ukhuty
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 16,885
- 42,001
Maeneo yangu ya kujidai hay mjombaShangazi usipende kuja huku please kwa sababu watakutongoza jamani!
Maeneo yangu ya kujidai hay mjombaShangazi usipende kuja huku please kwa sababu watakutongoza jamani!
Mi sio wakeDuh!!........Mondray ana baby wengi sana:Husna Muba,Valentina,Paprika na sasa hivi Shangazi Ukhuty!!......Mondray nipe hapo mmoja please!
Wee funga bakuli lako hiloWe c umeambiwa ukakae kwenye bench usubiri kupangiwa mwingne
Asante sana mkuu ubarikiwe1/Robert Mugabe![]()
![]()
Komredi Mugabe ndiye Rais wa Zimbabwe
Alizaliwa Februari 21 1924
Wakati Zimbabwe ikijipatia uhuru wake yeye alikuwa Waziri Mkuu
Akawa Rais tarehe 18/04/1980 akichukua nadaraka kutoka kwa Rais Banana ambaye ndiye Rais wa kwanza wa Taifa hilo
Tangu hapo anaitisha uchaguzi kama kuzuga tu na hsta akishindwa haachii mafaraka...
Nchi yake ndo nchi maskini zaidi duniani kwa sasa kiasi cha kuanza kurudi kwenye barter trade kutokana na vikwazo na mfumuko wa bsi kiasi kwamba Dola trilioni 100 ya Zimbabwe ilikuwa na thamani isiyofikia hata buku tu la kibongo1000/=) yaani hata mkate haitoshi kwasasa wameamua kuruhusu matumizi ya Dola ya Kimarekani pamoja na Rand ya Afrika Kusini maana pesa yao ipo hoi![]()
Ana imri wa miaka 93
.
.
.
.Shukrani kwa wote waliofuatilia mada
Tukutane kesho
Mwisho
...............

Kwa ajili ya shululu ntaongeaWee funga bakuli lako hilo
Mi sio wake
povu vipiiiii mwache tumosa wa shululu si ulimkataa wwWee funga bakuli lako hilo
husna tulia nikutaftie shemela wangu mwingine shululu ameshachukuliwa sawa mpnzMi sio wake
Woyoooooooo hutakiwi kuwa mnyonge watakupanda mpk kichwani umenifurahisha aisee kunywa kinywaji chochote nalipaKwa ajili ya shululu ntaongea
Woyoooooooo hutakiwi kuwa mnyonge watakupanda mpk kichwani umenifurahisha aisee kunywa kinywaji chochote nalipa
ngoja nichukue kinywaji nkae kumsubiri shululu hapa
ukunywe chochote unachotaka muke ya lee nitalipa![]()
![]()
ngoja nichukue kinywaji nkae kumsubiri shululu hapa
OK mkuu, nacheki burudani hapa Vicente Calderon.Niliona nikagonga like zen nikamjibu
Huwa sifanyi sana mbwembwe
......
Ok sikuelewa kabisa...je bado analima?Mamito iko hivi.....yule Jamaa alienda kodi trekta huko Singida/Dodoma.....akaenda kulimia huku maeneo ya Pwani![]()
![]()
![]()
Game hilo limeshaishaOK mkuu, nacheki burudani hapa Vicente Calderon.
Hio ofa na mimi jamaniukunywe chochote unachotaka muke ya lee nitalipa