Nani kasema amesha undergo medical chek upKama mtu amesha undergo medical checkup hivi bado kunauwezekano kweli wa kubadili maamuzi?
Mjibu swali lake yeye hajataja mtu !! Rejea“amesha" yeye kauliza mtu Kama umefanya medical check up anaweza badili maamuzi mengineNani kasema amesha undergo medical chek up
Ndo hapo ubishi unakatikia. Jamaa kakimbilia Lukaku kumbe hata hahusikiMjibu swali lake yeye hajataja mtu !! Rejea“amesha" yeye kauliza mtu Kama umefanya medical check up anaweza badili maamuzi mengine
Naona anaisoma namba kimya kimya!! Kazidiwa kete!
Katika Picha hili la Lukaku sterling ni Edward Edwood,,.
Im sorry kama niliwahi kukusema vibaya,,.
Ed ni mafia tena wa kiwango cha juu.
Congrats Ed na Josee,,,
Kabisa na angelimpata huyo tungeliisoma nambaNaona anaisoma namba kimya kimya!! Kazidiwa kete!
Basi aamie kwa akina morata!!Kabisa na angelimpata huyo tungeliisoma namba
Kiukweli sijawahi muona lukaku aki perform kiuanaume katika mechi kubwa. Namuona ni mchezaji was mechi ndogo. Hyo inantia wasiwasi kwenye UCL
Real Madrid Wamewahi Kuvunja records za usajili miaka nenda rudi kuanzia kipindi cha zizou, kaka, Cristiano Rinaldo mpaka Gareth Bale ila hatukuwahi kushuhudia hicho unachokizungumzia wewe.Japo sijawahi changia humu jukwaani ila kwa hili naomba nichangie kidogo kwa ufahamu wangu.
Navyo jua jinsi timu zinavyo sajili wachezaji kwa bei kubwa na mishahara mikubwa hii inapelekea gharama za uendeshaji wa timu kuongezeka. Kwa kuongezeka huko gharama mauzo ya TV rights zitapanda sababu timu ni brand na gharama ya kuendesha hiyo brand imepanda. Kwa hiyo mfano DSTV itabidi alipie gharama kubwa hali itayo pelekea na wao kupandisha bei za huduma. Mwisho wa siku sisi wa kibnda umiza tutakuja kulipia bandani pale. Sasa katika hiyo scenario usiombe na thamani ya pesa yetu ishuke dhid ya dollar.
Kwa hiyo kwa namna moja au nyingine na sisi inatuathiri.
Haya tunayaita ni matumizi ya pesa!! Jamaa kaingia huyu!!