Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Kwema Shedede? Nasikia ulikuwa umekwama porini na bosi. Kazi ya ulinzi ni ngumu, na nikikwambia uje huku Koromije tulime nyanya hutaki.yaaani wewe unaroho mbya ambayo sijawahi kuiona jf khaaaa



Life is a fallacy!
Po ndaga ulu kubhombela pakajaNdipo pakaja,imbombo papapaa
Salama dada za hapo unapo tafutia mkateSalama za ww kak
Nafurahi km umeshayaelewa hayo maujanjaAhsante madenge
Njema dadake na Mimi za hapo ulipoHbr ya mchana wapendwa poleni na majukumu,shululu mic u![]()
![]()
Asante dada kwa nukuuNgoja leo nimsaidie T kidogo najua sitakuangusha shemela wange
NUKUU YA LEO
Usitegemee mtu akutunzie siri ambayo wewe mwenyewe umeshindwa kuitunza hadi ukaenda kumwambia yeye.
haya maneno yamewahi tamkwa na Masanja Mkandamizaji
Ni mume wa dada aitwae Monicca
![]()
muwe na siku njema mbarikiwe.
ubarikiwe kakaAsante dada kwa nukuu
Njema mkuuhabari za saa hii
Km inavyoonekana hapoNdio niniiiiiiiii