kson m
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 6,682
- 3,066
ccm kuna simba na chui tu, act ndo kuna mamba na kenge.
Simba ana ustaarabu.huko wapo nguruwe tu.
ccm kuna simba na chui tu, act ndo kuna mamba na kenge.
Hivi Kuna maduka/butcher zinapouzwa nyama poli kwa hapa Dar?...
Na wao sio wao ni maajabu ya MUNGU hayo,hebu sasa tumsifu Mungu kwa kazi zake zilizotukuka sana.duuuh kwel wanyama wana vituko
Ahsante kwa bolding.
Hapo kwenye kumbukumbu kuna mnyama anaitwa FUNGO huyu bwana huwa anachagua sehemu moja tu yakujisaidia(kunya) for a certain period of time na haisahau mpaka linakuwa lundo la kujaa kwenye sandalusi kama pesa za Escrow.
So the opposite of NYUMBU is FUNGO kwa kuzingatia suala la kumbukumbu.