dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,802
- 20,296
Hahahah...!! Asiogope bwana kamandaanaogopa hilo jina lako... Maana hueleweki.... Huku Dingi huku mtoto ha ha ha ha ha ha.
Hahahah...!! Asiogope bwana kamandaanaogopa hilo jina lako... Maana hueleweki.... Huku Dingi huku mtoto ha ha ha ha ha ha.
jaman kwa nini ulipotea hebu rudi banaHili lilikuwaga chaka langu sema nilipotea![]()
![]()
![]()
Mimi mzima, karibu tenaNipooo. ...mzima weyee
Ndo nimerudijaman kwa nini ulipotea hebu rudi bana
hapo sawa cuzooNdo nimerudi
MuuLize vizrHajawahi kufika
Nilimpokea ubungo.tena siku hiuo alinisumbua sanaaa kapotea potea huko mataa yalimchanganya.Ngoja aje ajibu au mlishawahi onana bongo
Nilimpokea ubungo.tena siku hiuo alinisumbua sanaaa kapotea potea huko mataa yalimchanganya.
alikua na kamba mguuni pole yake
According to Waziri Mwijage
*Ukitafuna miwa 4 tayari una kiwanda cha sukari
*Ukiwa na majiko 4 una kiwanda cha kupikia
*Ukiwa na ng'ombe jike 4 una kiwanda cha Maziwa
*Ukijisaidia kinyesi kutwa X 4 una kiwanda cha mbolea
*Ukiwa na Kali 4 za kuchomea vitumbua tayari ni kiwanda cha vitumbua
*Ukiwa na sindano 4 una kiwanda cha nguo
*Ukiwa na vimada 4 tayari una kiwanda cha kufyatua watoto
*Ukiwa na watoto 4 wenye mabichwa makubwa yaliyojaa nywele tayari una kiwanda cha wigi
........

Daktari huwa hakatishi tamaa wagonjwa hivyo huwapa tu dawa za kuimarisha kinga ili usisambae sehemu zingine ila siyo kuutibu ugonjwa hata hivyo huu ugonjwa una tabia ya kutokea sehemu zaidi ya moja
Dawa pekee ni kujikubali la sivyo utapoteza pesa hadi ufilisikeHuyu ni model huko USA ni mfano wa kuigwa kajikubali na kupiga pesa![]()
.
.Wale akina MziziMbichi ni matapeli na wapigaji hapa JF
Huu ugonjwa hauuwi
Hauumi
Hauwashi
Zaidi hibadili muonekano wa ngozi tu
.........

Usicheke utazidi kumuumiza binamu
Hakika kiri uzima kila wakati na Mungu atakupeleka hatua nyingine ya ushindi,si lazima kusema kila unachopitia ,wakati mngine Mungu anaruhusu majaribu ili uuone utukufu wake.
Nafurahia namna unavyochukulia changamoto,Mungu aendelee kukuimarisha.tunakuombea.

Katiba ni ile ile tuAsante. ..nipe katiba basiii![]()
![]()
![]()
Aisee![]()
![]()
alikua na kamba mguuni pole yake
Haya maelezo yanasadifu ID yakoHa ha ha ha ha ha ha.... Nimekwambia Lee ni rafiki yangu..... Sasa ngoja nikwambie bila wewe kuuliza.... Hii Anqasus ni aina ya kahawa....ambayo imechanganywa na spice formula ambayo ukiinywa saa zote utataka Lee awe pembeni yako. Ha ha ha ha ha ha
CC:Lee empire
Acheche prodakshizoWa wapi huyo