mr brocken
Senior Member
- Apr 2, 2015
- 166
- 48
Nyumbu si muoga na ni mnyama jasiri ! Nyumbu kipaumbele chake ni mzunguko wake wa maisha. Nyumbu amejaliwa kujuwa wapi kuna nyasi na maji na eneo gani ni zuri kwa ku mate na kuzaa. Wanyama wengine huingilia utaratibu wake kwa faida yao. Nyumbu hawezi ogopa kuvuka mto kwakuwa una mamba, wakati anajuwa anako kwenda kuna malisho bora !
we ndio ujui kitu kbs tena unafanana na jina (kombo) sasa kuna faida gani kuliwa na mamba na usifike unakokwenda, leo hii we unaweza kuvuka mto angali unajua una mamba na lazima mmoja wenu aidha baba , mama au mtoto au mke wako lazima ataliwa? huwo utakuwa ujasila au akili ya matope! tena kwa taarifa yako nyumbu ni mjinga kupindukia ndio maana yeye ni bendela fuata upepo tu, nyumbu huongozwa na punda milia kujua wapi mvua itanyesha, au wapi mvua ilishanyesha na kuna majani mabichi, vilevile punda milia humtanguliza nyumbu kma chambo zile sehemu zenye maadui na ndio maana wajinga nyumbu huliwa sana na maadui kuliko punda milia,
akili ya darasani changanya na yako mjomba Ally Kombo