Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Sikiliza wimbo wa hafsa ft banana zoro. : preshaNiko nae hapa
Angahika kuzitafutaBitoz naona kama kuna namba umeziluka au mimi ndo nimechanganya mafaili humu maana saba sita tano nne tatu sioniiii
Chumaaa chenyewe
shukrani Bitoz kwa top 10 ubarikiwe
Pamoja sana wadauAhsante mkuu Bitoz kwa top ten
Je wajua?
Inakadiriwa watu 450 hufariki kwa kuanguka toka kitandani kila mwaka nchini Marekani
wanalala vibaya au?!
zaidi ya ujanjaPamoja sana wadau
Kapuku full maujanja
..........
Je wajua?
Inakadiriwa watu 450 hufariki kwa kuanguka toka kitandani kila mwaka nchini Marekani

Je wajua?
Kijana aliyeitwa Francesco Lentini alikua na miguu mitatu (legs) vikanyagio vinne (feet) vidole kumi na sita na alikua na vikojoleo viwili (penis) vinavyofanya kazi naliishi miaka 70 akiwa kama mwana sarakasi.
we ndio umenijuzaDuh!!........Mondray ana baby wengi sana:Husna Muba,Valentina,Paprika na sasa hivi Shangazi Ukhuty!!......Mondray nipe hapo mmoja please!Anae baby wake mondray
Je wajua?
Kijana aliyeitwa Francesco Lentini alikua na miguu mitatu (legs) vikanyagio vinne (feet) vidole kumi na sita na alikua na vikojoleo viwili (penis) vinavyofanya kazi naliishi miaka 70 akiwa kama mwana sarakasi.

Je wajua?
Binaadamu anatakiwa aoge mara mbili kwa siku tatu, kama unaoga kila siku unajiletea madhara na unaharibu maji. kwa mujibu wa wanasayansi.
ulahvehaa mughabocc: MndaliJe wajua?
Binaadamu anatakiwa aoge mara mbili kwa siku tatu, kama unaoga kila siku unajiletea madhara na unaharibu maji. kwa mujibu wa wanasayansi.
Kweli mkuu.alafu ingawa amekula chumvi nyingi lakini yupo fit kimwili, hata ukimuangalia uwezi kuamini kabisa umri na muonekano wake
Hatukununulii pombe, labuda kyoda!!!uwiiiiiii![]()
halaf mama mchuchu mm ukiniona ni kapole utajiuliza ndio shunie huyu nikinywa mbili tatu ndio nachangamka
Na akae tu kwenye benchi asubiriSi ulikataa haujatoa jibu mpk unaniuliza mm nimekuwa kuwadi nishampa tumosa ww kaa nikutaftie mwingine
me maji tu naridhika baba mchuchuHatukununulii pombe, labuda kyoda!!!