Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,382
- 10,951
mkuu mbona mitusi inakutoka hivi...? sportmanship iko wapi
Oh! Is it an insult to say there are many unpleasant people puking a lot of pukes?!?
mkuu mbona mitusi inakutoka hivi...? sportmanship iko wapi
Nakuunga mkono hata mimi sikuona ubora wa bayern ni nyinyi kukosa umakini tu!!Rooney anakosa goli ndani ya sita tena akiwa Unmarked. Dah....Bayern Bomu kabisa haina mbinu, nusu mwsho wake, timu inatafuta goli dk zaidi ya 45
still siamini kama kweli tumetolewa yaani makosa madogo sana yametucost damn it.Ntuzu, Mndengereko, Mr Rocky, Arushaone poleni sana hao ndio bayer, tumeshindwa sisi mtaweza nyinyi? Na mwakani mtaangalia kwenye tv tu ligi hiyo hahahhahahah
all in all i think bayern is overated...Man u have them selves to blame kwa kushindwa kufika semi..a lot of clear chances wasted both at OT na Alianz ..
Altetico wanaweza kufanya yaliyofanywa na porto 2004
Rooney ni mmoja wa wachezaji ninaowapenda duniani....lakini leo kanidisappoint sana sitasahau....wether he was not 100% fit or whatever he looked disinterested....first half he was caught in two minds!!! he was indecisive whether to shoot or pass the damn ball to Kagawa!! he had two opportunities to pass to Kagawa but i dont know what he was thinking!
that miss in the second half summed up his night....how could he miss a sitter???!!! a tap in!!i could score that playing with one leg!!!
whoever faces bayern next round will win....bayern were there for the taking it was down to us man utd to finish the job
still siamini kama kweli tumetolewa yaani makosa madogo sana yametucost damn it.
Unajipa moyo....tulia ufundishwe soka
Vipi, ubingwa mnachukua?!?
Mabingwa wa mdomoni bana...
Umepotea kule kwenu...unaleta maneno mingi hapa..
Nasikia the specialist in failure amepewa mkataba mpya wa miaka 4 na keshasaini...
Arsenal wakimpa Wenger miaka 4, I will give up. Anyway, naamini Wenger hatosaini mkataba msimu huu, ataondoka mwenyewe. Inaelekea tutapigwa ubaya na Wigan na kupoteza top 4.
tatizo lako huwezi kuwa na civilised conversation....utaishiwa hoja utaanza matusi...and im not interested....just ignore me dud.
Kinachouma zaidi ni kwamba msimu ujao hatupo pia.
rooney leo alikuwa tatizo tena sana ndo ametucost kwa kiasi fulani ila tulikuuwa hatauna sub nzuri nje ya kufanya ya kumtoa yeye labda kocha angeamua kurisk kwa kumtoa rooney alafu chicharito aingie acheze mbele na welbeck asimame kumi ila tatizo kubwa man u tulilokuwa nalo leo ni kushindwa kuzuia goli yaani walau kwa dk kumi tu zingetutosha sana sijui huwa kwanini tunashindwa wakati tuliweza kwa dk 45 zoote hapa ndipo ilipokuwa turning point ya mechi na hapa ndipo tujilaumu. otherwise bayern walikuwa wetu kabis leo yaani tulikwa tunawapiga moja bila vizuri kabisa nyumbani kwao palepaleRooney ni mmoja wa wachezaji ninaowapenda duniani....lakini leo kanidisappoint sana sitasahau....wether he was not 100% fit or whatever he looked disinterested....first half he was caught in two minds!!! he was indecisive whether to shoot or pass the damn ball to Kagawa!! he had two opportunities to pass to Kagawa but i dont know what he was thinking!
that miss in the second half summed up his night....how could he miss a sitter???!!! a tap in!!i could score that playing with one leg!!!
whoever faces bayern next round will win....bayern were there for the taking it was down to us man utd to finish the job
Pamoja na kuuma chifu, lakini itakuwa poa kwetu tusiwepo ili tujipange...tumalize vizuri ili angalau twende Europa kwa ajili ya kujiweka sawa..
Umemsikia DM akisema kuna wachezaji wako keen kujoin United? Natumaini Kroos atakuwa mmojawao...yaani tukipata T. Kroos ama M. Reus kama viungo washambuliaji na tukapata Mangala ama Carvalho kama viungo wakabaji, na kupata Cavani ama Falcao kama striker, na CB mmoja...basi 2015/16 tutarudi UCL kwa kishindo..
Ikiwa 0-0 hadi HT...itakuwa poa sana...
Europa haiwezekani kwenda mzee labda tumalize ligi wa tano which is almost impossible.
Pole sana Man United.
Kwa kweli nilipenda Man United kwa faida ya timu za England angalau wafike hata Semi-final ya haya mashindano ya UEFA Champions League.
Kuna watu wanaosapoti timu za England lakini kwa kutokuelewa wanafurahia Man United kuondolewa katika mashindano haya bila kufahamu kuwa, kwa kufanya hivyo, nafasi nne za timu za England kuingia kwenye mashindano haya zinazidi kupungua na kuna hatari kubwa pale utakapofanyika mkokoto (review) mwingine katika kuangalia ushindani wa timu za Europe kwenye hiki kikombe kati ya nchi na nchi, kuna hatari England ikajikuta inapewa nafasi tatu badala ya nne.
Kwa mtu anayefahamu maana hii lazima ataanza kupatwa na wasiwasi. This is sad reality.