juve2012
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 3,343
- 2,040
Unaangalia mpira wewe? Goli la 2 na 3 ni makosa ya LB...
ni kweli LB aliruhusu mipira iliyozaa magoli yote matatu,la kwanza akishindwa kumkaba Mandzukic,lakini goli la pili na la 3 Vidic anabeba lawama kubwa kwa sababu yeye ndiye alikuwa wa mwisho akikabana na wafungaji man to man!ni kazi ya CB kuwa na marking ya hali ya juu,kwani kiwango cha full backs kama Evra kufanya makosa huwa ni kikubwa kwenye mechi za pressure kama hizi kutokana na kuwa na kazi nyingi uwanjani.Sasa ukiwatazama Bayern walikuwa wakipeleka counter kwa kutumia wingi ya kushoto iliyokuwa inadondosha mipira mirefu ya ghafla upande wa kulia kwa Roben.Roben akawa kila wakati anamkuta Evra akiwa hajatulia akili baada ya kushuka toka mbele,with such a tense situation,ni kazi ya CB kusoma mashambulizi ya wapinzani akagundua wapi wanapitisha mipira na kujiandaa kublock,akiwa na marking kubwa!sasa leo Vidic alicover position zote killer passes zilikopelekwa lakini cha ajabu alishindwa kuzuia wafungaji ambao alikabana nao man to man akiwa beki wa mwisho.goli la pili Evra alimpa muda wa kutosha Roben kutoa pasi,enough for Vidic to foresee the danger and prepare,Roben akapeleka mpira katikati ya miguu ya Vidic na Mueller,..Vidic akashindwa kukaba.Goli la pili Evra again kapitwa na Roben,Vidic akawa wa mwisho kukaba,akampa nafasi ya kutosha Roben kutafuta position ya kupiga,na mpira ukawa deflected na Vidic!sasa kazi ya CB ni nini ikiwa anashindwa kuzuia mipira ya mwisho tena akiwa kwenye nafasi sahihi kuizuia na kurekebisha makosa ya wenzie wenye kazi nyingi uwanjani?Evra kashindwa kumkaba Roben,lakini ni mzuri kushambulia na ametupia goli,what about Vidic,kafanya nini uwanjani leo?ni kawaida concentration ya fullback kuwa low kwenye defence kutokana na fatiki za kukaba,kukimbia na kushambulia frequently,CB anatakiwa kufill hiyo vacuum whenever necessary with accuracy kwenye maamuzi,high defensive concentration na marking ya hali ya juu kwenye mipira ya mwisho na wafungaji.Ukitazama uchezaji wa Vidic na Evra leo,wote wamefanya makosa,lakini ni nani alikuwa ngao ya mwisho mwenye kazi ya kuzuia madhara ya makosa ya wenzie?je,alipata nafasi hiyo ya kuzuia makosa?aliitumiaje?