Makapuku Forum

Makapuku Forum

6/Sabah Al Ahmad Al Jaber Al Sabah
1971115ec88c5d5f4ec281b13e981a33.jpg
1049f021ebb7e6fa37b535523346fa54.jpg
Huyu ni kiongozi (Amiri) wa Kuwait aliyezaliwa Juni 19 1929
Alianza kuwa Amiri wa 5 wa Kuwait takribani miaka 9 iliyopita
Lakini alikuwa Waziri wa mambo ya Nje wa Kuwait kwa takribani miaka 40 ikiwemo kipindi cha uvamizi wa Iraq nwaka 1990(Vita ya Ghuba)
Ana umri wa miaka 87
.........
 
6/Sabah Al Ahmad Al Jaber Al Sabah
1971115ec88c5d5f4ec281b13e981a33.jpg
1049f021ebb7e6fa37b535523346fa54.jpg
Huyu ni kiongozi (Amiri) wa Kuwait aliyezaliwa Juni 19 1929
Alianza kuwa Amiri wa 5 wa Kuwait takribani miaka 9 iliyopita
Lakini alikuwa Waziri wa mambo ya Nje wa Kuwait kwa takribani miaka 40 ikiwemo kipindi cha uvamizi wa Iraq nwaka 1990(Vita ya Ghuba)
Ana umri wa miaka 87
.........
Aisee
 
6/Sabah Al Ahmad Al Jaber Al Sabah
1971115ec88c5d5f4ec281b13e981a33.jpg
1049f021ebb7e6fa37b535523346fa54.jpg
Huyu ni kiongozi (Amiri) wa Kuwait aliyezaliwa Juni 19 1929
Alianza kuwa Amiri wa 5 wa Kuwait takribani miaka 9 iliyopita
Lakini alikuwa Waziri wa mambo ya Nje wa Kuwait kwa takribani miaka 40 ikiwemo kipindi cha uvamizi wa Iraq nwaka 1990(Vita ya Ghuba)
Ana umri wa miaka 87
.........
pembeni yake ni master mind mmoja hatarii
 
Tarehe kama ya leo:

2010 - Binamu yangu anafariki Dunia kifo cha ghafla.

Hakika ni majonzi na simanzi kubwa alituachia ukizingatia siku ya kifo chake alishinda salama na akiwa na uchangamfu wa kutosha tu. Kumbe usiku wake anaenda kututoka.

Leo ni miaka 7 toka ututoke Duniani, daima unakumbukwa na ndugu, jamaa na marafiki. Pengo lako bado halijazibika.

Pumzika kwa amani, bado tunakuombea na iko siku tutaonana tena. Gone but never forgotten.

Bwana alitoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
pole sana mkuu, kazi mungu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom