mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,920
Bora unitetee ShunieNimemrudishia shemela wangu
Bora unitetee ShunieNimemrudishia shemela wangu
Sina hakika ila nina imani walishalia walau Mara moja na baada ikabaki historiaKuna wanaume ambao hawajawahi kulia kabisa
Hiyo ni kama salaam tu nimemrudishia alivyonipaBora unitetee Shunie
Naona tunipo mimi shemela![]()
Kummulikia kipofu ni kumaliza betri ya simuAsante jaman mm sihitaji
Huyu shemela tutamwekea FBIHiyo ni kama salaam tu nimemrudishia alivyonipa
ahahhhh shemela nimekuelewa sana ujue yana maana nzitoKummulikia kipofu ni kumaliza betri ya simu
Kumwimbia kiziwi utamaliza cd
MmhWanywaji oyeeeeee
Cuzoooahahhhh shemela nimekuelewa sana ujue yana maana nzito
Hongera zaoWORLD CUP U20
![]()
Msimamo ulivyo sasa wa kundi A&B
Korea Republic na Venezuela wamefanikiwa kuvuka hatua ya makundi huku Argentina na Vanuatu wakisubiri kukamilisha tu mechi maana wameshindwa kuvuka hatua ya makundi.![]()
I see tunahitaji delivaranceAccording to Waziri Mwijage
*Ukitafuna miwa 4 tayari una kiwanda cha sukari
*Ukiwa na majiko 4 una kiwanda cha kupikia
*Ukiwa na ng'ombe jike 4 una kiwanda cha Maziwa
*Ukijisaidia kinyesi kutwa X 4 una kiwanda cha mbolea
*Ukiwa na Kali 4 za kuchomea vitumbua tayari ni kiwanda cha vitumbua
*Ukiwa na sindano 4 una kiwanda cha nguo
*Ukiwa na vimada 4 tayari una kiwanda cha kufyatua watoto
*Ukiwa na watoto 4 wenye mabichwa makubwa yaliyojaa nywele tayari una kiwanda cha wigi
........
Asante mkuu Nyagei Asante kaka yangu MndaliKwa udhamini wa Mndali ndanyelakakomu tukapate matokeo yaliyotufikia hivi punde.
mbarikiweWanafanana
DahUpo sahihi
Ila inahesabika 'kujichubua' maana ni kitendo cha kuondoa tabaka la juu la ngozi
Nashukuru kwa ufafanuzi
..........

CuzoooooCuzooo
Nimekuja swahibaaaCuzooooo
Mwana mpotevu upo weweCuzooo
Nipooo. ...mzima weyeeMwana mpotevu upo wewe
karibu cuzoo wangu huku mm ndio nyumbani ukinikosa kote utanikuta hapaNimekuja swahibaaa
Hili lilikuwaga chaka langu sema nilipoteakaribu cuzoo wangu huku mm ndio nyumbani ukinikosa kote utanikuta hapa
