Makapuku Forum

Makapuku Forum

f76d53203424c391335d900a056764f4.jpg
Duh
 
acha nikushangaze tu ila asante
Ha ha ha ha ha ha ha.... Nimekwambia Lee ni rafiki yangu..... Sasa ngoja nikwambie bila wewe kuuliza.... Hii Anqasus ni aina ya kahawa....ambayo imechanganywa na spice formula ambayo ukiinywa saa zote utataka Lee awe pembeni yako. Ha ha ha ha ha ha



CC:Lee empire
 
3338c8762b19a8bb9503a9169445ea68.jpg

Huu ugonjwa unaitwa Vitiligp hadi sasa hauna dawa na hauambukizi
Michael Jackson aliluwaga nao akaamua kujichubua ili kusawazisha rangi pia kuvaa gloves mkono ni(Hii inaashiria pesa siyo kila kitu)
Hata Wazungu huugua ila hushambulia zaidi watu weusi tena wenye ngozi nyeusi sana

Muwe na Jioni Njema
.............
Ahsante sana mkuu Bitoz
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom