Makapuku Forum

Makapuku Forum

TOP TEN
Leo tuangalie wezi/vibaka au matukio 10 ya wizi maarufu yaliyowahi kutokea tena kwa mafanikio
Najua humu kuna mashabiki wa 'bwana yule' hivyo mimi naelezea kwa ufupi tu na ilitokea kuna tukio au mwizi aliyewahi kuelezewa na 'bwana yule' muelrwe tu ni kwa bahari mbaya na msianze kuleta maneno maneno
Hii ya leo ni ngumu kidogo
Karibuni
......
 
87bc96e2113bb70db532e7701db5e5eb.jpg
 
10/French "Vacuum" Gang
8249ddb950e99312b9ee43888c7fe4cb.jpg
edd9baff5c51e5942ced4e1aa4df2fe2.jpg
Kuanzia mwaka 2006 huko Ufaransa liliibuka genge la Kihalifu lisilofahamika la vibaka wajanjawajanja ambao waliimba na kusafisha kabisa Supamarket kwa kutumia kifaa maalumu walichokibuni cha fagio la vakyumu
Waligundua udhaifiu katika utunzaji fedha wa Supermarket ya Monoprix na hivyo kutumia fursa vizuri kwa kubuni fagio hilo la kuiibia kwenye vacuum tubes za itumzaji fedha
Hadi kufika 2011 walikuwa washaiba USD 800,000 kwa kutekeleza matukio 15 yenye mafanikio mkubwa
Kamera za CCTV zilibulia kuona watu waliovaa mask tu
Hawa jamaa walikuwa wakiiba usiku
........
 
According to Waziri Mwijage
*Ukitafuna miwa 4 tayari una kiwanda cha sukari
*Ukiwa na majiko 4 una kiwanda cha kupikia
*Ukiwa na ng'ombe jike 4 una kiwanda cha Maziwa
*Ukijisaidia kinyesi kutwa X 4 una kiwanda cha mbolea
*Ukiwa na Kali 4 za kuchomea vitumbua tayari ni kiwanda cha vitumbua
*Ukiwa na sindano 4 una kiwanda cha nguo
*Ukiwa na vimada 4 tayari una kiwanda cha kufyatua watoto
*Ukiwa na watoto 4 wenye mabichwa makubwa yaliyojaa nywele tayari una kiwanda cha wigi
........
 
Daktari huwa hakatishi tamaa wagonjwa hivyo huwapa tu dawa za kuimarisha kinga ili usisambae sehemu zingine ila siyo kuutibu ugonjwa hata hivyo huu ugonjwa una tabia ya kutokea sehemu zaidi ya moja
Dawa pekee ni kujikubali la sivyo utapoteza pesa hadi ufilisike
0084053945ffefce5c7a218ee0290162.jpg
Huyu ni model huko USA ni mfano wa kuigwa kajikubali na kupiga pesa
.
.Wale akina MziziMbichi ni matapeli na wapigaji hapa JF
Huu ugonjwa hauuwi
Hauumi
Hauwashi
Zaidi hibadili muonekano wa ngozi tu
.........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom