Mamlaka imchunguze Waziri wa Fedha Dk. Nchemba kwani kufuru anazozifanya kwa timu yake ya Singida Big Stars zinatia shaka

Kwa mwezi mwigulu anapokei million 60 kash kama.mshahara na malulupu ya wizi nk
Mmmh hii ina ukweli?
Kama ndivyo basi aweza kufanya mambo makubwa akitumia mshara wake kukopa bank
 
Mimi nimeandika hapa juzi tu
Wala hauko mbali na Ukweli Ndugu.
 
Mmmh hii ina ukweli?
Kama ndivyo basi aweza kufanya mambo makubwa akitumia mshara wake kukopa bank
Nyerere alisema ukiamini maneno ya Uwongo ya Mpumbavu ambaye anajua Wewe ni Mwerevu basi hapo Wewe ndiyo unakuwa Mpumbavu maradufu.
 
Tokea upate Kazi hapo Singida Big Stars umekuwa Mnafiki na wa hovyo. Halafu Mwenyewe unadhani hujashtukiwa Wewe ni nani wakati tunakujua na Kukuangalia tu pamoja na kuja na hii ID yako.
Dah Mpwa Kuna Watu wananipa bahati kubwa hivi
 
Walisema sijui Kuna mabasi Gani sijui ni yake .....ila Tanza-nia ukiwa mwanasiasa kuwa tajiri ni sekunde tu
Hiyo timu ni ya kwake kwa 100%

Na cha kushangaza siku akiondolewa tu Uwaziri na hiyo timu itaanza kufanya vibaya kwenye ligi, na baadaye itashuka daraja na kupotea mazima.
 
Wala hujakosea Ndugu akipigwa chini na Mama na hii Klabu yake ya Singida Big Stars nayo inakufa mazima.

Mama anaogopa Kumtumbua hapo kwakuwa Mshauri wake Mkuu ( sasa ni Muangalizi Mkuu wa Chaguzi mbalimbali na za hovyo Barani Afrika ) ndiyo kalazimisha awe katika hiyo Docket ili amtumie katika Kufanikisha Malengo ya Klabu yake pendwa ya Yanga, Wadhamini wao ( Matapeli wa Magodoro wa Salamander ) na yake Binafsi.

Na tokea huyu Waziri wenu ajue kuwa anakingiwa Kifua na Mshauri Mkuu wa Mama hivi sasa ana Jeuri zote, anajiamini ndiyo maana mpaka anatuambia kwa Dharau kuwa kama tumechoka kuishi Tanzania ya Tozo basi tukaishi Burundi.

Huyu Mtu anamharibia sana Mama!!
Kabisaa anamharibia sana mama
 
Kama hanyofoi pesa za Mama(Rais) za hazina kufanyia kufuru Klabu yake ya Singida Big Stars basi atuambie hizo pesa anazitoa wapi.

Halafu mwambieni aache kuzuga na kuficha kuwa yeye si mwenye timu hiyo ya Singida Big Stars ili labda bosi wake mkuu asijue.

Ukweli ni kwamba kwa 99.9% yeye ndiyo mmiliki wa Timu ya Singida Big Stars ila amegatua tu majukumu ya kiutendaji kwa watu wengine lakini pesa zote anatoa yeye.

Tozo umiza kwa watanzania zinatumika kufanya kufuru kwa klabu ya Singida Big Stars huku system ya Tanzania ikikaa tu kimya wakati hii ni hatari mno.
Huu ni wivu baada ya Simbana Yanga kusajili magarasa..

Mwigulu hajaamza leo kumiliki timu..

Mbona usiseme PM na Mnyeti wachunguzwe kwa kuwa sio tuu Wana timu bali wamejenga viwanja vya mabilioni kwa pesa zao..
 
Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.....tujikumbushe ya gwambina na mnyeti....uhuru hospital ya mwanza na makonda....burigi national park na mwendazake😎
 
Simtetei Nchemba but mabasi ya Ester mmiliki wake ni jamaa mmoja wa Rombo labda na yeye kachomekea la kwake humo siwezi kujua sana
Very easy... Mrombo achunguzwe Siri ya mafanikio yake... Hapo utagundua kama rahisi wa majabali ana mkono au la !!
 
Mwigulu amepigiwa Sana kelele na huwenda hyu jamaaa akaondolewa kweli ktk nafsi hyo ila sioni dalili pia za kutoka


Timu inaajiri mchezaji had Argentina umesikia wapiiiiiiii

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom