zulu lima
Senior Member
- Jun 1, 2016
- 106
- 89
Tatizo ni bei ya soko mkuu. Wachezaji wanauzwa bei za ajabu sana siku hiziSawa lukaku mzuri hata mie nakubali ila sio kwa mzigo huo...dahhh. nyingi sana wazee.
Tatizo ni bei ya soko mkuu. Wachezaji wanauzwa bei za ajabu sana siku hiziSawa lukaku mzuri hata mie nakubali ila sio kwa mzigo huo...dahhh. nyingi sana wazee.
Ndio na Zlatan pia.Hivi agent wa Lukaku ni yule yule wa Pogba, Ibra na Miki???
Mourinho ni jeuri na huwa anakuwa na alternatives linapokuja kwenye suala la usajili,well done!BREAKING: Manchester Utd have agreed a fee in the region of £75m for Everton striker Romelu Lukaku.
(source: BBC Sport & Sky Sports)
Tupo pamoja chief,Ur welcomeKijana u made my day?! Big up
Mkuu inaonekana unamkubali zaidi morata na usajili wa lukaku kuja utd haujakuvutia sana. Mie nina imani na mourinho zaidi hata ya wachezaji wake,naona poa tu.Kama ni kweli bado tunahitaji striker mwingine ila nijuavyo vyanzo ni vyanzo
Tofauti ya offer ya Manutd na Real Madrid ni £5mill nitashangaa sana kama wiki hii ipite na Alvaro Morata hajasajiliwa na Manutd
Ubingwa wa EPL itabidi tusahau musimu huu ujao
We need real fire power na Lukaku pekee hatoshi!
Yeah Lukaku anafit katika Mifumo ya Mou yote na ondoa Wasiwasi kuhusu kuperform akiwa na United,tegemea magoli mengi sana kutoka kwake,anakuja kuwa goal Socre machine,atatengenezwa na kupewa majukumu ya kufunga tu kazi kubwa itafanywa na Viungo Zaidi ya 4 katika kumlisha.Mkuu unafkiri lukaku anaweza kuendana na mfumo wetu?je ni sahih kununuliwa kwa nzigo mkubwa ivo Wa pesa?
Mkuu darmian haondoki kweli ??? Namba 3 Si ya blindi auKaribu kaka.
Nikiangalia Ukuta anaojaribu kuutengeneza Mou msimu ujao wa 2017/2018 aisee sioni wa kutufunga.
De Gea,Valencia , Darmian,Lendorf/Marcus Rojo na Baily hakika watatafutana.
Ila ningependa Zaidi pale nne na tano wakacheza Rojo na Baily,mmoja katili (Baily) na Mwingine ni Muhuni (Rojo) aisee hii kachumbari sio mchezo,afu Zile game ngumu nne anapangwa Lendorf (Gaidi) na Rojo anapelekwa 3,ingawa Darmian naye ana uchezaji wake wa kihuni hivi afu kazi kazi.
Sita kwa kweli hii namba tumpate Matic tukishindwa basi Herera tumsimike kabisa kusimamia katika hili dimba.
Sipendi mpira wa kutumia mawinga kutokana na aina ya Makocha wa sasa Duniani kutokupenda kutumia sana mawinga Wenye mbio,so saba Mikhityran nane tunampa Fundi wa kinywamwezi Pau Pogba,tisa Lukaku/Moratta,kumi Rashford, 11 tunamsogeza Yule dogo wa kifaransa,inabidi kuaminiwa sasa ili kiwango chake kisife.
Ama Pogba akacheza 10,Rashford 11 sio mbaya pia.
Na kama ni 4 - 3- 3,basi ni Matic,Herera na Mikhityran, huku mbele ni Pogba,Morata/Lukaku na Rashford.
Hapa Ushindi unaweza kuwa ni kuanzia goli tatu na kuendelea.
Mzigo,kwangu binafsi Lukaku hana thamani hiyo lakini ndio hivyo soko limebadilika sana na tunahitaji kuwa na Mshambuliaji wa uhakika zaidi hatuna jinsi Morata ndio kama hivyo,na tukiendelea kuchelewa tunaweza mnunua kwa Zaidi ya hiyo bora hivyo na huku tukienda pre season tukiwa na uhakika na mshambuliaji.Mkuu unafkiri lukaku anaweza kuendana na mfumo wetu?je ni sahih kununuliwa kwa nzigo mkubwa ivo Wa pesa?
Wanaweza kucheza wote,Morata ana asili ya kiungo mshambuliaji hivyo anaweza pia kucheza kama namba 10 au 11.Watachezaje ndugu na huku wote ni 9
Blind ni kiraka lakini Zaidi anacheza kama kiungo mkabaji (namba 6) na ndio mana hatujamuuza kwa ajili ya hizo namba hasa 4 na sita.Mkuu darmian haondoki kweli ??? Namba 3 Si ya blindi au
Mi binafsi naipenda shughuli ya Rojo sio mchezo muhuni sana huyu Mtoto na alifit sana alipocheza na Baily.Mpira wa rojo ni kama wa Ramos .....inabidi aanze kuaminiwa bana ... Watoto wa kilatin huwa na roho mbaya mfano Costa tevez .
Morata anaweza kupiga no. 10 siyo lazima apige no. 9Watachezaje ndugu na huku wote ni 9
Ni kweli lakini mengine ni kweliThe Sun ni gazeti la udaku, skysports ndo reliable soirce kwangu!
Tunawahitaji wote wawili vinginevyo Lukaku atakabwa sana tutarudi kule kuleMkuu inaonekana unamkubali zaidi morata na usajili wa lukaku kuja utd haujakuvutia sana. Mie nina imani na mourinho zaidi hata ya wachezaji wake,naona poa tu.