Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kiukweli sijawahi muona lukaku aki perform kiuanaume katika mechi kubwa. Namuona ni mchezaji was mechi ndogo. Hyo inantia wasiwasi kwenye UCL
Mkuu wadau wameshaelezea huko juu sisi tunataka point kutoka kwenye team ndogo, msimu ulioisha tumepoteza point nyingi kwa team ndogo. Acha lukaku aje tuone, dunia sasahivi ina uhaba wa striker, Morata aliyekuwa anasugua bench Madrid wanataka 80. Achana na haters hata tungemnunua Morata wangeponda tu.
GGMU
 
Hata wachezaji ambao tunawaona ni bora duniani (Messi na Ronaldo) wakienda kucheza Everton wanaweza kuwa na wakati mgumu kutoa msaada pale timu itakapozidiwa. Why? Kwa sababu kuna tofauti kubwa sana ya strength ya vikosi wanavyochezea wachezaji hawa.

Madrid wana uwezo mkubwa wa kikosi kuliko Everton, hivyo wanaweza kubadilisha mchezo kirahisi kuliko Everton.

Binafsi sijawahi kuona mechi ambayo Madrid amezidiwa halafu Morata ndo akawa msaada kwa team.

So, Lukaku akija kwetu (until it's official), nyuma yake atakua na viungo tofauti na wale wa Everton, atakua na viungo hatari zaidi ya alipotoka hivyo hata tema ikizidiwa, still hao viungo ndo watakaofanya yeye aonekane msaada.

Kumbuka mchezaji mmoja tu hawezi kufanya kila kitu uwanjani, lazima chemistry ya team nzima ifanye kazi.
Tulimtoa Yorke nadhani alikuwa Aston villa waqt na akaja ku shine pale OT wote kina teddy na dion Dublin walionekana wa kawaida tu kabla ya kuja pale naimani wapishi tunao na lukaku atang 'aa
 
Screenshot_2017-07-07-23-12-45.png
 
Hii biashara inatakiwa Ed aimalize haraka, inakoenda siyo kuzuri.
 
Back
Top Bottom