teledam
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 927
- 1,239
ila nimeshangaa hadi madume yapo kamandaWadada ni rahisi kutongozwa na wanapenda shortcuts
ila nimeshangaa hadi madume yapo kamandaWadada ni rahisi kutongozwa na wanapenda shortcuts
ila nimeshangaa hadi madume yapo kamanda
hawa ndo wanshikishwaga ukutaYes, hawa ni wanaume wale wapenda mteremko
hawa ndo wanshikishwaga ukuta
Nasema sio mke wangu hata Girlfrnd wangu akiingia kwenye Huu upuuzi akatafute bwana mwingine ambae atakuwa mjinga kama yeye...!! Fwakeni
Alikuwa anasoma diploma ya insurance then akaacha baada ya kupata Qnet yule ni mmoja ya top earners hapa Tz na alipoipata toka kwa mfanyakazi wake bilal chap akajaza ndugu zake warombo kina einhard Mroso, Happy Matemba na wengine kibao,,, kila wiki lazima atengeneze zaidi ya dola elfu 20 anakula maisha kama hana akili,,, kawajengea wazazi wake nyumba ya m200 na hiyo range alisema angeagiza zero km,,, anaishi apartment ya bei kinoma meisahau jina ila ipo posta... Alikuwa akija ofisini kwetu full mbwembweWakuu Elia Mroso yupo, dogo ndio ambassador wa Qnet hapa bongo, ndo waliotusua mapema mapema pind QNet inatia timu hapa mjin, nilisikia ameagiza Range rover ya mill 350, baada ya kuachana na harrier lexus na hayo yote ni matunda ya QNET , Dogo tumepiga naye Galanos boys tulikuwa na chember yetu ya B.O.T...... Ha ha haa a, ila Mimi Qnet nimeitosa aisee ishajam tayar na wana wamebumbuluka, hongera yake ashatusua kama ni kweli....
Sawa sawa mkuu, nilimuona pia kwenye kalenda ya Qnet akiwa Malaysia, akipromote saa ya rolex na Huyo Bilal pia tumepiga nao Galanos, naskia jamaa aliredirect mtonyo wa karo akautupia Qnet mzee baba, na aliiotea kweli kweli mana ndo ilikuwa inaingia bongo ile kugusa tu kitu kikaboom , na lazima apige hela ya hatar, sababu wao ndo waliidaka mapema , karbia chain ya member wote wa Qnet hapa bongo wao wanapiga percent,.....Alikuwa anasoma diploma ya insurance then akaacha baada ya kupata Qnet yule ni mmoja ya top earners hapa Tz na alipoipata toka kwa mfanyakazi wake bilal chap akajaza ndugu zake warombo kina einhard Mroso, Happy Matemba na wengine kibao,,, kila wiki lazima atengeneze zaidi ya dola elfu 20 anakula maisha kama hana akili,,, kawajengea wazazi wake nyumba ya m200 na hiyo range alisema angeagiza zero km,,, anaishi apartment ya bei kinoma meisahau jina ila ipo posta... Alikuwa akija ofisini kwetu full mbwembwe
Wakuu Elia Mroso yupo, dogo ndio ambassador wa Qnet hapa bongo, ndo waliotusua mapema mapema pind QNet inatia timu hapa mjin, nilisikia ameagiza Range rover ya mill 350, baada ya kuachana na harrier lexus na hayo yote ni matunda ya QNET , Dogo tumepiga naye Galanos boys tulikuwa na chember yetu ya B.O.T...... Ha ha haa a, ila Mimi Qnet nimeitosa aisee ishajam tayar na wana wamebumbuluka, hongera yake ashatusua kama ni kweli....
Alikuwa anasoma diploma ya insurance then akaacha baada ya kupata Qnet yule ni mmoja ya top earners hapa Tz na alipoipata toka kwa mfanyakazi wake bilal chap akajaza ndugu zake warombo kina einhard Mroso, Happy Matemba na wengine kibao,,, kila wiki lazima atengeneze zaidi ya dola elfu 20 anakula maisha kama hana akili,,, kawajengea wazazi wake nyumba ya m200 na hiyo range alisema angeagiza zero km,,, anaishi apartment ya bei kinoma meisahau jina ila ipo posta... Alikuwa akija ofisini kwetu full mbwembwe
Sawa sawa mkuu, nilimuona pia kwenye kalenda ya Qnet akiwa Malaysia, akipromote saa ya rolex na Huyo Bilal pia tumepiga nao Galanos, naskia jamaa aliredirect mtonyo wa karo akautupia Qnet mzee baba, na aliiotea kweli kweli mana ndo ilikuwa inaingia bongo ile kugusa tu kitu kikaboom , na lazima apige hela ya hatar, sababu wao ndo waliidaka mapema , karbia chain ya member wote wa Qnet hapa bongo wao wanapiga percent,.....
Dogo namkubali sana, tukiwa skul niliugua nikazidiwa dogo alifight sana aisee mpak nikapata matibabu stahiki, jamaa alipambana mpak nikawa naletewa msosi wa staff, very humble sana mshikaji, Mungu amlipe parefu...
Mimi mimekuja kuinyaka issue ya Qnet too late, ishakuwa Tayar ina chain ndeefu na watu washambumbuluka , sa hv kushawishi kaaz kweli kweli, nilipoichanganua vyema nikaona miyeyusho nitaloose my money, nikaitema....!!
Hpn,,, wanakubeba mwanzoni tu kama umeonesha dalili nzuri na una influence ila kwa huyu jamaa anapata hela yaan hao unaowaona wanazunguka kama tiara wanachoingiza na yeye kinaingia pia hivyo ni kama wanamfanyia kaxiQnet wanamchukua mtu anaejituma sana kwahiyo wanawekeza kwa huyo mtu....msidhan huyo jamaa nyumba na magari ni pesa yake. Hizo ni pesa za kampuni imewekeza kwake ili na nyie muingie mkenge!
WEZI WA KIMATAIFA ACHANA NAOTupeane Uzoefu wanaoijua Qnet watu wengi wameingizwa mkenge