Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Sawa nakwaganyaUtingapasya kalumbu
Sawa nakwaganyaUtingapasya kalumbu
AsanteAsante kaka nawe pia uwe na jion njema
ayaKweliiii muulize lee

Je wajua?
Binaadamu anatakiwa aoge mara mbili kwa siku tatu, kama unaoga kila siku unajiletea madhara na unaharibu maji. [olor=red] kwa mujibu wa wanasayansi. [/color]
Je wajua?
Binaadamu anatakiwa aoge mara mbili kwa siku tatu, kama unaoga kila siku unajiletea madhara na unaharibu maji. kwa mujibu wa wanasayansi
Mtoto mayayikidogo tu

Dada hili katazo lako ni gumu kulitekelezatoo much kilugha mama hapendi kaniambia salimianeni tu inatosha
inaonekana kabla hujaingia huku ukapukuni unapata kidogo siouwiiiiiii![]()
halaf mama mchuchu mm ukiniona ni kapole utajiuliza ndio shunie huyu nikinywa mbili tatu ndio nachangamka
Tumosa baby wake shululuni nani
Aisee10/Salman Bin Abdulaziz Al Saud![]()
![]()
Huyu ni mfalme wa Saudi Arabia aliyezaliwa tarehe 31 Desemba 1935
Ni mtoto wa mwisho wa mwasisi wa Taifa la Saudi Arabia....alianza kuiongoza Saudi Arabia mnamo Januari 23 2015 baaday ya kifo cha kakaye aitwaye Abdallah Abdulaziz ambaye ndo alikuwa mfalme hivyo akatawazwa rasmi
Ana umri wa miaka 81
..........
Khaaa9/Akihito![]()
![]()
Huyu ni Mfalme wa Japan aliyezaliwa mnamo Desemba 23 mwaka 1933
Alianza kuirawala Japan kuanzia mwaka 1989 baada ya kifo cha Mfalme Hirohito ambaye alikuwa ni babaye
Anafahamika zaidi nchini humo kutokana na machapisho yake
Ana umri wa miaka 83 lakini kwa huko Japan ni km kijana tu maana kuna vikongwe kibao vyenye zaidi ya miaka 100
.........
atakua ni diktekta nae8/Paul Biya![]()
![]()
Huyu ni Rais wa Cameroon ambaye amezaliwa Februari 13 mnamo mwaka 1933
Ndiye anashikiria rekodi ya Rais wa kuchaguliwa aliyepo madarakani muda mrefu zaidi wa miaka 33 yaani anashinda kila uchaguzi ukifanyika
Ana umri wa miaka 84
.............
Mubhule kalumbuUwiii ntaachaje asili sasa
umeitwaaHuu Uzi unaniudhi
sawa lkn sio mda woteAaah dada tunasema kikwetu Jana si amesema atakuwa shemeji yangu
Mamito iko hivi.....yule Jamaa alienda kodi trekta huko Singida/Dodoma.....akaenda kulimia huku maeneo ya PwaniNiliisoma sikuelewa

ni jepesi sanaDada hili katazo lako ni gumu kulitekeleza