Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,277
- 35,630
Asante Obe leo nimeweza kusoma nawashukuru kuniombea![]()
...ubarikiwe. kwani ulikuwa unajisikia hovyo hivi karibuni?
Asante Obe leo nimeweza kusoma nawashukuru kuniombea![]()
Hakikashululu asante sana kwa magazeti. Unaifanya siku iwe na maana kubwa kwetu. Gracias
Ubarikiwe mkuu Shululu asante sana kwa magazeti ya leoView attachment 507037Mpaka hapo sina la ziada tukutane tena kesho muda na wakati kama huu kwa udhamini mnono wa My B,Tumosa

Dada unaendeleajeAsante Obe leo nimeweza kusoma nawashukuru kuniombea![]()
Morning amen asante ubarikiweMorning wakuu mko fresh wote?
MunGu awe nanyi kwa kila ufanyalo..
Valentina Cheupe wangu, Love you so much my woma.
Nakumiss sana V wangu..
Njema kaka,ndeti?ubarikiwemakuu habar za saivii

Mornng mkuu Shululu ubarikiweMorning all kapuku

Asante mkuu Nyagei kwa taarifa,ratiba na msimamo wa ligi mbalimbali ubarikiweUganda Premier League
![]()

Naupenda sanaVyakula vyetu ni ugali wa muhogo

hamna kitu kizuri kama kuridhika na ulichonacho na kumshukuru Mungu kwa kukupa alichokupaNiliyonayo inatosha
Wakuu usiku mwema ibada ni bora kuliko usingizi
Tushukuru kwa yote kupata kukosa yote ni majibu yake mungu
Tusichoke kuomba
1 WATHESALONIKE 5

Nataka nianzishe kampen ya kuhakikisha haingii kwenye jimbo la shululu
