Makapuku Forum

Makapuku Forum

yaaani wewe unaroho mbya ambayo sijawahi kuiona jf khaaaa
Kwema Shedede? Nasikia ulikuwa umekwama porini na bosi. Kazi ya ulinzi ni ngumu, na nikikwambia uje huku Koromije tulime nyanya hutaki.

Anyway, Waswahili walishasema "Asiyekuwepo na lake______". Halafu wakaongeza "Fimbo ya mbali ______" The revolution was not successful; and it was not televised. Halijaharibika neno!
 
Kule Athens Ugriki ya kale wanawake waliwahi kushauriwa kutofanya tendo la ndoa na waume zao ili kuwashinikiza wasiende vitani. Wanawake hawa walikuwa wamechoshwa na vita vya mara kwa mara. Inasemekana walifanikiwa na wanaume wakagoma kwenda vitani, diplomacy ikatumika na amani ikarejea.

Naona Mugabe naye anatoa wazo lile lile ili kupata dawa ya UKIMWI.
a18dd18173751d447ddcdd9df55d11fd.jpg
 
Ahsante madenge
Nafurahi km umeshayaelewa hayo maujanja
Hivyo hakuna haja ya kukutag mimi nakupa ujanja wa kudumu(nakufundisha kuvua samaki badala ya kukupa samaki kila siku)

Yaani utazipata hadi Top Ten za mwaka jana ambazo zilikuwa zinaletwa na mtu mwingine...

Au vipindi vingine vyote mfano vilikuwepo Kapuku Hot Songs, Old Is Ever Gold , Fix za Bitoz,Hadithi/Simulizi/Riwaya n.k
Mimi nimerithi/kuziendeleza tu hizo Top Ten ila alikuwepo aliyeanzisha/kubuni
Heshima kwake
............
 
Ngoja leo nimsaidie T kidogo najua sitakuangusha shemela wange

NUKUU YA LEO
Usitegemee mtu akutunzie siri ambayo wewe mwenyewe umeshindwa kuitunza hadi ukaenda kumwambia yeye.

haya maneno yamewahi tamkwa na Masanja Mkandamizaji
Ni mume wa dada aitwae Monicca
af8522fdd40fce51085006d8a62d3a23.jpg


muwe na siku njema mbarikiwe.
 
Ngoja leo nimsaidie T kidogo najua sitakuangusha shemela wange

NUKUU YA LEO
Usitegemee mtu akutunzie siri ambayo wewe mwenyewe umeshindwa kuitunza hadi ukaenda kumwambia yeye.

haya maneno yamewahi tamkwa na Masanja Mkandamizaji
Ni mume wa dada aitwae Monicca
af8522fdd40fce51085006d8a62d3a23.jpg


muwe na siku njema mbarikiwe.
Asante dada kwa nukuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom