Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Wanaiasa wapo kimaslahi zaidi
Jiulize Dereva au muhudumu wa mochwari awe na elimu ya form 4 lakini mbunge awe anajua kusoma na kuandika tu
Pia rasimu ya katiba mpya waliondoa vifungu vyote vinavyowagusa mfano Wabinge wasiwe Mawaziri...usishangae katiba mpya hadi leo kimya sababu haina maslahi kwao
....
..
.
All the time God is good
1 WATHESALONIKE 5
