Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Biashara ya bank pia imekuwa ngumu mpaka watake kufunga?
Biashara ya bank pia imekuwa ngumu mpaka watake kufunga?
Nafasi za kazi au ndio siasa on fleek
Bonjour werrasonBana ba Tanzanie nabasalimuni kwa jina la Nzambe.....baadae
Yaani juu pameandilwa ajira mpya
Soka la bongo magumashi
Tuwage tunatupiamo magazeti ya leo hapa: https://goo.gl/photos/NivQSYthvCzgCgUv5
www.tanzaniampyamatukio.blogspot.com
Nyagei umetishaJOHN RIBER
Nimepenyezewa taarifa kwamba kuna mpishi mpya wa movies toka Africa kusini aitwaye John Riber.
![]()
Habari nilizonazo ni kwamba kwa sasa yupo Morogoro wamepiga kambi wakipika movie mpya itakayohusu maisha ya wakulima na walanguzi wa mazao mhusika mkuu akiwa ni JB.
John Riber ni raia wa Afrika kusini ila yupo hapa nchini kwa miaka 12 sasa.
![]()
Ni muongozaji wa filamu pia ni mwandishi
Hapa na Gopal wakati wakichukua vipande kwenye filamu iitwayo Yellow card.![]()
Kazi zake nyingine hizo![]()
Tukae mkao wa kupokea kazi toka kwa gwiji John Riber.
Nyota wa Yellow card akiwa na tuzo![]()
![]()
Yaani juu pameandilwa ajira mpya
Chini benki 3 hatarini kufungwa
Ndo yaleyale niliyosema watu wanaoondoka kwenye ajira sekta binafsi na serikalini kutokana na kuyumba kwa uchumi na zinema ya vyeti feki ni wengi kuliko ajira mpya
Km ni ukuaji wa uchumi basi tupo -be yaani mstari wa graph unaenda chini
.
Shukrani kwa magazeti
.........
Goodmorning to you buddyMorning makapuku
Nafikiri ishu yake ya kutimuliwa USA ni siasa tu na kuoa vitoto vidogo ni zengweNUKUU YA LEO
Movies are a fad. Audiences really want to see live actors on a stage.
Sinema ni mtindo, Watazamaji wanataka kuwaona wahusika moja kwa moja kwenye jukwaani.
Haya maneno yalipatwa kusemwa na mchekeshaji na mcheza filamu wa kiingereza Charles Spencer Chaplin maarufu kama Charlie Chaplin. Charlie alizaliwa 16 April 1889 katika viunga vya walworth kusini kwa jiji la london.
Charlie alizaliwa katika familia maskini na waliishi katika maeneo duni, wazazi wake walikuwa wote ni waburudishaji kwenye kumbi za miziki, baadaye wazazi waliachana na hapo ndio ikawa chachu ya charlie kuanza kuigiza kwenye majukwaa ya watoto akiwa na umri wa miaka 5 tuu.
Baadaye mama yake alifariki na ikabidi charlie akaishi marekani na kuanza kutengeneza filamu silent filming. alitengeneza kazi nyingi na kufungua kampuni yake binafsi, wakati huo alishakuwa star wa dunia tayari.
Charlie aliwahiwa kufukuzwa marekani baada ya uchunguzi wa FBI kugundua alioa wanawake wadogo sana na mtazamo wake wakupenda siasa za kikomunisti. Baada ya hapo Charlie aliienda kuishi Switzerland hadi mauti yalipomfika kwa ugonjwa wa kupooza.
Charlie aliacha watoto 11 aliozaa na wanawake 4, Bado hadi leo filamu zake zinauza na amebaki kuwa mchekeshaji mkubwa ambae alikuwa haongei. kwanza yeye mwenyewe ukimuona tayari unacheka tuu.
Nukuu ya leo, jamaa alitaka watu wapige live, leo hii ndio tunaita stand up comedy ya kina Mc pilipili, annie kaasiime na eric omondi.
Karibu chiefNawaletea magazeti ya leo hivi punde
Jamaa alikuwa anasapoti wamomunisti miaka ya 1940's wakati USA anapigana kuwapiga USSR na mataifa mwengine ya staili hiyo..Nafikiri ishu yake ya kutimuliwa USA ni siasa tu na kuoa vitoto vidogo ni zengwe
.....
Uhakiki wa vyeti feki swala la rufaa ni la heri
In details plz hii habari ya makonda,jinamizi gani au kiini macho tu.
Jamaa linachukia matajiri ambao ndo watoa ajira wakubwa....bila kuilinda sekta binafsi , tatizo la ajira tutabaki kulilia bila kulitatua. Najua bado ni mapema kusema lakini rais wetu kauli zake ni za kubeza sekta binafsi na hi si afya ya ajira kwa umma.
Zama za serikali kuajiri na kuwa mwajiri mkuu zinaenda zinapita, serikali ijikite kwenye kuwezesha sekta binafsi ili ziajiri wengi.
Tungekuwa jukwaa jingine ningesema hakuna mwizi mkubwa kama serikali, yaani anawaibia hata ambao hajawawezesha kupata ajira.
Morning toxic9Goodmorning to you buddy
Bunge tunataka vitu viendeshwe hivi kibusara zaidi i hope harima mdee atajifunza, ni jambo la heri kama wabunge pande zote mbili wanaungana na kulegeza kanuni fulani ili jambo fulani lipite ,taifa lina mijadala mingi kujadiliwa na bunge
Hawa wenye tuhuma za vyeti feki ni namna gani wanakata rufaa??