Makapuku Forum

Makapuku Forum

JOHN RIBER

Nimepenyezewa taarifa kwamba kuna mpishi mpya wa movies toka Africa kusini aitwaye John Riber.
22716f26a0a5d808b99a493322a06cac.jpg

Habari nilizonazo ni kwamba kwa sasa yupo Morogoro wamepiga kambi wakipika movie mpya itakayohusu maisha ya wakulima na walanguzi wa mazao mhusika mkuu akiwa ni JB.
John Riber ni raia wa Afrika kusini ila yupo hapa nchini kwa miaka 12 sasa.
ab4089d4b5eb761eaf31be06ca135685.jpg

Ni muongozaji wa filamu pia ni mwandishi
7167f0421bc5b8ad271307588e3ad663.jpg
Hapa na Gopal wakati wakichukua vipande kwenye filamu iitwayo Yellow card.
e160d8cb6021022e33483c1ef407d7b2.jpg
Kazi zake nyingine hizo

Tukae mkao wa kupokea kazi toka kwa gwiji John Riber.
80adcbc49e205dab13681f72f6e719f0.jpg
Nyota wa Yellow card akiwa na tuzo
475311faa6055e9506904d6df0c28902.jpg
nimeangalia movie zake mbili ya neria na yellow card kipindi nipo kaduchuuu aisee itakua bonge ya movie
 
ZABURI 68

19 Na ahimidiwe BWANA ,siku kwa siku hutuchukulia mzigo wetu;MUNGU ndiye wokovu wetu.

MUNGU ndiye kila kitu,ukitambua hili utatenda mema.

MUNGU wetu anatupenda,ni WOKOVU wetu,ni MWANGA wa maisha yetu
Tumtumikie,Tumfuate,Tumuombe,Tumshukuru yeye siku zote.

TUOMBE:

Mtakatifu,Mtakatifu,Mtakatifu BWANA MUNGU mwenye enzi,asante kwa kutufikisha siku ya alhamisi ya leo,wapo wengi waliotamani kuiona siku ya leo hawajaweza.

Tunajitakasa mbele yako Mungu wetu tukiomba usikumbuke uovu wetu wote,tusamehe Baba makosa yetu yote.

Asubuhi ya leo pamoja na nia zetu mbalimbali tunaombea

Mipango yetu yote.

Wagonjwa,wasafiri,wanafunzi wote hasa kidato cha sita waongoze katika mitihani yao.

Vijana wote walinde katika maisha ya ujanani ,wapate Elimu sahihi,kazi,mitaji,malezi,wake/waume,ushauri,Amani

Kusudi la maisha yetu.

Wafiwa wote wafariji.

Marehemu wote Raha ya milele uwape Ee BWANA,Mwanga wa milele uwaangazie ,wapumzike kwa Amani,Amen


Tunaomba haya yote katika jina la Yesu Kristo Amina.

MUWE NA SIKU NJEMA,MBARIKIWE
Ameen mama mchuchu ubarikiwe sana
 
NUKUU YA LEO

Movies are a fad. Audiences really want to see live actors on a stage.

Sinema ni mtindo, Watazamaji wanataka kuwaona wahusika moja kwa moja kwenye jukwaani.

Haya maneno yalipatwa kusemwa na mchekeshaji na mcheza filamu wa kiingereza Charles Spencer Chaplin maarufu kama Charlie Chaplin. Charlie alizaliwa 16 April 1889 katika viunga vya walworth kusini kwa jiji la london.

Charlie alizaliwa katika familia maskini na waliishi katika maeneo duni, wazazi wake walikuwa wote ni waburudishaji kwenye kumbi za miziki, baadaye wazazi waliachana na hapo ndio ikawa chachu ya charlie kuanza kuigiza kwenye majukwaa ya watoto akiwa na umri wa miaka 5 tuu.

Baadaye mama yake alifariki na ikabidi charlie akaishi marekani na kuanza kutengeneza filamu silent filming. alitengeneza kazi nyingi na kufungua kampuni yake binafsi, wakati huo alishakuwa star wa dunia tayari.

Charlie aliwahiwa kufukuzwa marekani baada ya uchunguzi wa FBI kugundua alioa wanawake wadogo sana na mtazamo wake wakupenda siasa za kikomunisti. Baada ya hapo Charlie aliienda kuishi Switzerland hadi mauti yalipomfika kwa ugonjwa wa kupooza.

Charlie aliacha watoto 11 aliozaa na wanawake 4, Bado hadi leo filamu zake zinauza na amebaki kuwa mchekeshaji mkubwa ambae alikuwa haongei. kwanza yeye mwenyewe ukimuona tayari unacheka tuu.

Nukuu ya leo, jamaa alitaka watu wapige live, leo hii ndio tunaita stand up comedy ya kina Mc pilipili, annie kaasiime na eric omondi.
R.i.p mshkaji wake nyagei
 
Jamaa linachukia matajiri ambao ndo watoa ajira wakubwa
Yaani sekta binafsi zinaenda shimoni mfano tenda za ujenzi hawapewi, sekta ya elimu Sizonje akiwa UDSM amevisimanga vyuo binafsi eti vijifie vinazalisha vilaza n.k
Huyu Rais ni mropokaji pia ana kauli chafu yaani anaongea tu km jenereta hagikirii kauli zake

.
Nafikiri nukuu zake zitadumu km za Nyerere ila sio kwa uzuri au ubora bali upuuzi wake
......
hahahah zitadumu kwa upuuzi wake tusiache kumuombea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom