Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wanaiasa wapo kimaslahi zaidi
Jiulize Dereva au muhudumu wa mochwari awe na elimu ya form 4 lakini mbunge awe anajua kusoma na kuandika tu
Pia rasimu ya katiba mpya waliondoa vifungu vyote vinavyowagusa mfano Wabinge wasiwe Mawaziri...usishangae katiba mpya hadi leo kimya sababu haina maslahi kwao
....

..
.


All the time God is good
 
1 WATHESALONIKE 5

16. Furahini siku zote.

17.Ombeni bila kukoma .

18.Shukuruni kwa kila jambo;maana hayo ni mapenzi ya Mungu kwenu katika Yesu Kristo.

19.Msimzimishe Roho.

20. Msitweze unabii.

21.Jaribuni mambo yote ;lishikeni lililo jema.

22.Jitengeni na ubaya wa kila namna.

Amen

All the time God is good
 
24ad1903516b28e8bd65fc0c5b1a8b08.jpg
Are we idiots?
.......
Yes in Greek word

All the time God is good
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom