyia mambo ma tatu
Kuliko kuchukua mtu mmoja mwenye uwezo Wa kufanya jambo moja tuu namaanishs [lukaku] tena tm inapozidiwa kwakweli lukaku hana msaada

Usajili bado haujaisha striker ndio ilikuwa priority kubwa ya United baada ya Zlatan kuondoka baada ya kusajili CB na striker kipaumbele kinahamia kwenye defensive midfielder priority za Mourinho ni Dier,Matic Chelsea hawawezi kumuuza Matic mpaka wasajili replacement yake

Kwa mtazamo wangu ningemsajili Morata badala ya Lukaku still nakubaliana na kocha kumsajili Lukaku (mwanzo valuation ya Morata ilikuwa £60m na Lukaku ilikuwa £100m) Morata alitaka kwenda United na Lukaku alitaka kurudi darajani Chelsea walichelewa kufanya mipango ya kumsajili Lukaku while United walishaanza mchakato kumsajili Morata lakini Real Madrid walikuwa wanaongeza dau United walipeleka ofa mbili zikakataliwa ya kwanza £52m then £60m still Madrid wakataka £90 ikabidi Jose ahamie kwa option 2 baada ya kuona preasoason inaanza bado hawajasajili striker.Manchester wamemsajili kiurahisi Lukaku sababu last week Everton walianza mchakato kumsajili Rooney so United walivyopeleka offer ya kwanza Everton wakakubali na ushawishi mkubwa sana wa wakala wa Lukaku (Mino Raiola)
 
Kwa viungo wap tuliokuwa nao mkuu,msimu uliopita tulimtegemea sana herera kwenye nafas ya kiungo mkabaj na mpk sasa hamna aliyeletwa mbadala au Wa kumsaidia on a Herrera akiwa majeruhi tulikuwa tunapotea, no 10 pogba ukimrudisha 8 hamna kitu kabisa mpaka sasa hamna alosajiliwa zaid ya beck ni bora angemchukua morata ni mfungaji mzuri pia ni fundi mzur Wa kutafuta mpira kumiliki pia kufungu
Ni bora kumnunua morata kwa £90m kuliko kumnunua lukaku kwa £75m unamchukua mtu mmoja mwenye uwezo Wa kukufanyia mambo ma tatu
Kuliko kuchukua mtu mmoja mwenye uwezo Wa kufanya jambo moja tuu namaanishs [lukaku] tena tm inapozidiwa kwakweli lukaku hana msaada

upo chaka mkuu
 
Kama ni kweli bado tunahitaji striker mwingine ila nijuavyo vyanzo ni vyanzo

Tofauti ya offer ya Manutd na Real Madrid ni £5mill nitashangaa sana kama wiki hii ipite na Alvaro Morata hajasajiliwa na Manutd
Ubingwa wa EPL itabidi tusahau musimu huu ujao

We need real fire power na Lukaku pekee hatoshi!
Anatakiwa sasa kiungo mkabaji
 
Kwa viungo wap tuliokuwa nao mkuu,msimu uliopita tulimtegemea sana herera kwenye nafas ya kiungo mkabaj na mpk sasa hamna aliyeletwa mbadala au Wa kumsaidia on a Herrera akiwa majeruhi tulikuwa tunapotea, no 10 pogba ukimrudisha 8 hamna kitu kabisa mpaka sasa hamna alosajiliwa zaid ya beck ni bora angemchukua morata ni mfungaji mzuri pia ni fundi mzur Wa kutafuta mpira kumiliki pia kufungu
Ni bora kumnunua morata kwa £90m kuliko kumnunua lukaku kwa £75m unamchukua mtu mmoja mwenye uwezo Wa kukufanyia mambo ma tatu
Kuliko kuchukua mtu mmoja mwenye uwezo Wa kufanya jambo moja tuu namaanishs [lukaku] tena tm inapozidiwa kwakweli lukaku hana msaada

Sidhani kama upo sahihi mkuu. Viungo mbona tunao wengi sana. Au unataka nikutajie? Anyways, ingia manutd.com angalia tuna ma midfielders wangapi.
 
Everton will only receive £52.5 million from Man Utd on the sale of Lukaku
Reason:

1. Wayne Rooney will join Everton on a free transfer. Everton wanted £100 million but with Rooney he is worth £25 million

£100 million - £25 million = £75 million

2. Everton didn't finish paying Man Utd £15 Million for Schneiderlin who they signed in January

£75 million - £15 Million = £60 million

3. Everton have bought Michael Keane from Burnley and Man Utd will get 25% of the sales (£7.5 million)

£60 million - £7.5 million = £52.5 million

----Copy n Paste.---
 
Kwa viungo wap tuliokuwa nao mkuu,msimu uliopita tulimtegemea sana herera kwenye nafas ya kiungo mkabaj na mpk sasa hamna aliyeletwa mbadala au Wa kumsaidia on a Herrera akiwa majeruhi tulikuwa tunapotea, no 10 pogba ukimrudisha 8 hamna kitu kabisa mpaka sasa hamna alosajiliwa zaid ya beck ni bora angemchukua morata ni mfungaji mzuri pia ni fundi mzur Wa kutafuta mpira kumiliki pia kufungu
Ni bora kumnunua morata kwa £90m kuliko kumnunua lukaku kwa £75m unamchukua mtu mmoja mwenye uwezo Wa kukufanyia mambo ma tatu
Kuliko kuchukua mtu mmoja mwenye uwezo Wa kufanya jambo moja tuu namaanishs [lukaku] tena tm inapozidiwa kwakweli lukaku hana msaada
Hata wachezaji ambao tunawaona ni bora duniani (Messi na Ronaldo) wakienda kucheza Everton wanaweza kuwa na wakati mgumu kutoa msaada pale timu itakapozidiwa. Why? Kwa sababu kuna tofauti kubwa sana ya strength ya vikosi wanavyochezea wachezaji hawa.

Madrid wana uwezo mkubwa wa kikosi kuliko Everton, hivyo wanaweza kubadilisha mchezo kirahisi kuliko Everton.

Binafsi sijawahi kuona mechi ambayo Madrid amezidiwa halafu Morata ndo akawa msaada kwa team.

So, Lukaku akija kwetu (until it's official), nyuma yake atakua na viungo tofauti na wale wa Everton, atakua na viungo hatari zaidi ya alipotoka hivyo hata tema ikizidiwa, still hao viungo ndo watakaofanya yeye aonekane msaada.

Kumbuka mchezaji mmoja tu hawezi kufanya kila kitu uwanjani, lazima chemistry ya team nzima ifanye kazi.
 
Musimu huu watashika adabu yao!

Screenshot_2017-07-07-18-49-12.png
Screenshot_2017-07-07-18-40-24.png
 
Kumbuka lakini sisi ni mabingwa wa Europa Ligue na ni misimu mitatu kabla ndio hatukufanya vizuri na Viashiria Vyote vinaonesha kurudi kwa ufalme wa Man U next season.

Huwezi ifananisha Liverpool na Man United chief katika hiyo Scenario yako.

Sisi kwa miaka miwili mfululizo licha ya kutokuchukua ubingwa bado tuliongoza kwa mauzo ya Jezi na thamani ya brand Yetu,Man United ndio timu yenye thamani Mbele ya Real Madrid iliyochukua UEFA championship mara mbili mfululizo.

Kwa takribani miaka 10 mfululizo man United haijawa kuwa chini ya namba mbili kwa timu zenye uwezo wa kifedha na thamani.

Hivyo ni rahisi kwetu kuingia sokoni na Zaidi ya 200 mio pounds kununua wachezaji na Makocha kitu ambacho Liverpool hawawezi.

Man United pekee ndio yenye uwezo wa kupambana na Real Madrid sokoni na ndio mana tuna rekodi ya Mchezaji ghali Zaidi Duniani na tunakaribia kutoa 75 kwa ajili ya Lukaku na 45 kwa ajili ya Matic na bado tunaweza kutoka 80 kwa ajili ya Morrata,kitu ambacho Liverpool hawakiwezi.

Ukija kwenye Makocha now tuna World Class kocha ambaye sina hakika kama Liverpool inaweza kumchukua na kumlipa.
YOU NAIL IT! Akirudi nishtue mkuu.
 
Aaaah aaaah aaaah umepanic bro,tuongee mpira bwana,Mou ametupa Europa Ligue tayari,Pogba amesharudisha pesa yetu Jezi yake na ongezeko la mikataba ya wadhamini vimeifanya man u kuwa ya kwanza kwa pesa Duniani
Nipanic nn sasa, ktk andishi langu umeona kipi cha ajabu hadi nipanic. Nimesema nijuacho.
 
Sidhani kama upo sahihi mkuu. Viungo mbona tunao wengi sana. Au unataka nikutajie? Anyways, ingia manutd.com angalia tuna ma midfielders wangapi.
Yupo sahihi Viungo tunao wengi lakini wengi ni Viungo washambuliaji Viungo wakabaji tunao wawili tu Herera na Carrick kwa kifupi tunaye mmoja tu,mana Carric umri umeshasogea so tunabaki na Herera,ndio mana mara chache humtumia Blind kama kiungo mkabaji.

Kwa hiyo tunalazimika kusajili kiungo mwingine mkabaji.
 
Tunawahitaji wote wawili vinginevyo Lukaku atakabwa sana tutarudi kule kule
Kiukweli sijawahi muona lukaku aki perform kiuanaume katika mechi kubwa. Namuona ni mchezaji was mechi ndogo. Hyo inantia wasiwasi kwenye UCL
 
Everton will only receive £52.5 million from Man Utd on the sale of Lukaku
Reason:

1. Wayne Rooney will join Everton on a free transfer. Everton wanted £100 million but with Rooney he is worth £25 million

£100 million - £25 million = £75 million

2. Everton didn't finish paying Man Utd £15 Million for Schneiderlin who they signed in January

£75 million - £15 Million = £60 million

3. Everton have bought Michael Keane from Burnley and Man Utd will get 25% of the sales (£7.5 million)

£60 million - £7.5 million = £52.5 million

----Copy n Paste.---
Kwani hela ya Kean wanalipa Everton?
 
Back
Top Bottom