Makapuku Forum

Makapuku Forum

1988 - Radja Nainggolan anazaliwa.

Kiungo wa kati wa As Roma na timu ya taifa ya Ubelgiji.
cfde813998d6d7cc2be4266091a6ccef.jpg
42ebc0da39e2e86448bc232217b82dd4.jpg

Ni tozi mkubwa wa mitindo ya nywele
.....
 
2012 - Rashid Yekini anafariki dunia.

Staa wa zamani wa Timu ya Taifa ya Nigeria katika World cup ya 1994.
5eeffed22dc5c093617eaab6a6181bf2.jpg
94e92bc79360f11b51b9b1b161ebca3a.jpg
Wakati wa fainali hizo alifunga nao na kushangilia kwa hisia kali ya kuingia golini na kushika wavu na kuutikisa
Tukio hilo lilimpa umaarufu mkubwa duniani na staili hiyo ikaigwa

Lakini Mwisho alikufa kimaskini huko nyumbani kwao

.
Shukrani kamanda kwa historia
Tukutane jioni kwenye 10 kubwa
......
......
 
Tongotongo la Asubuhi
6020ad62cfb9c43fa61357978fec6d5b.jpg

Simba mpanda miti
Sina hii ya Simba wanapatikana Tanzania pekee
Sasa mtu unaenda mbugani ukijua simba ujifovha tu kwenye nyasi hivyo kutembea kwa mavhale kumbe mnyama yupo juu ya mti anakuchora tu
Asubuhi njema
.......
Huyu ni simba ama chui maana naona ana vidotidoti
 
5eeffed22dc5c093617eaab6a6181bf2.jpg
94e92bc79360f11b51b9b1b161ebca3a.jpg
Wakati wa fainali hizo alifunga nao na kushangilia kwa hisia kali ya kuingia golini na kushika wavu na kuutikisa
Tukio hilo lilimpa umaarufu mkubwa duniani na staili hiyo ikaigwa

Lakini Mwisho alikufa kimaskini huko nyumbani kwao

.
Shukrani kamanda kwa historia
Tukutane jioni kwenye 10 kubwa
......
......
Asante kwa picha bitoz
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom