Mambo usiyoyajua kuhusu Nyumbu

Mambo usiyoyajua kuhusu Nyumbu

Kuna mnyama anaitwa honey badger au nyegere, ni muoga sana! :heh:
We! Tena we! Kama hujui kitu nyamaza! ! Honey budger ni mwoga? We umesomea tour guide wapi? Umesomea wapi ecology wewe? Yaani mnyama mkorofi kuliko wote na jasiri kuliko wote unamwita mwoga? Honey budger au ratel ndo mnyama mkorofi kuliko wote, anakimbiza na kula cobra, black mamba kama hana akili nzuri. Anawatoa nduki simba na chui vibaya . Wee! tena wee! Tafuta documentary ya wanyama wa Kalahari.
 
Kuna mnyama anaitwa honey badger au nyegere, ni muoga sana! :heh:

Mkuu mshukuru mungu kamfanya nyegere kuwa miongoni mwa wanyama wadogo ,ukweli nyegere ni mmojawapo wa wanyama wakali,jasiri ambao huwezi kuwaua without a fight!pia ndio mnyama pekee atembeaye kwa miguu minne ukiondoa jamii za masokwe anyemudu kutumia nyenzo kufanya mambo yake,hii maana yake anaufahamu mkubwa,inshort badger is badass!
 
Huyu ni mnyama jasiri kuliko wote unaowafahamu, hamuogopi binadamu sembuse kamendegere!!!! Usifanye mchezo na honey badger.
Hamjui vizuri nyegere!usilogwe atie jino lake mguuni !haachii labda umkate kichwa!
 
Gwajima,
.................. analianzisha mwisho wa siku kwenda polisi anaomba waumini wamsindikize...............
 
Mnyama mwoga saaaana ni BINADAM hasa Mtanzania. vigezo vya kusema hivo ni kwamba, anaweza akawa anaibiwa, anadanganywa, unachota madini yake na kusafirisha kwenda kwenu kwa ndege inayo anzia hapo hapo mgodini, au ukampa huduma mbaya mahospitali. lakini wala hashituki na kudai haki yake kwa kisingizo ati anavuruga amani. huo ni uwoga kupita woooooote na wala hakuna sababu ya kutafuta myama mwoga mstituni/mbugani. walio mbugani woote ni wasitaarabu na sio waoga.
 
Acha nifuatilie kwanz...kwa sasa cna jibu sahihi.
 
Nyegere ww humfaham utakuwa umechanganya majina

jamani Huyu nyegere ndo yupi..sijapata kumsikia daima kwenye list za wanyama..na anapatikana kanda zipi hasa?nianze kujihami mapema maana nipo msituni
 
Huyu ni Ndege

umekosoa usichojua

ndege pia ni mnyama (Animalia) japo haingiii kwenye wanaonyonyesha (mammals) yupo kwenye kundi la aves kama class yake
ila wewe pamoja na ndege na tembo mpo kwenye kundi kubwa liitwalo ANIMALIA
so ndege ni mnyama
 
jamani Huyu nyegere ndo yupi..sijapata kumsikia daima kwenye list za wanyama..na anapatikana kanda zipi hasa?nianze kujihami mapema maana nipo msituni

sio nyenyere kweli????
majina mengi ya kikabila nahisi
embu tumieni kisahili wakuuu
 
Kuna mnyama anaitwa honey badger au nyegere, ni muoga sana! :heh:

Dah, wakati sisi wengine tunamuogopa sana nyoka, huyo jamaa anapambana na nyoka hadi anamuua na kumtafuna kabisa! Na hata aking'atwa na nyoka mwenye sumu kali, bado atapoteza fahamu (kiujanjaujanja) kwa muda fulani na akikurupuka huko ni lazima amsake tena nyoka na kuhakikisha anamuua!! Yaani huwa ni burudanbi tupu ukiuona mpambano huo.
 
Mkuu mshukuru mungu kamfanya nyegere kuwa miongoni mwa wanyama wadogo ,ukweli nyegere ni mmojawapo wa wanyama wakali,jasiri ambao huwezi kuwaua without a fight!pia ndio mnyama pekee atembeaye kwa miguu minne ukiondoa jamii za masokwe anyemudu kutumia nyenzo kufanya mambo yake,hii maana yake anaufahamu mkubwa,inshort badger is badass!

mkuu mnyama pekee anayetembea kwa miguu minne ????????
mkuuu wanyama wako wengi jamani kina tembo,tumbili,twiga

au kuna ulihomaanisha kingine?
 
mkuu mnyama pekee anayetembea kwa miguu minne ????????
mkuuu wanyama wako wengi jamani kina tembo,tumbili,twiga

au kuna ulihomaanisha kingine?
Masai Dada soma muundo wa sentensi nzima!kwa kawaida binadamu anatumia miguu miwili (miguu ya nyuma)kutembea na anauwezo wa kutumia nyenzo (vitendea kazi) kwa mikono yake(miguu ya mbele kwa mnakashi huu).
Jamii ya masokwe,kima na wajomba zao wanfanya kama binadamu kutumia vifaa kwa ajiliya shughuli zao,ila kwa wanyama watumiao miguu minne-simba tembo ,paka mbwa nk hawatumii vifaa kufikia malengo yao isipokuwa badger(nyegere)akiona ukuta mrefu hawezi kuukwea atatafuta kitu iwe jiti au kifaa chochote kile ilimradi apinguze urefu wa ukuta!wakati wakina simab watatafuta sehemu ya kupenya au pale pafupi,nyegere ani face problem hazunguki!
nadhani umenipata
 
Gwajima,
.................. analianzisha mwisho wa siku kwenda polisi anaomba waumini wamsindikize...............

Unawezaje kumuita mwanadamu mwenzako mnyama hata kama hupendi misimamo yake???

Kweli ukiwa na umri mkubwa haina maana una hekima na busara...
 
Masai Dada soma muundo wa sentensi nzima!kwa kawaida binadamu anatumia miguu miwili (miguu ya nyuma)kutembea na anauwezo wa kutumia nyenzo (vitendea kazi) kwa mikono yake(miguu ya mbele kwa mnakashi huu).
Jamii ya masokwe,kima na wajomba zao wanfanya kama binadamu kutumia vifaa kwa ajiliya shughuli zao,ila kwa wanyama watumiao miguu minne-simba tembo ,paka mbwa nk hawatumii vifaa kufikia malengo yao isipokuwa badger(nyegere)akiona ukuta mrefu hawezi kuukwea atatafuta kitu iwe jiti au kifaa chochote kile ilimradi apinguze urefu wa ukuta!wakati wakina simab watatafuta sehemu ya kupenya au pale pafupi,nyegere ani face problem hazunguki!
nadhani umenipata

nimekupata mkuuu naomba picha ya nyegere plz
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom