profesawaaganojipya
JF-Expert Member
- Apr 21, 2015
- 1,485
- 3,134
mbona nasikia esther ya mchaga mmoja hivi..Kuhusu Kumiliki Mabasi ya Kampuni ya Esther labda ulibakia peke yako tu Kutokujua na Pole kwa hilo Ndugu.
mbona nasikia esther ya mchaga mmoja hivi..Kuhusu Kumiliki Mabasi ya Kampuni ya Esther labda ulibakia peke yako tu Kutokujua na Pole kwa hilo Ndugu.
Hakika na Wananchi wake wanaridhika kabisa Kuibiwa na walio Mamlakani.Hii ndio Tanzania ni nchi raisi sana kuiba.
Endelea tu kusikia hivyo hivyo Ndugu.mbona nasikia esther ya mchaga mmoja hivi..
umetoka lini MILEMBE?Kwa mwezi mwigulu anapokei million 60 kash kama.mshahara na malulupu ya wizi nk
wanasema mwenye hayo magari ya esther,ana mtoto mmoja tu wa kike,jina lake esther.Endelea tu kusikia hivyo hivyo Ndugu.
Ehe..M-BET NI ya kwake kumbe..!?Hadi m-bet
Amshukuru sana Mganga wa Yanga SC ( ambaye ni Hatari sana kwa Ulozi ) kwani ndiyo anamsaidia Kumfumba Mama asihangaike Kushughulika nae ( katika Kumtumbua ) na ampende hadi Kumuamini zaidi.Watu kama wewe mnayejua michongo yake ya ndani ndiyo mnatakiwa muhamie Burundi.
Simtetei Nchemba but mabasi ya Ester mmiliki wake ni jamaa mmoja wa Rombo labda na yeye kachomekea la kwake humo siwezi kujua sanaKumbe
Ila Watu mna Siri, kumbe jamaa anamiliki mabasi na hamsemi?Esther Luxury Coach
Na bado anachota pesa za wanyonge.Kwa mwezi mwigulu anapokei million 60 kash kama.mshahara na malulupu ya wizi nk
Watanzania tumeshazoea Kudanganywa hivyo wala sishangai na sikushangai pia.wanasema mwenye hayo magari ya esther,ana mtoto mmoja tu wa kike,jina lake esther.
Kabsaa inasikitisha sanaKuna watu wakupasulia yai kabisa maana wanazingua sana.
Mimi nilijua ya mchaga fulani wa huko rombo!!Kuhusu Kumiliki Mabasi ya Kampuni ya Esther labda ulibakia peke yako tu Kutokujua na Pole kwa hilo Ndugu.
Tokea upate Kazi hapo Singida Big Stars umekuwa Mnafiki na wa hovyo. Halafu Mwenyewe unadhani hujashtukiwa Wewe ni nani wakati tunakujua na Kukuangalia tu pamoja na kuja na hii ID yako.Ila Watu mna Siri, kumbe jamaa anamiliki mabasi na hamsemi?