Makapuku Forum

Makapuku Forum

Yaani juu pameandilwa ajira mpya
Chini benki 3 hatarini kufungwa
Ndo yaleyale niliyosema watu wanaoondoka kwenye ajira sekta binafsi na serikalini kutokana na kuyumba kwa uchumi na zinema ya vyeti feki ni wengi kuliko ajira mpya
Km ni ukuaji wa uchumi basi tupo -be yaani mstari wa graph unaenda chini

.
Shukrani kwa magazeti
.........
 
JOHN RIBER

Nimepenyezewa taarifa kwamba kuna mpishi mpya wa movies toka Africa kusini aitwaye John Riber.
22716f26a0a5d808b99a493322a06cac.jpg

Habari nilizonazo ni kwamba kwa sasa yupo Morogoro wamepiga kambi wakipika movie mpya itakayohusu maisha ya wakulima na walanguzi wa mazao mhusika mkuu akiwa ni JB.
John Riber ni raia wa Afrika kusini ila yupo hapa nchini kwa miaka 12 sasa.
ab4089d4b5eb761eaf31be06ca135685.jpg

Ni muongozaji wa filamu pia ni mwandishi
7167f0421bc5b8ad271307588e3ad663.jpg
Hapa na Gopal wakati wakichukua vipande kwenye filamu iitwayo Yellow card.
e160d8cb6021022e33483c1ef407d7b2.jpg
Kazi zake nyingine hizo

Tukae mkao wa kupokea kazi toka kwa gwiji John Riber.
80adcbc49e205dab13681f72f6e719f0.jpg
Nyota wa Yellow card akiwa na tuzo
475311faa6055e9506904d6df0c28902.jpg
Nyagei umetisha
 
Yaani juu pameandilwa ajira mpya
Chini benki 3 hatarini kufungwa
Ndo yaleyale niliyosema watu wanaoondoka kwenye ajira sekta binafsi na serikalini kutokana na kuyumba kwa uchumi na zinema ya vyeti feki ni wengi kuliko ajira mpya
Km ni ukuaji wa uchumi basi tupo -be yaani mstari wa graph unaenda chini

.
Shukrani kwa magazeti
.........


....bila kuilinda sekta binafsi , tatizo la ajira tutabaki kulilia bila kulitatua. Najua bado ni mapema kusema lakini rais wetu kauli zake ni za kubeza sekta binafsi na hi si afya ya ajira kwa umma.

Zama za serikali kuajiri na kuwa mwajiri mkuu zinaenda zinapita, serikali ijikite kwenye kuwezesha sekta binafsi ili ziajiri wengi.


Tungekuwa jukwaa jingine ningesema hakuna mwizi mkubwa kama serikali, yaani anawaibia hata ambao hajawawezesha kupata ajira.
 
NUKUU YA LEO

Movies are a fad. Audiences really want to see live actors on a stage.

Sinema ni mtindo, Watazamaji wanataka kuwaona wahusika moja kwa moja kwenye jukwaani.

Haya maneno yalipatwa kusemwa na mchekeshaji na mcheza filamu wa kiingereza Charles Spencer Chaplin maarufu kama Charlie Chaplin. Charlie alizaliwa 16 April 1889 katika viunga vya walworth kusini kwa jiji la london.

Charlie alizaliwa katika familia maskini na waliishi katika maeneo duni, wazazi wake walikuwa wote ni waburudishaji kwenye kumbi za miziki, baadaye wazazi waliachana na hapo ndio ikawa chachu ya charlie kuanza kuigiza kwenye majukwaa ya watoto akiwa na umri wa miaka 5 tuu.

Baadaye mama yake alifariki na ikabidi charlie akaishi marekani na kuanza kutengeneza filamu silent filming. alitengeneza kazi nyingi na kufungua kampuni yake binafsi, wakati huo alishakuwa star wa dunia tayari.

Charlie aliwahiwa kufukuzwa marekani baada ya uchunguzi wa FBI kugundua alioa wanawake wadogo sana na mtazamo wake wakupenda siasa za kikomunisti. Baada ya hapo Charlie aliienda kuishi Switzerland hadi mauti yalipomfika kwa ugonjwa wa kupooza.

Charlie aliacha watoto 11 aliozaa na wanawake 4, Bado hadi leo filamu zake zinauza na amebaki kuwa mchekeshaji mkubwa ambae alikuwa haongei. kwanza yeye mwenyewe ukimuona tayari unacheka tuu.

Nukuu ya leo, jamaa alitaka watu wapige live, leo hii ndio tunaita stand up comedy ya kina Mc pilipili, annie kaasiime na eric omondi.
Nafikiri ishu yake ya kutimuliwa USA ni siasa tu na kuoa vitoto vidogo ni zengwe
.....
 
....bila kuilinda sekta binafsi , tatizo la ajira tutabaki kulilia bila kulitatua. Najua bado ni mapema kusema lakini rais wetu kauli zake ni za kubeza sekta binafsi na hi si afya ya ajira kwa umma.

Zama za serikali kuajiri na kuwa mwajiri mkuu zinaenda zinapita, serikali ijikite kwenye kuwezesha sekta binafsi ili ziajiri wengi.


Tungekuwa jukwaa jingine ningesema hakuna mwizi mkubwa kama serikali, yaani anawaibia hata ambao hajawawezesha kupata ajira.
Jamaa linachukia matajiri ambao ndo watoa ajira wakubwa
Yaani sekta binafsi zinaenda shimoni mfano tenda za ujenzi hawapewi, sekta ya elimu Sizonje akiwa UDSM amevisimanga vyuo binafsi eti vijifie vinazalisha vilaza n.k
Huyu Rais ni mropokaji pia ana kauli chafu yaani anaongea tu km jenereta hagikirii kauli zake

.
Nafikiri nukuu zake zitadumu km za Nyerere ila sio kwa uzuri au ubora bali upuuzi wake
......
 
Tongotongo la Asubuhi
6020ad62cfb9c43fa61357978fec6d5b.jpg

Simba mpanda miti
Sina hii ya Simba wanapatikana Tanzania pekee
Sasa mtu unaenda mbugani ukijua simba ujifovha tu kwenye nyasi hivyo kutembea kwa mavhale kumbe mnyama yupo juu ya mti anakuchora tu
Asubuhi njema
.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom