Makapuku Forum

Makapuku Forum

Tarehe kama ya leo:

2010 - Binamu yangu anafariki Dunia kifo cha ghafla.

Hakika ni majonzi na simanzi kubwa alituachia ukizingatia siku ya kifo chake alishinda salama na akiwa na uchangamfu wa kutosha tu. Kumbe usiku wake anaenda kututoka.

Leo ni miaka 7 toka ututoke Duniani, daima unakumbukwa na ndugu, jamaa na marafiki. Pengo lako bado halijazibika.

Pumzika kwa amani, bado tunakuombea na iko siku tutaonana tena. Gone but never forgotten.

Bwana alitoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
 
Tarehe kama ya leo:

2010 - Binamu yangu anafariki Dunia kifo cha ghafla.

Hakika ni majonzi na simanzi kubwa alituachia ukizingatia siku ya kifo chake alishinda salama na akiwa na uchangamfu wa kutosha tu. Kumbe usiku wake anaenda kututoka.

Leo ni miaka 7 toka ututoke Duniani, daima unakumbukwa na ndugu, jamaa na marafiki. Pengo lako bado halijazibika.

Pumzika kwa amani, bado tunakuombea na iko siku tutaonana tena. Gone but never forgotten.

Bwana alitoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
Pole sana mkuu
Ndio maisha yalivyo
Huzuni & furaha
.......
 
5fa0a926ee5702b4c6721d595a20c844.jpg
 
Tarehe kama ya leo:

2010 - Binamu yangu anafariki Dunia kifo cha ghafla.

Hakika ni majonzi na simanzi kubwa alituachia ukizingatia siku ya kifo chake alishinda salama na akiwa na uchangamfu wa kutosha tu. Kumbe usiku wake anaenda kututoka.

Leo ni miaka 7 toka ututoke Duniani, daima unakumbukwa na ndugu, jamaa na marafiki. Pengo lako bado halijazibika.

Pumzika kwa amani, bado tunakuombea na iko siku tutaonana tena. Gone but never forgotten.

Bwana alitoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
Amen

Pumzika kwa amani binamu yetu mpendwa.
 
Tarehe kama ya leo:

2010 - Binamu yangu anafariki Dunia kifo cha ghafla.

Hakika ni majonzi na simanzi kubwa alituachia ukizingatia siku ya kifo chake alishinda salama na akiwa na uchangamfu wa kutosha tu. Kumbe usiku wake anaenda kututoka.

Leo ni miaka 7 toka ututoke Duniani, daima unakumbukwa na ndugu, jamaa na marafiki. Pengo lako bado halijazibika.

Pumzika kwa amani, bado tunakuombea na iko siku tutaonana tena. Gone but never forgotten.

Bwana alitoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
Apumzike kwa amani
 
Tarehe kama ya leo:

2010 - Binamu yangu anafariki Dunia kifo cha ghafla.

Hakika ni majonzi na simanzi kubwa alituachia ukizingatia siku ya kifo chake alishinda salama na akiwa na uchangamfu wa kutosha tu. Kumbe usiku wake anaenda kututoka.

Leo ni miaka 7 toka ututoke Duniani, daima unakumbukwa na ndugu, jamaa na marafiki. Pengo lako bado halijazibika.

Pumzika kwa amani, bado tunakuombea na iko siku tutaonana tena. Gone but never forgotten.

Bwana alitoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
R.i.p pole sana mussolin
 
TOP TEN
Waswahili husema ukubwa dawa japo siyo kila mkubwa ana hekima na busara
Sasa leo tuwaangalie vikongwe vinavyoongoza nchi ...yaani viongozi wazee waliopo madarakani
Haijalishi ni wafalme au marais ...

Karibuni
.........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom