Mambo usiyoyajua kuhusu Nyumbu

Mambo usiyoyajua kuhusu Nyumbu

Ndo huyu.
anapatikana huku huku bongo sehemu za maporini kwa wingi tu na ni mtemi hasa si mchezo

Kumbe ndio haka......!!!!
Kuna filamu moja ya Gods must be crazy kalimng'ang'ania jamaa balaa. Kama ndio kale ka mnyama basi ni balaa
 
Yule dogo anakula mpaka majoka yenye sumu kali tena anaanzia kichwani akizidiwa na sumu analewa so analala kwanza kama lisaa then akiamka anaendelea kula kitoweo chake
 

Attachments

  • 1429338668723.jpg
    1429338668723.jpg
    10.4 KB · Views: 233
Kuonyesha kwamba u-comment ujinga mpaka sasa ujapata like hata moja ingawa yamepita takribani masaa 8 tangu upost huu upu..mbavu wako. Pwi pwi pwi pwi

Teh teh teh, wewe unaishi kwa kutegemea like? Mbona comment yako hii ya kiabunuasi haijapewa like?

Kama ulikuwa hujui naomba nikufamahishe tena kwamba CCM ni mnyama mwoga sana, bila ulaghai wala asingekuwepo!
 
Elk wa north america ni very shy animal hata kumpiga picha tu anajificha
 
Yule dogo anakula mpaka majoka yenye sumu kali tena anaanzia kichwani akizidiwa na sumu analewa so analala kwanza kama lisaa then akiamka anaendelea kula kitoweo chake

Hahahahahah... sura utafikiri laki si pesa eti analewa sumu? Ndivyo alivyo huyo laki si pesa, yeye sumu ya ccm ikishamlevya utamuona tu hapa anasaula kila kitu na kubaki kama alivyotoka kwa Muumba. Mwambie sasa eti we jamaa nilikuona masaa fulani ukiwa uchi, weeeee...!!!!

BACK TANGANYIKA
 
Last edited by a moderator:
Nyumbu ni muoga na mjinga anaweza kuwa anafukuzwa na simba akiona majani anakula anasahau kuwa anakimbiza
 
Fisi ni mwoga kazi yake ni kula mizoga!

acha kumilikishwa na hadithi za zamani wewe fisi c muoga kma we unavyofikilia, kwani mara ngapi hutangazwa kwenye redio kuwa fisi kajeruhi mtu au kaua mtu, siku ukikutana nae anga zake ndio utajua kuwa ni muoga au la lah, kula mizoha ni style yake ya maisha tu kwa vile kabarikiwa kuwa nyongo kali inayowrza kupambana na magonywa ya aina yoyote, fisi yeye c mtaalamu wa kuwinda kma wanyama wengine ambao huua kwa kukaba shingo na kuua, fisi yeye huua kwa kuvizia au kujeruhi yaani ye anataka kuchukua chake mapema ili asepe ikiwa ni mguu au mkono nyama ya tigo, ndio maana inakuwa ngumu kuua wanyama wanaoweza kupambana, fisi hula vitu vyote kma nyama, ngozi, mifupa hadi kwato za mnyama na mara nyingi huwa hashibi na ikitokea kuwa amashiba bac hujitapisha chakula kilicho tumboni na kukifukia mahali alafu baadae tena hukirudia na kula upya ( chezea fisi )
 
Nyumbu nasikia yeye ni mpumbavu kupita kiasi, anaweza akawa anafukuza na simba na endapo ataona nyasi zilizostawi anasimama anaanza kula.

mi nakubaliana nawe kuwa nyumbu ni mnyama muoga kuliko wote, kwa sababu nyumbu hata wawe elfu 30 wakiona katoto ka simba wote hukimbi bila kuangalia nyuma na breki ya ya kwanza huwa masai mara kule kenya, na wakimuona fisi anawanyemelea hurudi speed 120 na breki ya pili ni shamba la bibi Serengeti, dah wanyama wana shida sana hawa
 
Nyumbu Hana akili..na kama anazo basi ni kidogo sana, na kama anazo hizo kidogo basi hazitumii, na kama anazitumia hizo kidogo basi ni fal.a

Jinyama zembe sana hili. Eti mwenzao anashughulikiwa na simba yenyewe yamesimama kama 200 hivi yanashuhudia...
 
mi nakubaliana nawe kuwa nyumbu ni mnyama muoga kuliko wote, kwa sababu nyumbu hata wawe elfu 30 wakiona katoto ka simba wote hukimbi bila kuangalia nyuma na breki ya ya kwanza huwa masai mara kule kenya, na wakimuona fisi anawanyemelea hurudi speed 120 na breki ya pili ni shamba la bibi Serengeti, dah wanyama wana shida sana hawa

Dah! We jamaa muongo sana! Unaleta stori za vijiweni hapa😀😀😀
 
Dah! We jamaa muongo sana! Unaleta stori za vijiweni hapa😀😀😀

master hii siyo story ya kijiweni ebu jiulize kwa nini maisha ya nyumbu siku zote yeye ni safari na njia, haijalishi usiku au mchana yeye hukimbia tu au hutembea kwa foleni tena hajali mto,mlima, au mvua na jua,
na ukitaka kuamini kuwa nyumbu ni mjinga ye yuko radhi amkimbie simba aridhini lakini akaliwe na mamba mtoni, we acha bwana tena mtu akikuita we ni nyumbu mtoboa macho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom