Makapuku Forum

Makapuku Forum

2/Malkia Elizabeth II
60b8333656fc52dee45b4a7379e9a21d.jpg
bbcd80d50ba5ec5cc655d9686ef44ad2.jpg

Buyu bibi amezaliwa tarehe21/04/1926(miaka minne baada ya kuzaliwa Mwalimu JK Nyerere)
Ndiye Malkia wa Uingereza kuanzia mwaka 1952
Wakati wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia aliebda vitani akiwa kama dereva na makenika
Ndiye bibi wa watoto wa Princess Diana akina Prince William na Harry
Ni mama wa Prince Charles
Ana umri wa miaka 91
...........
Nilitegemea awepo kwenye list.

Amekula chumvi ya kutosha. Nafikiri katika maisha yake hajui kitu kinaitwa shida, njaa, tabu nk.

Kwa faida ya wote:

Malkia Elizabeth hajawahi kurudia nguo wala vito vya thamani anavyovaa.

Ndio mtu anayemiliki ardhi kubwa zaidi duniani.

Pia ni mkuu wa nchi za Canada na Australia.
 
Ukweli nitasema daima huu Uzi mbaya mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
Nilitegemea awepo kwenye list.

Amekula chumvi ya kutosha. Nafikiri katika maisha yake hajui kitu kinaitwa shida, njaa, tabu nk.

Kwa faida ya wote:

Malkia Elizabeth hajawahi kurudia nguo wala vito vya thamani anavyovaa.

Ndio mtu anayemiliki ardhi kubwa zaidi duniani.

Pia ni mkuu wa nchi za Canada na Australia.
alafu ingawa amekula chumvi nyingi lakini yupo fit kimwili, hata ukimuangalia uwezi kuamini kabisa umri na muonekano wake
 
1/Robert Mugabe
ee4020564922e78d93bbcf05cebcf9bc.jpg
6d0903d4a8f451eb4e54e13041332df0.jpg

Komredi Mugabe ndiye Rais wa Zimbabwe
Alizaliwa Februari 21 1924
Wakati Zimbabwe ikijipatia uhuru wake yeye alikuwa Waziri Mkuu
Akawa Rais tarehe 18/04/1980 akichukua nadaraka kutoka kwa Rais Banana ambaye ndiye Rais wa kwanza wa Taifa hilo
Tangu hapo anaitisha uchaguzi kama kuzuga tu na hsta akishindwa haachii mafaraka...

fa722a5a5d10f4e22c52a391752bb960.jpg
Nchi yake ndo nchi maskini zaidi duniani kwa sasa kiasi cha kuanza kurudi kwenye barter trade kutokana na vikwazo na mfumuko wa bsi kiasi kwamba Dola trilioni 100 ya Zimbabwe ilikuwa na thamani isiyofikia hata buku tu la kibongo1000/=) yaani hata mkate haitoshi kwasasa wameamua kuruhusu matumizi ya Dola ya Kimarekani pamoja na Rand ya Afrika Kusini maana pesa yao ipo hoi
Ana imri wa miaka 93
.
.
.

.Shukrani kwa wote waliofuatilia mada
Tukutane kesho
Mwisho
...............
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom