Mambo usiyoyajua kuhusu Nyumbu

Mambo usiyoyajua kuhusu Nyumbu

Nyumbu Hana akili..na kama anazo basi ni kidogo sana, na kama anazo hizo kidogo basi hazitumii, na kama anazitumia hizo kidogo basi ni fal.a

na kama ni fal.a ataendelea kuliwa na simba maana hamna namna nyingine ya kumsaidia
 
na kama ni fal.a ataendelea kuliwa na samba maana hamna namna nyingine ya kumsaidia
Yanaboa haya mawanyama..eti unakuta simba mmoja halafu manyumbu yako mia mbili lakini yanafurumushwa balaa..sasa ni akili hiyo kweli?
 
Fisi ndiye muoga, ila wakati mwingine anajidai ana mbwembwe tu lakini ni muoga sana
 
Mada nzuri tusojua tume elimika kuhusu hao wanyama,kuna huyo myama ameongelewa kwa kidhungu Honey badger, mnaomjua hamuwezi tutafutia jina lake kwa kiswahili?!.
 
ukitaka kujua mnyama mwoga mbugani, mpeleke binadamu mbugani!!:heh::heh:

atawashinda wote kwa woga
 
Mada nzuri tusojua tume elimika kuhusu hao wanyama,kuna huyo myama ameongelewa kwa kidhungu Honey badger, mnaomjua hamuwezi tutafutia jina lake kwa kiswahili?!.

nyegere kijana..
kama borntown hauwezi kumfahamu
 
Panya.. ..........ninepataaaaaaaa..nipe zawadi yangu!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom