Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,228
- 39,956
master hii siyo story ya kijiweni ebu jiulize kwa nini maisha ya nyumbu siku zote yeye ni safari na njia, haijalishi usiku au mchana yeye hukimbia tu au hutembea kwa foleni tena hajali mto,mlima, au mvua na jua,
na ukitaka kuamini kuwa nyumbu ni mjinga ye yuko radhi amkimbie simba aridhini lakini akaliwe na mamba mtoni, we acha bwana tena mtu akikuita we ni nyumbu mtoboa macho
Nyumbu kuhama toka Serengeti kwenda Masai Mara ni ecology ndugu yangu, tena mnyama mjinga ni Ngiri ambae anaweza kukurupushwa na Predator akafika mbele na kuanza kurudi alipo predator.