Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,673
- 22,264
Ni wazi SINGIDA BIG STARS ilianza kuonesha ukwasi baada msingida mshika kibubu chetu kuteuliwa, huyu mheshimiwa alianza na matengenezo ya viwanja vyetu vya mpira vilivyoporwa na CCM kukarabitiwa kwa kutumia pesa za serikali! Leo nimesikia klabu hiyo imemlipa mchezaji shs 100,000,000/=! Ili aendelee kuichezea klabu, pia klabu inawachezaji wa kutoka kwa wenye mpira wao! Hawa wote naamini malipo yao pia yamenona.
TAKUKURU ni vizuri wananchi tujue isije ikawa kibubu chetu kinakaushwa kwani hivi sasa ukaushaji ndio umeshamiri kila kona.
TAKUKURU ni vizuri wananchi tujue isije ikawa kibubu chetu kinakaushwa kwani hivi sasa ukaushaji ndio umeshamiri kila kona.