Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
1988 - Radja Nainggolan anazaliwa.
Kiungo wa kati wa As Roma na timu ya taifa ya Ubelgiji.
Ni tozi mkubwa wa mitindo ya nywele
.....
1988 - Radja Nainggolan anazaliwa.
Kiungo wa kati wa As Roma na timu ya taifa ya Ubelgiji.
Yupo humu ndani, huwa hatoki humu.Full nyagei leo.
Sijui hata yuko wapi now![]()
Atujambo bwana fakalava mzima za huko utokakoHamjambooni wadau wangu wa nguvu?
Salama sana chief,uwe na siku njemaKama hivi![]()
![]()
![]()
Kumekuchaje huko baba paroko
2012 - Rashid Yekini anafariki dunia.
Staa wa zamani wa Timu ya Taifa ya Nigeria katika World cup ya 1994.
Huyu ni simba ama chui maana naona ana vidotidotiTongotongo la Asubuhi![]()
Simba mpanda miti
Sina hii ya Simba wanapatikana Tanzania pekee
Sasa mtu unaenda mbugani ukijua simba ujifovha tu kwenye nyasi hivyo kutembea kwa mavhale kumbe mnyama yupo juu ya mti anakuchora tu
Asubuhi njema
.......
Afande shedede niajekumbe tupo wote
Mwanamke wa shoka1979 - Margareth Thatcher anachaguliwa kuwa Waziri Mkuu wa kwanza Mwanamke.
Nayo ni....Na wanapatikana mbuga moja tu nchini
Kombe la ulaya akiwa na Spain1987 - Cesc Fabregas anazaliwa.
Kiungo wa zamani wa Arsenal, Barca na sasa Chelsea.
Ameshinda taji la kombe la dunia akiwa na Hispania.
Jina kubwa sana hili kwa ukanda wetu2012 - Rashid Yekini anafariki dunia.
Staa wa zamani wa Timu ya Taifa ya Nigeria katika World cup ya 1994.
Changamoto ya Tanzania hiyo- Leo ni siku ya Wazima moto duniani.
Asante dikteta, nawe pia siku njemaLeo katika Historia:
Niwatakie siku njema.
SanaHatari
Bila shaka kabisa![]()
![]()
Ndo chimbuko la jina "Iron Lady"
.......
Jambo jemaHabari wapendwa..
Mko poa mie naendelea fresh...
Asante kwa picha bitoz
Wakati wa fainali hizo alifunga nao na kushangilia kwa hisia kali ya kuingia golini na kushika wavu na kuutikisa![]()
Tukio hilo lilimpa umaarufu mkubwa duniani na staili hiyo ikaigwa
Lakini Mwisho alikufa kimaskini huko nyumbani kwao
.
Shukrani kamanda kwa historia
Tukutane jioni kwenye 10 kubwa
......
......
Ahsante...Jambo jema