SAVAGE AF
JF-Expert Member
- Feb 12, 2017
- 826
- 1,707
Sio yeye ni mkereketwa mmoja anayeshabikia timu kwa miaka kadhaa bila ubingwa wa epl. Hii kitu inawavuruga akili ukijumlisha msimu ujao wapo europa .Tuwasamehe tu inauma.Huyu dogo aache kuwadharau wachezaji wenzake. Najua anatamani kurudi, atulie tu nafasi bado IPO mbeleni huko.
