Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

magoli yote mawili haya mguuni kwa vida...
 
Man hakuna central defender,magoli yote yanatokana na ubovu huu!magoli mepesi kabisa!
 
Si umeona...Evra kachoka mno...unamwacha Robben na guu lake la mavi...
 
Jamaa nini tena kila nikienda game ya Barca nikirudi huku goli

Atletico bado wanaongoza kwa goli 1 dakika 78 game kali sana
 
heheheeh! aisee! hivi inakueje man u iwe failure kiasi hichi wakati moyes ana kila kiiiitu alichokua nacho fergi! Its very amazing that 1 man can bring so much influence without being in the pitch!! Wote wanaotamani mafanikio ya juu maishani wana umuhimu sana wa kusoma hii kitu. Hilo darasa la sir alex huko havard ni la kuhudhuria aisee!! Ferguson ni noma!
 
Hawa Man U wamefanya kosa kufunga lile goli kuwakasilisha... "Never Poke the Bear" , ona sasa wamekasirika, tena hapa washukuru Mungu muda umepakia kidogo ama sivyo ingekuwa Hamsa.....
 
Januzaj ndani...Welbeck nje...stupid sub DM, Rooney ndie angetoka...
 
Hivi Man U hawana mbadala wa Vidic?huyu jamaa anaua timu leo!haya si magoli ya kufungwa at this level,hata Nadir Haroub angeyazuia kwa ile mikasi yake jamani!
 
Back
Top Bottom