Mambo usiyoyajua kuhusu Nyumbu

Mambo usiyoyajua kuhusu Nyumbu

nyegere ni balaa! afu anawivu huyooo! akiwa na mchepuko wake anafwata nyuma,ole wake hata nyasi ukigusa nyuma ya mchepuko wake ule unyasi utasagwasagwa kwa meno hadi utajuta! ni jasiri huyo: Acha hiyo, anashusha mzinga wa asali anaanza kupakua masega(honey combs) anaenda kuficha sehemu- mtu mmoja alijifanya kumtaim masega yalipofika kama ma4 hivi jamaa kachukua moja, nyegere alipofikisha masega6 jamaa kachukua jingine- nyegere kumbe anahesabu, nyegere kajifanya anaenda tena bee hive akarudia njiani na kurudi kimyakimya style na kumkuta mshkaji anachukua sega la nyegere! bwanaweeee! jamaa aling'atwa vibaya sehemu za siri,
 
Hahahaah,,,,,,haya majamaa ni majinga ajabu. Yanatembea kwa makundi lakini akili hamna kabisa.

Eti nasikia kuna wakati hawa jamaa anaweza akakurupushwa na simba, anakimbia, lakini baada ya dk kadha wa kadha, anasahau kama alikuwa anakimbizwa na anaanza kurudi kwa bwana simba kwa spidi ile ile.
Sasa simba atakapomwona nyumbu anarudi kwa spidi kali, na yeye anaanza kukimbia kwa kudhani labda alienda kujipanga kivingine kumbe kasahau.
 
Mkuu honey budger au nyegere ndo mnyama mkorofi kuliko, ukubwa wake ni juu kidogo ya paka mkubwa, ana rangi nyeupe na nyeusi mgongoni. Kuna documentary niliiona anamkimbiza simba, kifupi ni kichaa. Anamla nyoka yoyote kuanzia Kichwani. I mean nyoka yoyote akimuona lazima ajambe. It's my favorite animal akifuatiwa na mbwa mwitu.

Mkuu Last emperor nimeingia youtube nimeona video zake aisee cobra pamoja na kutema kwake sumu kajikuta anararuliwa kichwa kabla hajafanya chochote,kinachofurahisha zaidi anavyojiamini hasubiri apoe anakamata kichwa anatafuna huku nyoka anatingishika kwa hasira,nadhani huyu mdudu anaogopwa na kila kiumbe mdogo.
 
Last edited by a moderator:
Wewe!

Wewe ukiwa msituni unajiogopa had I mwenyewe,unajitishajitisha tu!
 
Jamani, kwa kuangalia hicho ki-emoticon 🙂heh🙂 mlitakiwa mjue kwamba kuna lugha fulani ya mzaha ilitumika kunogesha mjadala. Ukweli ni kwamba nafahamu kuwa honey badger has been named “world's most fearless animal” by the Guinness Book of World Records.

Basi ndio maana nikashangaa huyu mkuu kweli hamjui honey badger!! ki emoticon hakionekani kwenye browser ya simu.
 
Baada ya simba/chui kuua mnyama yeye anachofanya ni kukaa pembeni akimwangalia simba anakula nyama akishashiba fisi ndiyo anaopoa mzoga!

Kwa taarifa yako chui hali windo lake chini mahali atakapobughudhiwa, na spotted hyena ni kweli wanamnyang'anya Simba windo.
 
nyegele mkorof usipime,wivu kwa mwenzi wake, ndo mnyama mdgo anaenivutia polini
 
Kuna mnyama anaitwa honey badger au nyegere, ni muoga sana! :heh:

Usicheze na nyegere aka honey badger, huyu mnyama ni mbabe, ni mtemi, na hajali. Njoo kwetu Katavi uone muziki wao ulivyo mzito, hata tembo au simba akikutana na honey badger anajiuliza mara mbili!!!
 
Mnyama muoga zaidi mbugani ni Eland, hawa wapo hata pale Ikulu Magogoni, wanafanana sana na ng'ombe...hapendi kabisa kumuona binadamu...ni mnyama mzuri sana na ana uwezo wa kukaa mda mrefu bila kunywa Maji..ni km alivyo ngamia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom