Mambo usiyoyajua kuhusu Nyumbu

Mambo usiyoyajua kuhusu Nyumbu

tusiwalaumu sana ila tutafute solution na vipi tunaweza kuwasaidia hawa nyumbu.
Mihadhara ya elimu ya uraia ambayo imetolewa na upande wa upinzani bungeni na nje ya bunge kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita na juzijuzi kuongezewa nguvu na UKAWA ingeweza kutosha kutufungua macho wadanganyika lakini tunaona kinyume chake. Ninakubali, kweli tu vichwa vya nyumbu. Acha tutafunwe na mamba.
 
Mihadhara ya elimu ya uraia ambayo imetolewa na upande wa upinzani bungeni na nje ya bunge kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita na juzijuzi kuongezewa nguvu na UKAWA ingeweza kutosha kutufungua macho wadanganyika lakini tunaona kinyume chake. Ninakubali, kweli tu vichwa vya nyumbu. Acha tutafunwe na mamba.

Mkuu mie natofautina na wewe labda wewe peke yako ndo kichwa cha nyumbu! Hapa hata sina cha kuongezea wewe sio Watanzania!
 
Mada ya kizombie hii, kwa mwendo huu lazima ujiandae kisaikolojia kupokea negative response maana wewe sio mtanzania!
unajua nyinyi ccm mnadharau sana na mmejisahau hadi mmefikia hatua ya kuanza kutubagua eti sisi wengine sio watanzania na muda ukifika utajua mimi ni mtanzania au sio mtanzania
 
Mimi kinachonishangaza ni kuona wale victims wa richmond ambao ni walala hoi ndio wanaomuunga mkono ENGOLO
 
unajua nyinyi ccm mnadharau sana na mmejisahau hadi mmefikia hatua ya kuanza kutubagua eti sisi wengine sio watanzania na muda ukifika utajua mimi ni mtanzania au sio mtanzania

Lazima nikubague tu unaendekeza mambo yasiyofaa!Kama wewe una akili za Nyumbu hilo ni jambo jingine, lakini hili la kujenga hoja kwa kuwasemea Watanzania eti bado wana akili za Nyumbu kulipinga halihitaji uwe CDM,CCM , CUF au vyama vingine, jukumu la mustakabali wa nchi ya Tanzania ni la watanzania!
 
Kama kuna siku umeongea jambo ni leo, yatupaswa kubadilika watanzania, tutakua nyumbu hadi lini?
 
Common_wildebeest.jpg




NYUMBU ni wanyama wa ajabu, nadhani ni wanyama walio na akili ndogo kuliko wanyama wote wa porini. Wanyama hao wakishaamua kufanya kitu watakifanya tu bila kujali ni madhara gani yatatokana na uamuzi wao.


Mfano Nyumbu wanaweza kuwa na kiu wakaamua kwenda kunywa maji kwenye mto uliojaa mamba. Kwa wingi wao watafika mtoni na kuanza kunywa maji huku mamba wenye njaa kali wakijikamatia nyumbu mmoja mmoja wakizamisha majini na kujitafunia. Nyumbu waliobaki wataendelea kunywa maji bila kujali yanayowakuta wenzao, wakimaliza kunywa maji wanaondoka zao, lakini wakisikia kiu tena wanarudi palepale bila kukumbuka kuwa kuna wenzao waliotafunwa, na wanaendelea kutafunwa wengine!


Au wakati mwingine Nyumbu wanaweza wakaamua kuvuka mto wenye kina kirefu, kwa kuutegemea wingi wao, wataingia kwenye mto ambapo karibu nusu yao watabaki maiti katika mto huo wenye kina kirefu huku wengine wakifanikiwa kuvuka.


Daima hayo ndiyo maisha ya Nyumbu, kukilenga ili wakitimize kile wanachokiangalia kwa wakati huo bila kujali madhara ya baadaye.


Tofauti na Nyumbu binadamu tumejaliwa akili, pamoja na matatizo na shida tunavyoweza kuwa navyo, katika kuvikabili ni lazima tupime madhara na faida ya kufanya hivyo. Kama madhara yanazidi faida tunaona bora tuache. Ni heri mtu kubaki na shida au matatizo kuliko kutoa uhai kwa tamaa ya kutaka kumaliza matatizo au shida.

 
Watanzania hawawez kuwa nyumbu labda Ukawa tu ndio wanaweza
 
Ngoja walengwa waamke. Nyumbu wanangoja ishara ya kuvuka mto toka kwa kiongozi wao. Sasa hivi hawajui la kufanya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom