Makapuku Forum

Makapuku Forum

f100d364294c0fbb8967d4ee3fa2bc85.jpg
 
3338c8762b19a8bb9503a9169445ea68.jpg

Huu ugonjwa unaitwa Vitiligp hadi sasa hauna dawa na hauambukizi
Michael Jackson aliluwaga nao akaamua kujichubua ili kusawazisha rangi pia kuvaa gloves mkono ni(Hii inaashiria pesa siyo kila kitu)
Hata Wazungu huugua ila hushambulia zaidi watu weusi tena wenye ngozi nyeusi sana

Muwe na Jioni Njema
.............
Michael hakujichubua Bali dawa alizokuwa anapaka ili kutibu ndio zilipelekea kumbadilisha rangi sababu zilikuwa ni kali na alitumia kwa muda mrefu

Asante na jioni njema kwako pia
 
3338c8762b19a8bb9503a9169445ea68.jpg

Huu ugonjwa unaitwa Vitiligp hadi sasa hauna dawa na hauambukizi
Michael Jackson aliluwaga nao akaamua kujichubua ili kusawazisha rangi pia kuvaa gloves mkono ni(Hii inaashiria pesa siyo kila kitu)
Hata Wazungu huugua ila hushambulia zaidi watu weusi tena wenye ngozi nyeusi sana

Muwe na Jioni Njema
.............
Asante bitoz
 
3338c8762b19a8bb9503a9169445ea68.jpg

Huu ugonjwa unaitwa Vitiligp hadi sasa hauna dawa na hauambukizi
Michael Jackson aliluwaga nao akaamua kujichubua ili kusawazisha rangi pia kuvaa gloves mkono ni(Hii inaashiria pesa siyo kila kitu)
Hata Wazungu huugua ila hushambulia zaidi watu weusi tena wenye ngozi nyeusi sana

Muwe na Jioni Njema
.............
Sasa hivi naona watu wengi wanao,ukipita mahospitalini utakutana nao.

Ubarikiwe asante sana mkuu Bitoz,uwe na wakati mwema na Mungu aendelee kukutetea
 
According to Waziri Mwijage
*Ukitafuna miwa 4 tayari una kiwanda cha sukari
*Ukiwa na majiko 4 una kiwanda cha kupikia
*Ukiwa na ng'ombe jike 4 una kiwanda cha Maziwa
*Ukijisaidia kinyesi kutwa X 4 una kiwanda cha mbolea
*Ukiwa na Kali 4 za kuchomea vitumbua tayari ni kiwanda cha vitumbua
*Ukiwa na sindano 4 una kiwanda cha nguo
*Ukiwa na vimada 4 tayari una kiwanda cha kufyatua watoto
*Ukiwa na watoto 4 wenye mabichwa makubwa yaliyojaa nywele tayari una kiwanda cha wigi
........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom