Makapuku Forum

Makapuku Forum

10/Salman Bin Abdulaziz Al Saud
cdedc569cbe7d3d9b3f3c6c596b3000b.jpg
d0d1a73c071bed3e6c16a9fcb693437f.jpg

Huyu ni mfalme wa Saudi Arabia aliyezaliwa tarehe 31 Desemba 1935
Ni mtoto wa mwisho wa mwasisi wa Taifa la Saudi Arabia....alianza kuiongoza Saudi Arabia mnamo Januari 23 2015 baaday ya kifo cha kakaye aitwaye Abdallah Abdulaziz ambaye ndo alikuwa mfalme hivyo akatawazwa rasmi
Ana umri wa miaka 81
..........
 
10/Salman Bin Abdulaziz Al Saud
cdedc569cbe7d3d9b3f3c6c596b3000b.jpg
d0d1a73c071bed3e6c16a9fcb693437f.jpg

Huyu ni mfalme wa Saudi Arabia aliyezaliwa tarehe 31 Desemba 1935
Ni mtoto wa mwisho wa mwasisi wa Taifa la Saudi Arabia....alianza kuiongoza Saudi Arabia mnamo Januari 23 2015 baaday ya kifo cha kakaye aitwaye Abdallah Abdulaziz ambaye ndo alikuwa mfalme hivyo akatawazwa rasmi
Ana umri wa miaka 81
..........
Shusha nondo mkuu niko mubashara hapa
 
9/Akihito
15e530e0f4dffaefebb9c580ceb61a14.jpg
0fc4ca224631331e7ec6ae40481c857a.jpg

Huyu ni Mfalme wa Japan aliyezaliwa mnamo Desemba 23 mwaka 1933
Alianza kuirawala Japan kuanzia mwaka 1989 baada ya kifo cha Mfalme Hirohito ambaye alikuwa ni babaye
Anafahamika zaidi nchini humo kutokana na machapisho yake
Ana umri wa miaka 83 lakini kwa huko Japan ni km kijana tu maana kuna vikongwe kibao vyenye zaidi ya miaka 100
.........
 
8/Paul Biya
b7c7353d9e2869edb0f566f288cd7349.jpg
588ece898a83e67cbed21071d5a2f414.jpg

Huyu ni Rais wa Cameroon ambaye amezaliwa Februari 13 mnamo mwaka 1933
Ndiye anashikiria rekodi ya Rais wa kuchaguliwa aliyepo madarakani muda mrefu zaidi wa miaka 33 yaani anashinda kila uchaguzi ukifanyika
Ana umri wa miaka 84
.............
 
Je wajua?
K
ijana aliyeitwa Francesco Lentini alikua na miguu mitatu (legs) vikanyagio vinne (feet) vidole kumi na sita na alikua na vikojoleo viwili (penis) vinavyofanya kazi naliishi miaka 70 akiwa kama mwana sarakasi.
hapo kwenye vikojoleo ndo kuna shinda kidogo... alikuwa anafanya zamu kwa zamu wakati wa kugegeda
 
8/Paul Biya
b7c7353d9e2869edb0f566f288cd7349.jpg
588ece898a83e67cbed21071d5a2f414.jpg

Huyu ni Rais wa Cameroon ambaye amezaliwa Februari 13 mnamo mwaka 1933
Ndiye anashikiria rekodi ya Rais wa kuchaguliwa aliyepo madarakani muda mrefu zaidi wa miaka 33 yaani anashinda kila uchaguzi ukifanyika
Ana umri wa miaka 84
.............
mama obama bila shaka atakuwa ana nyanyua chuma
 
7/Raul Castro
30296f57c002c8ffff4d90174b57cc03.jpg
459a4a39f4b69709243d211a45ae60bb.jpg

Huyu ni kiongozi wa Cuba aliyezaliwa mnamo Juni 03 1931
Kwa sasa anaiongoza Cuba karibia mwaka wa 10 baada ya kuachiwa madaraka na kakaye Fidel Castro
Wakati wa utawala wa Fidel Castro ,Raul alikuwa Waziri wa Ulinzi kwa takriban miaka 50
Ana umri wa miaka 85
........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom