BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Kweli lakini
Kweli lakini
Jimena za wwAsante sana
Nimekuja na kismati![]()
![]()
![]()
Sweetiepie yupo ubavuni kwakeahaahah atakufwa bado tunamuhitaji
Camera bado zmeharibikaMsisahau picha
Ndio shem waneKwani shemela upo mara
Furaha kukuona mkuu mjengoniDID YPU KMOW?![]()
Je..wajua kwamba kama haudaiwi(deni lolote)...ni kiashiria kwamba wewe sio muaminifu..??..
yaani hukopesheki...![]()
![]()
![]()
..!!!

hhahah nakumbuka juzi kati nilimwambia sakayoUlisema mwenyewe![]()
![]()
![]()
Hii ni kweliAccording to Waziri Mwijage
*Ukitafuna miwa 4 tayari una kiwanda cha sukari
*Ukiwa na majiko 4 una kiwanda cha kupikia
*Ukiwa na ng'ombe jike 4 una kiwanda cha Maziwa
*Ukijisaidia kinyesi kutwa X 4 una kiwanda cha mbolea
*Ukiwa na Kali 4 za kuchomea vitumbua tayari ni kiwanda cha vitumbua
*Ukiwa na sindano 4 una kiwanda cha nguo
*Ukiwa na vimada 4 tayari una kiwanda cha kufyatua watoto
*Ukiwa na watoto 4 wenye mabichwa makubwa yaliyojaa nywele tayari una kiwanda cha wigi
........
Ni kweli kabisa
ahaha sante naona kwako ngumu sanaHongera kwa kuzinywa
Ni kweli kabisa
Wanastahili maana ni wakubwa sana na umri wa kuishi ni mrefu
Jibu murua kabisaCamera bado zmeharibika
I seeHapa walitisha
Asante Bitoz![]()
Huu ugonjwa unaitwa Vitiligp hadi sasa hauna dawa na hauambukizi
Michael Jackson aliluwaga nao akaamua kujichubua ili kusawazisha rangi pia kuvaa gloves mkono ni(Hii inaashiria pesa siyo kila kitu)
Hata Wazungu huugua ila hushambulia zaidi watu weusi tena wenye ngozi nyeusi sana
Muwe na Jioni Njema
.............
Daktari huwa hakatishi tamaa wagonjwa hivyo huwapa tu dawa za kuimarisha kinga ili usisambae sehemu zingine ila siyo kuutibu ugonjwa hata hivyo huu ugonjwa una tabia ya kutokea sehemu zaidi ya mojaSasa hivi naona watu wengi wanai,ukioita mahospitalini utakutana nao.
Ubarikiwe asante sana mkuu Bitoz,uwe na wakati mwema na Mungu aendelee kukutetea![]()