Makapuku Forum

Makapuku Forum

1/Robert Mugabe
ee4020564922e78d93bbcf05cebcf9bc.jpg
6d0903d4a8f451eb4e54e13041332df0.jpg

Komredi Mugabe ndiye Rais wa Zimbabwe
Alizaliwa Februari 21 1924
Wakati Zimbabwe ikijipatia uhuru wake yeye alikuwa Waziri Mkuu
Akawa Rais tarehe 18/04/1980 akichukua nadaraka kutoka kwa Rais Banana ambaye ndiye Rais wa kwanza wa Taifa hilo
Tangu hapo anaitisha uchaguzi kama kuzuga tu na hsta akishindwa haachii mafaraka...

fa722a5a5d10f4e22c52a391752bb960.jpg
Nchi yake ndo nchi maskini zaidi duniani kwa sasa kiasi cha kuanza kurudi kwenye barter trade kutokana na vikwazo na mfumuko wa bsi kiasi kwamba Dola trilioni 100 ya Zimbabwe ilikuwa na thamani isiyofikia hata buku tu la kibongo1000/=) yaani hata mkate haitoshi kwasasa wameamua kuruhusu matumizi ya Dola ya Kimarekani pamoja na Rand ya Afrika Kusini maana pesa yao ipo hoi
Ana imri wa miaka 93
.
.
.

.Shukrani kwa wote waliofuatilia mada
Tukutane kesho
Mwisho
...............
Komredi Mugabe, Simba wa Afrika kama sio Jabali la Afrika anayeamini katika ukale.

Huyu nae ni Rais wa Maisha. Kila mwezi lazma aende China mara 2 mpaka 3 kutibiwa kutokana na maradhi yanayomkabili.

Kwa Zimbabwe, Urais ni Mugabe na Mugabe ni Urais. Ni pande mbili za shilingi moja ambazo huwezi kuzitenganisha.
 
Tarehe kama ya leo:

2010 - Binamu yangu anafariki Dunia kifo cha ghafla.

Hakika ni majonzi na simanzi kubwa alituachia ukizingatia siku ya kifo chake alishinda salama na akiwa na uchangamfu wa kutosha tu. Kumbe usiku wake anaenda kututoka.

Leo ni miaka 7 toka ututoke Duniani, daima unakumbukwa na ndugu, jamaa na marafiki. Pengo lako bado halijazibika.

Pumzika kwa amani, bado tunakuombea na iko siku tutaonana tena. Gone but never forgotten.

Bwana alitoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
Poleni mkuu Mussolin5
 
Komredi Mugabe, Simba wa Afrika kama sio Jabali la Afrika anayeamini katika ukale.

Huyu nae ni Rais wa Maisha. Kila mwezi lazma aende China mara 2 mpaka 3 kutibiwa kutokana na maradhi yanayomkabili.

Kwa Zimbabwe, Urais ni Mugabe na Mugabe ni Urais. Ni pande mbili za shilingi moja ambazo huwezi kuzitenganisha.
Pia mwanzoni mwa utawala wake Zimbabwe ilikuwa na mwelekeo mzuri kimaendeleo
Kilichomponza ni kugusa maslahi ya Wazungu/Walowezi kwa kuwanyanganya ardhi na kuitaifisha hivyo ili kumkomesha ndio wakaanza kumfanyia figisu na sasa ni nchi kinara wa umaskini duniani
Wazingu ukiyagusa maslahi yao tu umekwisha
.........
 
Pia mwanzoni mwa utawala wake Zimbabwe ilikuwa na mwelekeo mzuri kimaendeleo
Kilichomponza ni kugusa maslahi ya Wazungu/Walowezi hivyo ili kumkomesha ndio wakaanza kumfanyia figisu na sasa ni nchi kinara wa umaskini duniani
Wazingu ukiyagusa maslahi yao tu umekwisha
.........
Asante kwa nyongeza mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom