Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,324
- 35,831
Asante Obe leo nimeweza kusoma nawashukuru kuniombea[emoji120]
...ubarikiwe. kwani ulikuwa unajisikia hovyo hivi karibuni?
Asante Obe leo nimeweza kusoma nawashukuru kuniombea[emoji120]
Hakikashululu asante sana kwa magazeti. Unaifanya siku iwe na maana kubwa kwetu. Gracias
Ubarikiwe mkuu Shululu asante sana kwa magazeti ya leo[emoji120]View attachment 507037Mpaka hapo sina la ziada tukutane tena kesho muda na wakati kama huu kwa udhamini mnono wa My B,Tumosa
Dada unaendeleajeAsante Obe leo nimeweza kusoma nawashukuru kuniombea[emoji120]
Morning amen asante ubarikiweMorning wakuu mko fresh wote?
MunGu awe nanyi kwa kila ufanyalo..
Valentina Cheupe wangu, Love you so much my woma.
Nakumiss sana V wangu..
Njema kaka,ndeti?ubarikiwe[emoji120]makuu habar za saivii
Mornng mkuu Shululu ubarikiwe[emoji120]Morning all kapuku
Asante mkuu Nyagei kwa taarifa,ratiba na msimamo wa ligi mbalimbali ubarikiwe[emoji120]Uganda Premier League
![]()
Naupenda sana[emoji2]Vyakula vyetu ni ugali wa muhogo
hamna kitu kizuri kama kuridhika na ulichonacho na kumshukuru Mungu kwa kukupa alichokupaNiliyonayo inatosha
[emoji524] 1 WATHESALONIKE 5Wakuu usiku mwema ibada ni bora kuliko usingizi
Tushukuru kwa yote kupata kukosa yote ni majibu yake mungu
Tusichoke kuomba
[emoji15]Nataka nianzishe kampen ya kuhakikisha haingii kwenye jimbo la shululu