shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Maneno mazuri sana mama mchungajiHongera Masanja,Hongera Lulu ila kuhusu mimba ni muhimu sana kuitunza kwanza,zamani tulifundishwa kuwa hatupaswi kuzungumzia wazi sana kuhusu hali za ujauzito zaidi ya hospitali(kwa ajili ya vipimo,ushauri,ufuatiliaji) wazazi,mume,na watu unaotegemea wahusike kwenye safari yako ya kuwa mama,au baba sijui siku hizi mtaala wanaotumia watoto wetu ni version ipi..Mungu awasaidie![]()
Ubarikiwe sana