Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Ahsante sana shemAsante shem wange kwa uf ubarikiwe sana
Ahsante sana shemAsante shem wange kwa uf ubarikiwe sana
Vagitus ni neno la kilatini likiwa na maana ya sauti ya akilia baada ya kuzaliwa kwa kiingereza (Baby's first crying)Kwa kiswahili "vagitus" linaitwaje?
Raisi wa wapi huyo?JE WAJUA?
Raisi Lyndon B Johnson alimiliki gari lenye uwezo wa kutembea nchi kavu na majini, alipenda kuwatisha wageni wake kwa kuwapandisha kwenye gari lake harafu analitumbukiza kwenye maji akisema breki hazifanyi kazi halafu anaanza kuliendesha ndani ya maji.
JE WAJUA?
Ukipaka Perfume ya Calvin Klein Obsession usiende porini maana harufu yake inavutia Jaguars, Tigers na Cheater
Njema mkuu Shululu pole na majukumu,ubarikiweZa mchana mama mchungaji
JE WAJUA?
Raisi Lyndon B Johnson alimiliki gari lenye uwezo wa kutembea nchi kavu na majini, alipenda kuwatisha wageni wake kwa kuwapandisha kwenye gari lake harafu analitumbukiza kwenye maji akisema breki hazifanyi kazi halafu anaanza kuliendesha ndani ya maji.
Asante pole na wewe mama mchungajiNjema mkuu Shululu pole na majukumu,ubarikiwe
JE WAJUA?
GRABELLA ni ile sehemu iliyo wazi iliyotenganishwa na nyusi (Katikati ya uso)
Ucjali dear we andaa tumbo tuMuda si mrefu narudi,niandalie ugari na samaki, bila kusahau mtindi
Una bahati sana itabidi uwe unabet tuZa mchana mama mchungaji

Uko poa shem wane?Salama pole na ujenzi wa taifa
Samaki wa wapi mkuu?Muda si mrefu narudi,niandalie ugari na samaki, bila kusahau mtindi
Sato wa ziwa VictoriaSamaki wa wapi mkuu?
AsanteUna bahati sana itabidi uwe unabet tu
195k![]()
![]()
![]()
Kubet hapana kabisa, huo ni ugonjwa mbaya sanaUna bahati sana itabidi uwe unabet tu
195k![]()
![]()
![]()
MarekaniRaisi wa wapi huyo?
Wamekuwa gharama kweli hao huku Mara sijui ninyi huko iko vipiSato wa ziwa Victoria