Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,812
- 156,950
Mmmh hii ina ukweli?Kwa mwezi mwigulu anapokei million 60 kash kama.mshahara na malulupu ya wizi nk
Kama ndivyo basi aweza kufanya mambo makubwa akitumia mshara wake kukopa bank
Mmmh hii ina ukweli?Kwa mwezi mwigulu anapokei million 60 kash kama.mshahara na malulupu ya wizi nk
Wala hauko mbali na Ukweli Ndugu.Mimi nimeandika hapa juzi tu
Nahisi Hii tozo inatumika kuendesha Klabu ya Singida Big Starz
Tumeona usajili ambao Timu Hii imefanya, na sote tunajua gharama za kulipa mishahara wachezaji kaliba ya akina Kagere, Wawa, na mastaa wengine! Basi Jana usiku nikawaza kuwa Hii Timu ya Singida Big stars ni Sisi ndio tunaitunza kupitia hizi tozo.. Kwa wale mliosoma Cuba mmeelewa N.b tukoment...www.jamiiforums.com
Kesharogwa.....!!!!Kama vipi mama asikilizishwe mapini ya roma mjengon asikae kinyonge
Nyerere alisema ukiamini maneno ya Uwongo ya Mpumbavu ambaye anajua Wewe ni Mwerevu basi hapo Wewe ndiyo unakuwa Mpumbavu maradufu.Mmmh hii ina ukweli?
Kama ndivyo basi aweza kufanya mambo makubwa akitumia mshara wake kukopa bank
Dah Mpwa Kuna Watu wananipa bahati kubwa hiviTokea upate Kazi hapo Singida Big Stars umekuwa Mnafiki na wa hovyo. Halafu Mwenyewe unadhani hujashtukiwa Wewe ni nani wakati tunakujua na Kukuangalia tu pamoja na kuja na hii ID yako.
Ndivyo nijuavyo pia.Mimi nilijua ya mchaga fulani wa huko rombo!!
Mtani unajionaga una akili saana lkn kuna wakati unayumba tu fambaf weweNyerere alisema ukiamini maneno ya Uwongo ya Mpumbavu ambaye anajua Wewe ni Mwerevu basi hapo Wewe ndiyo unakuwa Mpumbavu maradufu.
Hiyo timu ni ya kwake kwa 100%Walisema sijui Kuna mabasi Gani sijui ni yake .....ila Tanza-nia ukiwa mwanasiasa kuwa tajiri ni sekunde tu
Kabisaa anamharibia sana mamaWala hujakosea Ndugu akipigwa chini na Mama na hii Klabu yake ya Singida Big Stars nayo inakufa mazima.
Mama anaogopa Kumtumbua hapo kwakuwa Mshauri wake Mkuu ( sasa ni Muangalizi Mkuu wa Chaguzi mbalimbali na za hovyo Barani Afrika ) ndiyo kalazimisha awe katika hiyo Docket ili amtumie katika Kufanikisha Malengo ya Klabu yake pendwa ya Yanga, Wadhamini wao ( Matapeli wa Magodoro wa Salamander ) na yake Binafsi.
Na tokea huyu Waziri wenu ajue kuwa anakingiwa Kifua na Mshauri Mkuu wa Mama hivi sasa ana Jeuri zote, anajiamini ndiyo maana mpaka anatuambia kwa Dharau kuwa kama tumechoka kuishi Tanzania ya Tozo basi tukaishi Burundi.
Huyu Mtu anamharibia sana Mama!!
Huu ni wivu baada ya Simbana Yanga kusajili magarasa..Kama hanyofoi pesa za Mama(Rais) za hazina kufanyia kufuru Klabu yake ya Singida Big Stars basi atuambie hizo pesa anazitoa wapi.
Halafu mwambieni aache kuzuga na kuficha kuwa yeye si mwenye timu hiyo ya Singida Big Stars ili labda bosi wake mkuu asijue.
Ukweli ni kwamba kwa 99.9% yeye ndiyo mmiliki wa Timu ya Singida Big Stars ila amegatua tu majukumu ya kiutendaji kwa watu wengine lakini pesa zote anatoa yeye.
Tozo umiza kwa watanzania zinatumika kufanya kufuru kwa klabu ya Singida Big Stars huku system ya Tanzania ikikaa tu kimya wakati hii ni hatari mno.
Mtu akisema ukweli anakuwa ni mwehuumetoka lini MILEMBE?
Very easy... Mrombo achunguzwe Siri ya mafanikio yake... Hapo utagundua kama rahisi wa majabali ana mkono au la !!Simtetei Nchemba but mabasi ya Ester mmiliki wake ni jamaa mmoja wa Rombo labda na yeye kachomekea la kwake humo siwezi kujua sana
Kusoma hujui picha nayo huoni hayo mabasi ni ya Mnyiramba sasahivi kaanzisha Hadi route za kwenda huko kwao Kiomboi to Darmbona nasikia esther ya mchaga mmoja hivi..
Huku tozonia politics na dini vinalipa kweri kweriWalisema sijui Kuna mabasi Gani sijui ni yake .....ila Tanza-nia ukiwa mwanasiasa kuwa tajiri ni sekunde tu